mbinu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kufanikiwa kwenye ufugaji

    Habari,Leo napenda kutoa elimu juu ya mbinu Bora za kufanikiwa kwenye mifugo yako; --- ✅ 1. Chagua Aina Bora ya Mifugo Tumia mbegu bora (high-yielding breeds) Angalia lengo lako: nyama, maziwa, au uzao ✅ 2. Malisho Bora na Lishe Sahihi Hakikisha chakula ni cha kutosha na chenye virutubisho...
  2. thirteen06

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kama mstaafu, au mzoefu kazini, shauri au toa mbinu mbalimbali zinazofaa kwa mtumishi hasa wa local government azitumie ili afanikiwe kiuchumi

    Vijana wanaoanza kazi, ajira mara nyingi nimekuwa nikiwaona wanapitia changamoto nyingi katika mazingira ya ugenini huku wakiugulia maumivu mbalimbali kutokana na kipato kidogo wanachopata wakati huo huo wakiwa hawawezi kukwepa kutoa msaada kwa ndugu zao wa karibu ambao mara nyingi ndio...
  3. shonkoso

    JamiiForums Tanzania Pata elimu ya bure,hivi ndo kura huwa zinaibwa katika nchi X

    Wengi wetu hatuamini kama kweli kura huwa zinaibwa. Ukweli ni kwamba kura huwa zinaibwa haswa maeneo yenye upinzani mkali. Nitashare nanyi baadhi ya mbinu nilizo fanya utafiti wangu binafsi 1 .Mbinu ya kwanza kabisaaa huwa ni kuwa na wapiga WAPIGA KURA HEWA Kuna watu huandaliwa kujiandikisha...
  4. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Mbinu za Hatari Alizotumia Gwajima Kuwatoroka Polisi

    Inaelezwa kwamba polisi walishindwa kumpata Gwajima ilhali walikuwa wamemzunguka. Maswali yanayoibuka ni je, aliwezaje kuwatoroka. https://youtu.be/yQ2zT0LD5qg?si=Brdvz6bRNVe6d2_e TANGAZO: ‘Likizo Time’ Mlete mwanao asome nasi katika kituo chetu kwa kipindi hiki cha likizo, masomo yote...
  5. Setfree

    JamiiForums Tanzania Zijue mbinu za kushinda uzinzi/zinaa

    Uzinzi unasababisha mateso makubwa kwa watu wengi duniani. Miongoni mwa mateso hayo ni kuambukizwa Virusi vya Ukimwi(VVU), vinavyodhoofisha kinga ya mwili na kuhatarisha maisha. Kwa mujibu wa ripoti ya UNAIDS ya mwaka 2024, jumla ya watu wanaoishi na VVU duniani ni takriban milioni 39. Uzinzi...
  6. Under-cover

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya kuangusha noti bila mteja kujua

    Pale Ubungo Plaza nilifanyiwa hivyo mara ya kwanza....nikasema poa ngoja na kesho nije nione ...ikawa yale yale... Nikaa siku mbili nikaenda tena na laki mbili nikafika dirishani kwa yule dada nikaanza kumpa noti moja bada ya nyingine nikamwambia tunahesabu kwa pamoja akataka azuie nikamwambia...
  7. ndandambuli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunataka kurudiana ila tunategemeana, nipeni mbinu

    Baada ya kuachana kwa hasira kila mmoja wetu akatafuta wa kumliwaza,bahati mbaya au nzuri kila mmoja wetu hajaridhika na mahusiano haya mapya, Nasikia mwenzangu huko aliko anasema nikimwomba kurudiana Yuko tayari muda wowote,na mimi nataka turudiane ila hofu yangu nikianza mimi kumwomba...
  8. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT Wazalendo: Tunazijua Mbinu za CCM, Tutawakabili Watakavyokuja

    TUNAZIJUA MBINU ZA CCM, TUTAWAKABILI WATAKAVYOKUJA Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Ndugu Othman Masoud Othman amesema uamuzi wa ACT Wazalendo kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 umetokana na uzoefu wa kutosha walio nao kuhusu mbinu, ujanja na...
  9. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mbinu hii itakupa viewers wengi kwenye content yako. Pesa ipo mtandaoni vijana.

    Kwenye safari yangu ya kutumia maudhui ya mtandaoni especially Facebook nimejifunza kitu. Unaweza kuweka content murua kabisa lakini ikawa na views 200 kwa wiki au wiki mbili na ukaweka content ya kawaida kabisa ikapata viewers million 1 kwa siku mbili au moja. Nina account Instagram ila hata...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ni wakati wa "system" kutumia mbinu zao zote kukwepa hii mitego miovu ya WEST (US) kuhusu nchi yetu.

    Wakuu kwa sasa sio siri tena kwamba wamarekani wanasukuma kete zao kwa umakini mkubwa kutimiza agenda zao ovu dhidi ya nchi yetu. Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya hadi sasa. Martha Karua, Boniface Mwangi na hao wanaharakati wengine wanatumika tu kwenye hii mikakati ya wamarekani. Tayari US...
  11. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho Walimu wakajua tunamdekeza...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kimedani: Vijana wasomi badilisheni Mbinu za kivita. Upepo wa mashambulizi umebadilika

    KIMEDANI; VIJANA WASOMI BADILISHENI MBINU ZA KIVITA. UPEPO WA MASHAMBULIZI UMEBADILIKA Anaandika, Robert Heriel. Mtibeli. Upo kwenye Vita. Vita vinahitaji mambo makuu yafuatayo ili ushinde; 1. Nguvu kazi(jeshi) Jeshi ni wewe Mwenyewe! 2. Elimu, ujuzi, maarifa na mafunzo ya kivita. Hapa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mbinu waliotumia leo CHAUMMA kujaza ukumbi ni ya kitoto

    Mbinu waliotumia leo CHAUMMA kujaza ukumbi ni ya kitoto Unajaza watu ukumbini ambao moyoni mwao against chama tawala wanakuwa vile? Hakuna hata mbwa wa polisi na farasi nje ya ukumbi? Hakuna hata kirabsha kidogo ?
  14. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Simba waanza mbinu ya kuikwepa Yanga fainal za CRDB, mbinu yao ya kwanza itaanza kwenye mchezo wao na singida

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Baada ya wananchi yanga kutinga hatua ya fainal za CRDB tiar viongozi wa Simba wameanza mbinu za kukimbia game Na mbinu yao ya kwanza kabisa itaanza kwenye game yao na singida Yenu macho LONDON BOY
  15. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Mbinu ya Simba kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa leo

    Yaani wajitahidi wafungwe angalau 3 tu maana inaonekana kuna baos 5.na mbinu pekee ya kuwasaidia ni kukabia juu sana. Wakakabie katika goal la Berkane kabisa. Yaani Simba wakakabe hasa lango mwa Berkane mpira usiwe unavuka hata ile D Sababu ukivuka tu bao. Simba hawana kipa. Wana shati tu pale...
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu sana kuwashinda Chadema kwenye jicho la Kisheria, ndo mana mbinu zote za CCM na System zinakwama

    Unaposhindana na Chama kilichojaa manguli wa kisheria waliosoma Sheria ndani na nje ya Tanzania tena kwenye vyuo bora kabisa duniani vinavyofahamika kutoa Wanasheria bora kabisa ni vizuri uwe makini na smart sana. Hiki ndo kinachowakuta system na CCM kwa sasa. Kwa kuwa system haijawahi ku...
  17. bibliatimes

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kukusaidia kuomba vizuri kwa muda mrefu - 1

    MBINU ZA KUKUSAIDIA KUOMBA VIZURI KWA MUDA MREFU-1 Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo Bwana wetu. Leo nataka nikupe mbinu kadhaa za kukusaidia kuomba vizuri na kwa muda mrefu. Hakikisha Unafuatilia somo hili Hadi mwisho na Mungu atakuinua viwango vingine kimaombi. Ni muhimu sana kwa mwana...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Manipulation: Mbinu iliyotumika na CIA kukichukua kisiwa huko Ufilipino na Sakata la Sumu Ofisi za Chadema huko Mbeya.

    Kuelekea Vita kuu ya Pili ya Dunia Marekani alikuwa na uhitaji mkubwa sana wa visiwa katika Bara la Asia kwa ajili ya kujenga Kambi zake za kijeshi.Moja ya maeneo yaliyotambuliwa na Marekani ni visiwa vilivyopo karibu na Nchi ya Ufilipino. Pamoja na kutumia mbinu zote kuwashawishi wakazi wa...
  19. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Ishi ndoto zako, mbinu za kujiepusha na magonjwa ya Figo na mfumo mzima wa Mkojo

    Habari wakuu, nimewaandalia video fupi kuelezea juu ya mbinu za kujiepusha na magonjwa hasa yatokanayo na kufeli au kudhoofika kwa Figo na mfumo wa mkojo kwa ujumla, hope utaelimika na kuiishi uwe na afya njema.
  20. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya kuzima mabadiliko ya watu wenye tamaa za madaraka imefeli badala yake imechochea mwamko mkubwa wa mabadiliko nchini na duniani kote

    Kila siku zinavyozidi mbinu ya wenye tamaa ya madaraka kuzima mabadiliko kwa uhalifu na utekaji, uwepo wa kesi za mchongo, kwa kujificha kwenye kichaka cha demokrasia na amani ndio inaamsha watu ndani na nje ya nchi kuunga mkono kwa kasi mabadiliko hayo, uwenda pia bunge la marekani na dunia...
Back
Top Bottom