Sugu: Madee alinitumia shilingi milioni mbili

Sugu: Madee alinitumia shilingi milioni mbili

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
25,437
Reaction score
46,182

Mkongwe wa Hip Hop Bongo, Sugu amefunguka kwanini hayupo katika mpango wa kuhadhimisha miaka 30 ya Bongofleva.

Amesema Madee alimtafuta na kumuomba ashiriki katika wimbo wao kwa ajili ya mradi huo, na yeye alikubali.

Ghafla baada ya muda akashangaa kuona Madee amemtumia Sh2 milioni, ndipo akabidi ahoji ni kitu gani kinaendelea.

Baada ya kuelezwa kuhusu wazo hilo, Sugu akaona hatuweza kuwa sehemu ya mradi huo lakini kwa maana nzuri tu.
 
Unatakiwa kuwa na sikio kuelewa Sugu anasema nini. Kila taasisi inayofanya vizuri, ikionyesha mafanikio kidogo au ikiwa na wafuasi wengi nchini Tanzania lazima itatumika kisiasa.
 
Bar za sekunde 15 2m, Madee hana ukwasi huo
 
Back
Top Bottom