mbinu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. UtdProfile_

    Tupe mbinu zako unawezaje ishi mjini bila kazi ya kudumu?

    Unawezaje kuishi mjini, kama DSM, bila deal la maana 🤔🤔🤔🤔
  2. GENTAMYCINE

    Zijue Mbinu kadhaa za Kupambana na Tembo Waharibifu wa Mazao Mashambani

    1. Zungushia Shamba lako na Kamba ya Katani kisha ipakae Pilipili Kali 2. Panga Matofali moja moja Kuzungukia Shamba lako lote 3. Tafuta Spika Ndogo Nne kisha zipange kila Kona ya Shamba lako kisha weka nyimbo zenye midundo ya Ngoma tupu 4. Ukiweza mtafute Mtu mwenye Pikipiki mbovu yenye...
  3. C

    Uliwezaje kufanikiwa kimaisha kwa kutumia mbinu au kanuni uliyosoma kwenye kitabu au ushauri?

    Ndugu wanajamvi, Kwenye jamii inayotuzunguka kuna msemo ya wahenga na busara au elimu ambayo ili kusaidia au kukunufaisha na kutuwezesha either Iwe positively au negatively kuwa na nidhamu au kanuni za kimaisha. Naomba tushare baadhi ya hivo Vitu either umesoma, kusikia, kuona au namna...
  4. Mwl.RCT

    SoC03 Mbinu za Ufanisi za Kuondokana na Mikataba Mibovu Tanzania

    Mbinu za Ufanisi za Kuondokana na Mikataba Mibovu Tanzania Mwandishi: MwlRCT I. Utangulizi Tanzania imekumbwa na janga la mikataba mibovu, likisababisha hasara kubwa kwa uchumi na jamii. Takwimu zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2000, Tanzania imeingia mikataba zaidi ya 50 ambayo ni mibovu...
  5. Powell Gonzalez

    Epuka gharama kwa kuacha kununua vitu visivyo vya lazima, tumia mbinu hizi

    Bila shaka kila Mtu ameshawahi kununua kitu alafu baadae akajihisi kama anajutia kukinunua Aidha Kwa sababu hakina umuhimu au kimemuingiza gharama zisizo za msingi.Hapa mara nyingi vitu kama simu,vifaa vya usafiri,nguo na vitu vingine ambavyo ni luxurious huwa vinahusishwa. Mimi Kwa utafiti...
  6. Liverpool VPN

    Wale tunaopokea mishahara ya majanga (midogo) hebu tukutane tupeane mbinu za kuishi..!!!

    INTRODUCTION Salamu sanaa Wana JF, ni Mimi yuleyule Mr. Liverpool A.K.A mkataa ndoa. Hebu twende kwenye mada moja kwa moja. SCENARIO. Umeuona huu mshahara...!!! Huu mshahara unaousoma hapo chini hapo .... 1. Unasomesha watoto wangu wawili private (primary school)..!! 2. Unanipa Flying fish...
  7. chamilo nicolous

    Naomba mbinu za kumkamata mchawi

    Wandugu heri ya ijumaa! Kuna dogo ni beki 3, ninahisi ananguvu za ajabu ajabu a.k. a mauza uza! Sasa nikasema moyoni nitaenda kwa wanajamii forums, great thinkers wenye akili Mithali ya Aristotle, Socrete, na Plato, watu walikuwa na maarifa na akili za kiufumbuzi wa matatizo! Ndugu nipeni...
  8. Kilimbatzz

    Nina shida ya millioni 30, naombeni mbinu ya kuzipata

    Nataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi. Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu. Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa...
  9. Mtemi Eno

    Kwa wapenda muvi na series, hii ndio mbinu rahisi ya kuzidownload

    Makadirio ya Ukubwa wa Muvi / Series -Muvi za 720p zina MB 700 hadi GB 1 -1080p zina GB 1.5 hadi 2 -Series za 720p zina MB 250 hadi 400 -1080p ni MB 500 hadi 800
  10. G-Mdadisi

    Mhadhiri Chuo Kikuu SUZA: Ili Wanawake washinde Uongozi lazima wazielewe mbinu za kujenga Ushawishi Kisiasa

    Na Gaspary Charles WANAWAKE wenye nia ya kugombea nafasi za uongozi wametakiwa kuelewa mbinu sahihi za kufanya ushawishi katika siasa na uongozi ili kukabiliana na vikwazo vinavyoweza kuwakwaza kushika nafasi hizo katika ngazi mbalimbali. Wito huo umetolewa na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa...
  11. Suley2019

    Mbinu ya kudhibiti jasho la kwapani

    If you’re bothered by how much you sweat, you’ve likely tried many different brands of deodorant with no success. Excessive underarm sweating can be uncomfortable, but it doesn’t have to be inevitable. There are many methods to prevent sweating, and many of them can be tried at home. In some...
  12. Equation x

    Nipeni mbinu za kumuacha huyu mrembo

    Hivi karibuni, nilikutana na mrembo mmoja ana asili ya kisomali, ila yeye ana mwili jumba. Baada ya kurusha ndoano, mtoto akanasa, tukajikuta tupo kwenye mahusiano. Siku ya kwanza nakutana naye sita kwa sita, ilikuwa ni shoo hatari; kiufupi nilikuwa sijawai kupewa baadhi ya sarakasi, ila pale...
  13. The Eric

    Naomba wanaume tuje tubuni mbinu mpya za kuomba namba za simu.

    Salaam! Imani yangu inaniambia Jf wengi wao ni watu mordenized ones......kwa heshima hii nawapa. Sasa naomba wakaka wa kisasa tubuni namna ya kuomba namba kwa hawa wadada. Hizi ni tabia za kijinga kwa wakaka washamba na limbukeni. 1. Kila demu anayepita unajeuza shingo au kumtolea mimacho...
  14. O

    Kesi ya mauaji ya dada wa Bil. Msuya:Mkaguzi Mahita aeleza mbinu aliyotumia kumkamata mshtakiwa

    Dar es Salaam. Mkaguzi wa Polisi, Mahita Omari Mahita ameieleza Mahakama kuwa walifanikiwa kumtia mbaroni mshtakiwa wa pili, Revocatus Everist Muyella katika kesi ya mauaji ya Aneth Msuya, baada ya askari mmoja kumuomba lifti amkampeleka hadi kituo cha polisi. Mahita alieleza mbinu hiyo jana...
  15. Kenenisa

    Ushawahi kutumia mbinu chafu kufaulu masomo?

    Uhali gani mwanaJF, Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kuanzia shule ya msingi mpaka a-level nilikuwa mtakatifu (Clean student) nikifaulu kwa juhudi zangu. Hali ilibadilika baada ya kuingia chuo kikuu. Nikaanza kuwa muhuni na kuwa top cheater nikitumia mbinu zufuatazo I) Kuandika mkononi au...
  16. Beberu

    Nilipotumia Mbinu ya wachina kufaulu mitihani

    .Happy Sunday to you all Bas bwana, Enzi hizo nipo shule ya msingi walikuwa wanatoa zawadi kwa mtu wa kwanza hadi wa tatu, na mnasomwa kwa majina siku ya kufunga shule, so ni full maujiko kuitwa shule nzima inakuona, mpaka kufika darasa la nne mm nilikuwa sijawahi pata zawadi yeyote 😂😂 Si...
  17. Mr Lukwaro

    Mipango na mbinu za kibiashara kwa mjasiriamali Mdogo, Kati na hata Mkubwa

    Dunia leo hii inawataja mabilionea wafanyabiashara wakubwa kama vile Bilgates, Carlos Slim, Abraham Markovich, Trump, Mc Donald, Jeff Bezos na wengine wengi waliofanikiwa kifedha na kupata umaarufu mkubwa kupitia biashara. Imekuwa ni changamoto Kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo...
  18. ChatGPT

    Mbinu za Kisaikolojia zinazoweza kukusaidia kushawishi na kukufanya ukafanikiwa katika kitu chochote

    Nilipokuwa napitapita zangu kwenye kitabu kinachoitwa Dark Psychology nikakutana na mambo ya kuvutia sana. Do you know kwamba watu wanatumia hiyo skill kukufanya ufanye maamuzi nje ya tabia yako ya kawaida? Ukiwa unatangaziwa kitu alafu unaambiwa "offer hii ni ya wiki moja pekee" au unaambiwa...
  19. Afrocentric view

    SoC03 Mbinu zipi zitumike kuongeza watumiaji wa mtandao wa Jamii forums Tanzania

    Tangia Jamii forum ianze miaka 17 iliyopita, mpaka leo bado ina watumiaji laki 6 na kidogo tu. Hii idadi ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watanzania wenye uwezo wa kumiliki simu janja. Hii ni hasara kwa jamii kwakuwa hatuzivuni faida nyingi za watu kuwa katika huu mtandao kuliko mitandao...
  20. BIG STONE AND CONER STONE

    Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

    Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili. Kuchukua Mwanamke maskini...
Back
Top Bottom