NYOLODO
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 12,112
- 27,716
Wakuu kwema?
Asee jana nilipata wasaa wa kucheka na kulia kwa pamoja. Pamoja na taarifa kusambazwa na kujadiliwa kila.mahala bado kuna watu wanaendelea kutapeliwa na hawa jamaa wa mikopo online.
Tulia trust mikopo wamemtapeli jamaa mmoja muendesha bulldoza hapa Unguja jana. Kalipa laki 3 na walivyo wajanja wakampigia simu kwa videi iliyorekodiwa kuwa anaongea na Tulia. Jamaa kajikomba pale "mheshimiwa, mheshimiwa" heeeh sindo katuma hela.
Na wakamtumia namba alipe akalipa, nimemshtua kuwa hao jamaa matapeli jamaa kabisha vya kutosha. Kwa mujibu wa kwao mkopo atapokea ndan ya dakika 15 tu. Cha ajabu nimesubir nae kuhakiksha jamaa matapeli kama masaa mawili hiv na hakuna aliepokea mkopo. Ndugu yangu Mwakalenga akalala na kulala 😂
Asee jana nilipata wasaa wa kucheka na kulia kwa pamoja. Pamoja na taarifa kusambazwa na kujadiliwa kila.mahala bado kuna watu wanaendelea kutapeliwa na hawa jamaa wa mikopo online.
Tulia trust mikopo wamemtapeli jamaa mmoja muendesha bulldoza hapa Unguja jana. Kalipa laki 3 na walivyo wajanja wakampigia simu kwa videi iliyorekodiwa kuwa anaongea na Tulia. Jamaa kajikomba pale "mheshimiwa, mheshimiwa" heeeh sindo katuma hela.
Na wakamtumia namba alipe akalipa, nimemshtua kuwa hao jamaa matapeli jamaa kabisha vya kutosha. Kwa mujibu wa kwao mkopo atapokea ndan ya dakika 15 tu. Cha ajabu nimesubir nae kuhakiksha jamaa matapeli kama masaa mawili hiv na hakuna aliepokea mkopo. Ndugu yangu Mwakalenga akalala na kulala 😂