Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,513
141,246


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!
 
Ataachaje kusifia wakati juzi kasamehewa zile tuhuma zake za rushwa.

Naona sasa kuna umuhimu hili bunge la mwisho liwe linaondolewa kwenye ratiba kabisa, kwasababu wabunge wengi (CCM) wanaonekana kuchoka akili wanajadili upuuzi tu, halafu wanalipana pesa za wavuja jasho wa nchi hii, huku Spika akishangilia.
 
Na wafuasi wa Yesu Magufuli ndio hawa hapa

SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom