mbeya

  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Njombe na Mbeya

    Leo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili . Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika ======== UPDATES Njombe Mjini ========= UPDATES 2 Lissu aingia Mbarali
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kata kwa Kata: Sugu aendelea kufagia uchafu Mbeya Mjini, Hii hapa ni kata ya Nzovwe

    Huyu kijana kuna haja ya Africa kumpa tuzo maalum , si rahisi kwa raia kuikalisha chini serikali yote Mbeya , kwa jinsi anavyoungwa mkono Mbeya Mjini imefanya hata yule polisi aliyemkamata siku anarudisha fomu kuogopa hata kujitokeza hadharani , inasemekana anaogopa hata kwenda dukani kununua...
  3. Huihui2

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tulia uliambiwa hukusikia, ukalazimisha kugombea Mbeya

    CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:- 1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anatokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia Mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu. 2. Mfumo...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Yanga vs Mbeya city live: 13/9/2020

    Habari wana Jamiiforums Baada ya jana kutabiri mikia kutoa sare, leo mabingwa wa kihistoria wa Tanzania tunaenda kucheza na Mbeya city katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Nawakaribisha mashabiki wa mikia wajifunze na waweze kuona mpira wa ukweli na usio na makandokando. Na ichi ndicho kikosi cha...
  5. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania GE2020 MBEYA MJINI: Mkimchagua Sugu mtakuwa mmeshamchagua Tulia, mtakuwa na wabunge wawili

    Huyu Tulia akson Tangu ateuliwe na Magufuli kama "mbunge wa Dar" (Ndipo alipo pigia kura ya meya), alianza maandalizi ya kupata ubunge wa kuchaguliwa, mwanzoni nguvu zote alizielekeza huko kwao alikozaliwa ila baadaye akaona isiwe tabu akahamia Mbeya mjini kujaribu kumtoa Sugu. Akaanzisha...
  6. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya inaungua moto

    Hospitali ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya inaungua moto muda huu. Chanzo bado hakijafahamika. Waliopo karibu na eneo watupatie taarifa zaidi. Chanzo: EATV
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Sugu aendelea kuiteketeza CCM Mbeya Mjini, aanzisha operesheni Kata kwa Kata, hebu angalia mtiti wake

    Hii hapa ni kata ya Igawilo jioni hii Kumbuka hilo ni jeshi dogo tu la Mbeya mjini akiwemo kamanda John Mwambigija
  8. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania CCM Mbeya mjini waijibu CHADEMA

    CCM MBEYA MJINI, WAIJIBU CHADEMA Na Elius Ndabila Wiki iliyopita Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walifanya mkutano mkubwa wa Kampeni kwenye viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya. Mkutano huo ambao ulikuwa ni wa kuomba kura kwa Mh Lisu anaye gombea Urais ulihudhuriwa na watu wengi...
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mgombea Ubunge wa Mbeya Mjini, Tulia Ackson afanya kampeni na watoto wadogo

    Katika hali ya kushangaza, wanasiasa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameanza kufanya siasa za ajabu sana kwenye uchaguzi mkuu huu. Wameanza kutumia watoto wadogo kisiasa. Watoto ambao walihitaji kulindwa na serikali dhidi ya kushiriki matendo wasiyokuwa na ufahamu nayo kama vile siasa za kampeni...
  10. Abdul Mohammed

    JamiiForums Tanzania GE2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

    Mbeya leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa.
  11. Cicadulina

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbeya: Tundu Lissu amshukuru Mungu kwa matendo makuu

  12. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA wamedhibitiwa mkoa wa Mbeya

    NGUVU YA CHADEMA HAIPO TENA MBEYA, WATAPIGWA OCTOBER 28 Na Elius Ndabila Kuna watu jana baada ya Mh Tundu Lissu kufanya mkutano wake jijini Mbeya wamekuja na kauli kuwa Mbeya mjini ni ya CHADEMA. Bahati mbaya wamefanya utafiti ambao kisiasa ni inlogic. Kabla sijatoa hoja madhubuti ya kupinga...
  13. Superbug

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbeya sio wanafiki, sio watu wa kujipendekeza. Hawaendeshwi na hawaogopi mtu

    Kwa ufupi mbeya sio wanafiki sio watu wa kujipendekeza hawaendeshi kiboya na hawaogopi mtu. Hii inasababishwa na hulka ya wale watu ni wachapakazi hivyo Wana financial muscles mtu mwenye uchumi mzuri hapelekeshwi Wala hababaishwi. Mathalani mfano wanyakyusa moja ya makabila ya mbeya na moja ya...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

    Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa . Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais...
  15. harakati za siri

    JamiiForums Tanzania Majina ya radio za Dini Mbeya

    Wapendwa wana JamiiForums, Naomba kujulishwa radio za ki Kristo zilizoko Mbeya, ni ngapi? Na majina yake tafadhali.
  16. M

    JamiiForums Tanzania Sehemu nzuri ninayoweza fanya biashara ya mitumba ya watoto Mbeya tofauti na Kabwe

    Habari wakuu naomba ushauri nataka kufungua biashara ya kuuza mitumba ya watoto mkoani Mbeya na sehemu nzuri ambayo ina mitumba mingi Ni kabwe Ila changamoto ni upatikanaji wa frame au meza kwa eneo hilo. Kwa wazoefu wa hii biashara mbeya je eneo gani lingine naweza fanya hii biashara kwa hapa...
  17. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania OCD Mbeya mjini acha chuki binafsi kwa SUGU, kuwa makini usiuletee mji matatizo. Jifunze!

    Wasalaam wajumbe humu! Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbeya na Iringa bado ngoma ngumu kwa CCM

    MBEYA NA IRINGA BADO NGOMA NGUMU Na, Robert Heriel Kama kuna majimbo ambayo CCM itahangaika sana ni pamoja na Iringa Mjini, Mbarali, Mbeya Mjini, na Tunduma Mjini. Kanda ya juu Kusini sasa ndio itakuwa kambi Rasmi ya Upinzani tofauti na sasa ambapo Kanda ya kaskazini mashariki yaani Arusha...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya kiongozi wa CHADEMA, Parick Ole Sosopi aliyoi-post dakika chache zilizopita asubuhi ya hii.
  20. G Sam

    JamiiForums Tanzania Umati wajitokeza nje ya jiji la Mbeya kumlaki Tundu Lissu akiwa bado Iringa, ataingia Mbeya usiku ila wamekusanyika ili wamlaki

    Aisee huu mwaka mambo yamebadilika kabisa. Hapa ni Mlima Nyoka watu wamekusanyika kupokea ujio wa Lissu ambaye anakadiriwa kuwa umbali wa kilomita zaidi ya 150 kufika hapo walipo. Ikumbukwe kutokana na msafara wake jana kusimamishwa mara kwa mara alishindwa kuhutubia mwembe togwa Iringa na...
Back
Top Bottom