Gari la zimamoto litoke Mbeya! Kyela na Tukuyu hawana tujiulize Mwakyembe miaka yote amefanya nini? LET HIM GO.Hospitali ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya inaungua moto muda huu. Chanzo bado hakijafahamika.
Waliopo karibu na eneo watupatie taarifa zaidi.
Source: EATV
View attachment 1566389
View attachment 1566390
View attachment 1566391
'Unatumika na mabeberu' sio?Mungu awanusuru, namajengo nayo yanaonekana yamechoka yazamani.
Hiyo simu yako unayotumia imetengenezewa Chato?'Unatumika na mabeberu' sio?
Sad News. Mungu awe upande wao.Hospitali ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya inaungua moto muda huu. Chanzo bado hakijafahamika.
Waliopo karibu na eneo watupatie taarifa zaidi.
Source: EATV
View attachment 1566389
View attachment 1566390
View attachment 1566391
Hakika na lazima tupambane na 'mabeberu',yanarudisha nyuma 'maendereo' yetu si umeona hata hio hospitali.Hiyo simu yako unayotumia imetengenezewa Chato?
Jibu ulivoulizwa???Hakika na lazima tupambane na 'mabeberu',yanarudisha nyuma 'maendereo' yetu si umeona hata hio hospitali.
Swali liko wapi?Jibu ulivoulizwa???