Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,156
- 5,195
Nasimama na mishangazi asee inajua inajua tena, Niko tayari kuoa mshangazi ndio vitu vyangu asee nipe nikupe
Naheshimu mawazo ya kila mtu, shida hamueleweki mara kataa ndoa mara hivi, hawa mnao wakataa tunataka kuwastiri hamtaki tena, sasa tuwaeleweje?Njaa huwa inakuja na maelekezo
Tulia wewe huna uzoefuMileage ndio kila kitu meen.hao miAnt wametumika sana.0KM is everything beibeeh.
Shinda mechi zako , hamtaki wapi?Naheshimu mawazo ya kila mtu, shida hamueleweki mara kataa ndoa mara hivi, hawa mnao wakataa tunataka kuwastiri hamtaki tena, sasa tuwaeleweje?
Tuache kuzaliana mpaka tundu lissu atoke? Mbona we unaendelea kula ilihali lissu Yuko jela? Si ugome kula tuone una uchungu mkuu, unafikir sio mzuri kakaTundu Lissu anasota gerezani kupambania akili kama hizi
Najua bwashee una Binti huenda unahofia ushindani kutoka Kwa mishangazi,🤣🤣 nakutania bwasheheShinda mechi zako , hamtaki wapi?
Napokea utaniNajua bwashee una Binti huenda unahofia ushindani kutoka Kwa mishangazi,🤣🤣 nakutania bwashehe
Wapi nimesema msizae mkuu?Tuache kuzaliana mpaka tundu lissu atoke? Mbona we unaendelea kula ilihali lissu Yuko jela? Si ugome kula tuone una uchungu mkuu, unafikir sio mzuri kaka
Basi nakupa huyu utamuwezaWapi nimesema msizae mkuu?
Huyo mshangaziBasi nakupa huyu utamuweza