Aeronautical
Senior Member
- Jun 19, 2019
- 127
- 137
Habari wana Jamiiforums
Baada ya jana kutabiri mikia kutoa sare, leo mabingwa wa kihistoria wa Tanzania tunaenda kucheza na Mbeya city katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Nawakaribisha mashabiki wa mikia wajifunze na waweze kuona mpira wa ukweli na usio na makandokando.
Na ichi ndicho kikosi cha leo.
Mapumziko: Yanga 0 vs Mbeya city 0
Dakika ya 84: Yanga 1 vs Mbeya city 0
Goal: Lamine MORO
Full time: Yanga 1 vs Mbeya city 0
Baada ya jana kutabiri mikia kutoa sare, leo mabingwa wa kihistoria wa Tanzania tunaenda kucheza na Mbeya city katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Nawakaribisha mashabiki wa mikia wajifunze na waweze kuona mpira wa ukweli na usio na makandokando.
Na ichi ndicho kikosi cha leo.
Mapumziko: Yanga 0 vs Mbeya city 0
Dakika ya 84: Yanga 1 vs Mbeya city 0
Goal: Lamine MORO
Full time: Yanga 1 vs Mbeya city 0