mbeya

  1. Erythrocyte

    Video: Mbunge wa Mbeya Mjini akabidhi vifaa vya kisasa vya michezo kwa timu za soka

    Mh Joseph Mbilinyi leo amekabidhi vifaa vya kisasa vya michezo kwa timu za soka jimboni kwake Kwa awamu ya kwanza timu zilizonufaika ni pamoja na: 1. Airport Rangers (Kata ya Iyela) 2. Stone fire (Maaga) 3. Iganzo fema club (Iganzo) 4. Iwambi FC (Iwambi) 5. Iyunga boys (Iyunga) 6. Itende FC...
  2. Miss Zomboko

    Mbeya: Vijana 11 wakamatwa kwa utapeli wa 'ile pesa tuma kwenye namba hii'

    JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kupitia Mtandao wa Facebook kwa kutumia majina ya viongozi wa Serikali na wasanii maarufu. Aidha vijana hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanashirikiana na mawakala wa...
  3. Erythrocyte

    Mbeya: Mkutano Mkuu Maalum wa CHADEMA Jimbo la Mbeya Mjini Wafana, mipango haramu yafichuliwa

    Ukweli ni kwamba alilolipanga Mungu hakuna mwanadamu awezaye kulipangua , Mbeya ni ya Chadema na itabaki kuwa ya Chadema tu Pichani ni wajumbe wa mkutano huo maalum wa jimbo la Mbeya Mjini
  4. Erythrocyte

    Ushirikiano: Mbunge wa Mbeya Mjini ashiriki usafi Soko la Sido, anywa chai ya rangi na masela, awahutubia wananchi

    ===== Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, leo amejumuika na wananchi kufanya usafi katika soko la Sido. Katika zoezi hilo, Mh. Sugu pia amejumuika na baadhi ya wananchi, wengi wao wakiwa vijana, katika kupata kifungua kinywa. Siku kadhaa zilizopita Sugu alieleza wazi...
  5. Pascal Mayalla

    "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake rasmi litapatikana baada ya October 28, 2020, ila kama una majibu, unaweza kuchangia kujibu na sio lazima tusubiri hadi hiyo October 2020. Angalizo: Naomba kuanza hili bandiko na angalizo la mawazo masafi, tusome bandiko hili tukiwa na...
  6. Erythrocyte

    Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya Mjini, amuonya Bashiru Ally

    Amemtahadharisha kwamba kwenye suala la Urais na Ubunge wa Mbeya Mjini wana Mbeya Mjini walishalifunga tangu mwaka 2010.
  7. babu M

    Show ya Harmonize Mbeya imezuiwa

    Mimesoma kwenye Instagram ya Harmonize ameandika show yake iliyokuwa ifanyike usiku huu imezuiwa. Show hiyo ilikuwa na kibali cha mpaka 6.00 lakini polisi wameizuia. Ameandika bado hajabahatika kujua sababu ni nini! Sikiliza hii clip pia Harmonize akipewa taarifa.
  8. Z

    Ni vigumu kuamini lakini Harmonize is the new king of bongofleva. Mbeya wamethibitisha hilo. Afroeast album ndio itayotoa majibu

    Mapokezi makubwa aliyoyapokea mbeya... Yamemshtua sana kijana wetu anaepambana kuukuza mziki Wa bongo fleva. Mji wa mbeya umezizima siyo kawaida... Na hapo unaambiwa ni maandalizi ya kuupokea album. Ya afroeast . 2009 diamondplatinumz alianza hivihivi. Kama matani. Mwishowe akaubeba ufalme....
  9. Jamii Opportunities

    16 jobs positions at Toyota Tanzania Limited which is opening a new branch in Mbeya

    Toyota Tanzania Limited is opening a new branch in Mbeya and is now seeking well qualified, result oriented, dynamic and enthusiastic professionals to fill in the following positions below: 1. Auto Cleaner Good car washing skills, at least two years’ experience in a reputable carwash or...
  10. Miss Zomboko

    Wabunge waitaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia maiti ndugu wanaposhindwa kulipa gharama za matibabu

    Wabunge wametaka Serikali kuacha tabia ya kushikilia miili ya wanaofariki na ndugu zao kushindwa kulipa gharama za matibabu kwa wagonjwa wanaofariki badala yake imetakiwa kusamehe. Hoja hiyo ilitolewa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) na Mussa Mbarouk wa Tanga wakati wakichangia...
  11. Erythrocyte

    Unyama: Diwani wa CHADEMA Mbeya Mjini anusurika kuuawa na watu wasiojulikana, apigwa panga la utosi, hakuna uchunguzi

    Hapa ndio mahali ambapo Nchi yetu na siasa zetu zilipofikia. Tunamshukuru Mungu kwa kumlinda Mh Ibra dhidi ya wahalifu wanaolindwa ambao walimvamia alipotoka kwenye mgahawa kuelekea nyumbani kwake . Mungu ibariki Chadema ===== Ibrahim John Mwampwani diwani wa kata ya Isyesye Jijini Mbeya...
  12. K

    GR Hotel Mbeya inaongozwa na mtu aisye mtanzania kwa miaka 3 sasa. Je, hakuna mtanzania mwenye sifa ya kuwa Meneja hapo?

    This Hotel for three years or so, is under the management of a foreigner, though is locally owned by a Tanzanian. Ni kweli hakuna Mtanzania anaweza kuwa manager hapa? Tunalalamikia kazi hakuna, ni kweli hatuna mtanzania anaweza endesha hotel hii ya kiwango cha chini hivi? Authorities kazi...
  13. S

    Hivi gari za kutoka Mwanza kwenda Mbeya zinafika saa ngapi Mbeya

    Nauliza basi za Mwanza kwenda Mbeya zinafika huku saa ngapi na huwa zinalala njiani au ni moja kwa moja? Ikiwezekana nipatieni na mawasiliano yao hapo Mwanza.
  14. S

    Mkoa wa Mbeya mtavurugwa

    Mimi sio mwanasiasa bali ni mtumishi hapa Mbeya. Nimekuja mbeya sasa ni mwaka wa 4. Kuna jambo linaendelea mbeya na wao hawataki kulikemea. Mkoa wa Mbeya wasipoangalia kufikia mwaka 2025 watatawaliwa na wanyakyusa. Nikupe takwimu Mbunge wa Chunya, Kyela, Rungwe na Busokelo ni Wanyakyusa. Mbeya...
  15. Erythrocyte

    Tulia Ackson atumia Tulia Trust kulipia bima anaowaita wazee wasiojiweza Mbeya

    Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani. Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa...
  16. Miss Zomboko

    Mbeya: Madaktari hospitali ya Wilaya Tukuyu wakamatwa kutokana na kutoa huduma mbovu kwa wananchi

    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika nafasi zao Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Tukuyu Bw, Manase Ngogo na Afisa Ugavi Bi. Vumilia Mwaijande kutokana na kutoridhishwa na utendaji kazi wao. Dkt. Ndugulile ametoa agizo hilo...
  17. SaidMuhama

    Natafuta wauzaji wa mchele wa jumla

    Natafuta wauzaji wa mchele wa jumla kati ya Mbeya, Ifakara. Tuwasiliane kupitia +255 625 490 405.
  18. okiwira

    Nataka kuwekeza biashara ya CD na vifaa vya simu Mbeya wilaya ya Rungwe maeneo ya Ntokela na namba one

    Habari wadau wa Mbeya wilaya ya Rungwe maeneo ya ndaga namba one na nitokela hadi uwanja wa ndege. Nahitaji kuwekeza katika biashara ya kuuza CD vifaa vya sola vifaa vya simu na ufundi simu. Vipi nitakuwa nimechagua eneo sahihi la biashara hiyo?
  19. Erythrocyte

    Tunakuomba Katibu Mkuu wa CHADEMA ufanye ziara maalum mikoa wa Songwe na Mbeya

    Nafahamu kwamba baada ya kuingia ofisini bila shaka unayo mipango mingi sana ya kukipeleka chama mbele zaidi, hilo wala sina shida nalo hata chembe, bali nakuomba kwenye ratiba yako ya mwezi January upange kutembelea chama chako kwenye maeneo niliyoyaainisha hapo juu. Ukifika Kyela tutajitahidi...
  20. Erythrocyte

    CHADEMA yaanza kazi Mbeya Mjini. Mbunge wake aanza kumimina semina elekezi ngazi zote kwenye kata zote

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mbeya Mjini kimeanza amsha amsha kwa kumwaga semina elekezi kwa viongozi wa Kata zote , Vijiji na vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji . Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama...
Back
Top Bottom