G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Siandiki mengi ila najua mnaelewa kuwa mtu aliyelewa kisha akaanguka bila break hadi akavunjika kifundo cha mguu (Sijui alikuwa kavaa high hills?) Anakuwa katika hali gani hasa usoni na kichwani (Au labda alikuwa kavaa helmet).
Kama Mbowe alikuwa kalewa chakarii basi bila shaka alibiringika kwenye ngazi. Cha ajabu huyu mlevi chakarii hana jeraha lolote usoni ambapo naamini alikuwa amepiga kichwa chini wakati anaanguka kilevi chakarii.
Kwa hii picha tu mimi naendelea kuamini kuwa Mbowe alikamatwa akavunjwa kifundo cha mguu kwa makusudi kabisa.
Mimi ni jasusi na hapa polisi na watekaji walifeli jambo moja kubwa sana. Kukamilisha ushahidi wa kimazingira!
Niwashauri tu CCM na MATAGA na POLICECCM! Please play smart! Play smart to capture the audience!
Kama Mbowe alikuwa kalewa chakarii basi bila shaka alibiringika kwenye ngazi. Cha ajabu huyu mlevi chakarii hana jeraha lolote usoni ambapo naamini alikuwa amepiga kichwa chini wakati anaanguka kilevi chakarii.
Kwa hii picha tu mimi naendelea kuamini kuwa Mbowe alikamatwa akavunjwa kifundo cha mguu kwa makusudi kabisa.
Mimi ni jasusi na hapa polisi na watekaji walifeli jambo moja kubwa sana. Kukamilisha ushahidi wa kimazingira!
Niwashauri tu CCM na MATAGA na POLICECCM! Please play smart! Play smart to capture the audience!