Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Mh. Freeman A. Mbowe naomba weka pembeni itikadi zote za kisiasa utafakari jambo hili.
Tafakari, nikwanini kipindi hiki cha kuelekea bunge kuisha umepatwa na tatizo la kuvunjika mguu! Tena usiku wa manane?
Lakini kiujumla lilikuwa nitatizo dogo sana ambalo ungeweza kulihandle vizuri tu kulingana namda ulioumia, mazingila uliyoumia, na hadhi uliyona nayo.
Lakini hebu jihoji , nikwanini kulingana nahayo niliyoeleza kwanini ujasiri na busara ww na watu wako hamkuweza kuwa nao!!
Iko hivi! Wema haujawahi kushindwa na ubaya!
Wala uovu haujawahi kupoteza haki! Kila aliyeficha ukweli kwa hila aliumbuliwa hata kama nikwakuchelewa.
Kwakuwa ww ni mkristo na wasaidizi wako wengi niwakristo! Na wachungaji!
Kumbuka au waambie wakupe habari za Farao na mussa, Daniel na Nebukandineza, yusuphu na mke wa farao,
Hata hapa duniani! Hata hapa tanzania! Labda hata jimboni kwako! Ukweli haujawahi kushindwa na uovu.
Yawezekana umepata pigo kutoka kwa mcha mungu unaye kesha usiku kucha kumuhujumu,kumtakia mabaya, wewe na tundu lissu na genge lenu. Nae simwingine ni JPM
Maana tatizo lako dogo lakuvunjika mguu limefanya watanzania tujue kuwa unakimada Bungeni. Ambae cyo mkeo
Lakini pia umemzalilisha mwanao joseph na mkeo. Hadhi yao imepokonywa na kimada
Imetufanya tujue wewe ni mrevi wapombe zisizo na staha na mtu wakutembea usiku kwenye kumbi za starehe kinyume na hadhi yako.
Ndugu mbowe, umekaa ukajiuliza kwanini ww na watu wako wte mlikoswa weredi wa kuhendo jambo hili? Nakupa majibu.
Mungu bado yupo, na anawapigania watu wake, kitabu cha yeremia kinasema .WATASHINDANA NAWE LAKINI HAWATASHINDA KWA MAANA MIMI BWANA NIPO PAMOJA NAWE KUKUOKOA.
Wewe nakundi lako la watanzania na watu wa nje mkiongozwa na tundu lisu! Mmekesha sana mkituhujumu watanzania kwa lengo la kumkomesha Rais joseph pombe john magufuri,
Hamkujua nyuma ya rais jpm kunawatanzania zaidi ya ml.50 wanaotaka madawa, na chakula ktk aridhi mnayoihujuma.
Hakika mungu hawezi kukaa kimya.
Mlihujumu ndege zikakamatwa, mkagonga chairs zilizojaa mvinyo!
Mmehujumu majengo ya shule kwakuchoma moto! Mmetangazia dunia na watanzania uongo, mmeleta mauaji kibiti na kusababisha mauaji ili kuichafua nchi nyie na familia zenu mlikuwa salama.
Mmefanya maandamano yaliyosababisha watoto wa watu wafe, ila nyie familia zenu zilikuwa salama.
Covid-19 imekuja mkataka tufungiwe ndani ,tuteseke watanzania zaidi ya ml.50 ili nyie na familia zenu mpate raha. Mh rais katutetea watanzania ktk uso wa dunia kiasi cha Dunia kujifunza kwa tanzania na shirika lao kubwa WHO kujifunza kwa JPM.
Nadhani kwahaya maovu mliyotufanyia watanzania kwa lengo la kumkomoa magufuri, wewe na tundu lissu na genge lenu! Ndio maana mnaanza
Kuabika kwa vitu vidogo vidogo! Pombe haiwezi kukuabisha hivyo ww na kundi lote hilo kama siyo MUNGU anawaabisha.
Badirikeni ipo siku mtaabika pakubwa zaidi ya pombe aina ya faru john, zaidi ya kimada, zaidi ya kumdharirisha mkeo, mwanao na familia yako na wazazi wako.
Kuna watu wanakesha wanaomba na kuiombea nchi, nyie mnakesha kuifitini nchi, tangia lini shetani akamshinda mungu?
Huoni pombe na kimada kufunga historia yako yakibunge niaibu ? Nifedheha kwako na chama chako? Niaibu kwa familia yko na ndg zako?
Jitafakari! Mungu bado anakupenda na kukupa mda ndio maana yte haya yalitokea usiku ila akawanyima weredi wakulisimamia ili awaweke hadharani.
Tafakari, nikwanini kipindi hiki cha kuelekea bunge kuisha umepatwa na tatizo la kuvunjika mguu! Tena usiku wa manane?
Lakini kiujumla lilikuwa nitatizo dogo sana ambalo ungeweza kulihandle vizuri tu kulingana namda ulioumia, mazingila uliyoumia, na hadhi uliyona nayo.
Lakini hebu jihoji , nikwanini kulingana nahayo niliyoeleza kwanini ujasiri na busara ww na watu wako hamkuweza kuwa nao!!
Iko hivi! Wema haujawahi kushindwa na ubaya!
Wala uovu haujawahi kupoteza haki! Kila aliyeficha ukweli kwa hila aliumbuliwa hata kama nikwakuchelewa.
Kwakuwa ww ni mkristo na wasaidizi wako wengi niwakristo! Na wachungaji!
Kumbuka au waambie wakupe habari za Farao na mussa, Daniel na Nebukandineza, yusuphu na mke wa farao,
Hata hapa duniani! Hata hapa tanzania! Labda hata jimboni kwako! Ukweli haujawahi kushindwa na uovu.
Yawezekana umepata pigo kutoka kwa mcha mungu unaye kesha usiku kucha kumuhujumu,kumtakia mabaya, wewe na tundu lissu na genge lenu. Nae simwingine ni JPM
Maana tatizo lako dogo lakuvunjika mguu limefanya watanzania tujue kuwa unakimada Bungeni. Ambae cyo mkeo
Lakini pia umemzalilisha mwanao joseph na mkeo. Hadhi yao imepokonywa na kimada
Imetufanya tujue wewe ni mrevi wapombe zisizo na staha na mtu wakutembea usiku kwenye kumbi za starehe kinyume na hadhi yako.
Ndugu mbowe, umekaa ukajiuliza kwanini ww na watu wako wte mlikoswa weredi wa kuhendo jambo hili? Nakupa majibu.
Mungu bado yupo, na anawapigania watu wake, kitabu cha yeremia kinasema .WATASHINDANA NAWE LAKINI HAWATASHINDA KWA MAANA MIMI BWANA NIPO PAMOJA NAWE KUKUOKOA.
Wewe nakundi lako la watanzania na watu wa nje mkiongozwa na tundu lisu! Mmekesha sana mkituhujumu watanzania kwa lengo la kumkomesha Rais joseph pombe john magufuri,
Hamkujua nyuma ya rais jpm kunawatanzania zaidi ya ml.50 wanaotaka madawa, na chakula ktk aridhi mnayoihujuma.
Hakika mungu hawezi kukaa kimya.
Mlihujumu ndege zikakamatwa, mkagonga chairs zilizojaa mvinyo!
Mmehujumu majengo ya shule kwakuchoma moto! Mmetangazia dunia na watanzania uongo, mmeleta mauaji kibiti na kusababisha mauaji ili kuichafua nchi nyie na familia zenu mlikuwa salama.
Mmefanya maandamano yaliyosababisha watoto wa watu wafe, ila nyie familia zenu zilikuwa salama.
Covid-19 imekuja mkataka tufungiwe ndani ,tuteseke watanzania zaidi ya ml.50 ili nyie na familia zenu mpate raha. Mh rais katutetea watanzania ktk uso wa dunia kiasi cha Dunia kujifunza kwa tanzania na shirika lao kubwa WHO kujifunza kwa JPM.
Nadhani kwahaya maovu mliyotufanyia watanzania kwa lengo la kumkomoa magufuri, wewe na tundu lissu na genge lenu! Ndio maana mnaanza
Kuabika kwa vitu vidogo vidogo! Pombe haiwezi kukuabisha hivyo ww na kundi lote hilo kama siyo MUNGU anawaabisha.
Badirikeni ipo siku mtaabika pakubwa zaidi ya pombe aina ya faru john, zaidi ya kimada, zaidi ya kumdharirisha mkeo, mwanao na familia yako na wazazi wako.
Kuna watu wanakesha wanaomba na kuiombea nchi, nyie mnakesha kuifitini nchi, tangia lini shetani akamshinda mungu?
Huoni pombe na kimada kufunga historia yako yakibunge niaibu ? Nifedheha kwako na chama chako? Niaibu kwa familia yko na ndg zako?
Jitafakari! Mungu bado anakupenda na kukupa mda ndio maana yte haya yalitokea usiku ila akawanyima weredi wakulisimamia ili awaweke hadharani.