ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 1,257
- 2,307
Tokea siku ya juzi kuna changamoto kwenye app yenu ya NMB mkononi, kutoa pesa ni shida na nimekuta nimeandikiwa deni ndani ya account yangu yaani (-Kisha kiasi ninachodaiwa) jambo ambalo sijawahi kuliona hapo kabla.
Nimetuma pesa juzi na imerudishwa jana ila nikitaka kununua umeme pia haiwezekani. Kuweni makini na mifumo yenu na kama mmezidiwa ni busara kuomba msaada
Nimetuma pesa juzi na imerudishwa jana ila nikitaka kununua umeme pia haiwezekani. Kuweni makini na mifumo yenu na kama mmezidiwa ni busara kuomba msaada