mazuri

Maji Mazuri is a small town in Kenya's Baringo County along the Makutano-Ravine-Kampi Ya Moto highway. This is the most southerly tip of the greater Baringo area. It neighbors Kericho's Londiani and Nakuru's Kamara areas. The settlement was formed by migrants who used to work in the Koibatek Forest, but were either retrenched or retired at one time. As such, Maji Mazuri is home to people from different ethnic groups of Kenya. The Agikuyu and Tugen people are the majority population in the larger Maji Mazuri location of Eldama Ravine division.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania Kama uzinzi huleta umasikini, mbona kuna watu ni wazinzi wana maisha mazuri kiuchumi?

    Wanasema ukiwa mtu wa kutembea na kila mwanamke unajiletea mabalaa/mikosi wakimaanisha unakaribisha umaskini kwenye maisha yako, mbona kuna watu nawafahamu ni wanabadilisha wanawake kila kukicha, miaka nenda rudi, ila bado kipesa wako vizuri, na navowafahamu pesa zao si za kishirikina. Hio...
  2. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Nimecheka kama mazuri vile, yaani polisi wamelazimika kuchomoka nduki, Wakenya bana

    Wakenya wakiamua huwa wameamua, tatizo nguvu zote hizi mwisho wa siku zinaishia kuwanufaisha wanasiasa, wanagawana mkate kisha mambo yanaisha, nakumbuka kitambo tulikua tunafanya maandamano yaliyokua yanaleta mazuri kwa taifa, sio haya ya siku hizi ya kuwapa viongozi madaraka......
  3. R

    JamiiForums Tanzania Je, hawa waandishi wa hivi vitabu vinavyohusu mazuri ya Hayati Magufuli wote wanatumiwa na wafuasi wake?

    Habari jf ,tuweke hisia pembeni. Je, wanatumika au shujaa anastahili sifa zake?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Mwinyi mbona upo kimya? Alipoingia madarakani Rais Samia ulimsihi afuate na kuendeleza mazuri ya hayati

    Nakumbuka ulienda Ikulu na moja ya kauli yako kubwa ilikuwa mazuri yenye tija na taifa hili yaendelezwe. Leo hii kuna mkataba tata wa bandari za Tanganyika. Upo kimya. Wewe ndio mzee wa taifa hili.
  5. Area 56

    JamiiForums Tanzania Mo: Wana Simba tulieni mambo mazuri yanakuja

    Bosi katwiti muda mchache uliopita. Mambo yatakuwa moto msimu ujao. Inasemekana usajili ni wa moto sana.
  6. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

    Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa. Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao. Hatuna ujanja, sisi...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha DP WORLD: Tozo na Kodi mbalimbali kufutwa au kupunguzwa mwaka wa fedha 2023/2024. Tutarajie mazuri zaidi miaka ijayo ya fedha

    Kwenye mapendekezo ya bajeti Kwa mwaka wa fedha 2023/2024 baadhi ya tozo kama ile tozo ya kwenye miamala ambayo ni kilio Cha wanyonge wengi na Ile Kodi ya 'store' iliyopelekea mgomo Kariakoo zitaondolewa kabisa. Ukiachana na hizo Kodi, tozo na ushuru mbalimbali wa bidhaa zitapungua kabisa...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mazuri ya Rais Samia tuyaseme kwa nguvu mabaya tumshauri taratibu safari ni ndefu sana

    Ifike mahali tukubali kama Taifa tulikumbwa na msiba na hata baada ya msiba Taifa nilazima liendelee either tuna taka or atutaki Taifa lazima liendelee. Mzee wetu Magufuli hatunaye tena na sasa ni zamu ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan. Mh. Rais anapambana kama Mwanamke tukumbuke hata mngemvisha...
  9. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siri 6 (sita) za kuwa na mahusiano mazuri.

    6 secret code Ugomvi mkubwa katika kila mahusiano ni kushindwa kushirikiana, na sababu ni umimi au ubinafsi ambao utachukua mimba na mimba ikiisha kukomaa huzaa Magonvi makubwa na mwisho kutengana. Onyesha uzuri wako na umalidadi wako utapendwa na kila mtu, muovu na apendane na muovu mwenzie...
  10. Justine Marack

    JamiiForums Tanzania CHADEMA itumie sera za Magufulification kwenye mazuri yake ili ikamate dola

     Tunakubali Magufuli hakuwa mwema sana lakini hakuwa muovu kwa Kila kitu. Kama ilivyo Kila mwanadam anayo mabaya na mazuri katika amatendo yake. Zile zama za kuungana na Mafisadi ya CCM kumtukana Magufuli Sasa imetosha. Tunahitaji Sasa kugeukia Yale mazuri ambayo aliyasamia. Mnaweza kuyasema...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wale waliozoea tarehe 22/23 kila mwezi mambo kuwa mazuri naona mwezi huu bado ATM zimenuna, Kulikoni?

    Isije ikawa ni athari ya biashara kariakoo kufungwa! Si mnajua serikali huwa haina ujanja mwingine zaidi ya kodo?
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Je, Membe hakuwa na mahusiano mazuri na Yusufu Makamba? Alikosea wapi?

    Hili ni jambo ambalo nimejiuliza toka jana. Maana inaonekana Makamba hakumweka Membe kwenye ile list ya watu wema ambao hawatakiwi kufa. Sasa nawaza ina maana Membe hakuwa na maelewano mazuri na Makamba? Je walishawahi kutofautiana? Maana angekuwa mtu mwema mpaka leo hii angekuwa anadunda tu...
  13. L

    JamiiForums Tanzania China ina matarajio mazuri ya ukuaji wa kiuchumi licha ya kupoteza nafasi yake kama nchi yenye idadi kubwa ya watu duniani

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) limesema kuwa idadi ya watu nchini India itakapofika katikati ya mwaka huu, inakadiriwa kuwa bilioni 1.4286, na kuifanya India kuwa nchi yenye watu wengi zaidi duniani. Kwa mara ya kwanza, mwaka jana, China ilirekodi...
  14. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Haya matunda mazuri na matamu yanapatikana mkoani kwenu? Mnayaitaje kwa kilugha chenu

    Haya matunda mazuri na matamu yanapatikana mkoani kwenu? Mnayaitaje kwa kilugha chenu. Mkoani kwetu yanaitwa 'Ebitomasi' yapo ya aina mbili, Mekundu na njano. Unaweza kula yakiwa yamepikwa kwenye matoke au kula ambayo hayajapikwa.
  15. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimecheka sana Leo kama ni mazuri

    Mimi kiukweli na mahusiano ya watu wawili yaani na wachumba wawili ila nilivutiwa na bwana mmoja hivi basi tukaanza text za hapa na pale . Sikujua kama ameoa . Hadi hiyo siku mke wake alivyonipigia sim Sasa kunasiku mke wake akaona zile text zangu Kwa bwana Ake akanipigia nakuniuliza mie nani...
  16. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Maeneo yasiyo maarufu sana lakini mazuri kutalii ukiwa Tanzania

    Tanzania ina vivutio vingi vya utalii, vingine ni maarufu na vinajulikana sana, lakini kuna maeneo mengine ambayo ni mazuri zaidi kutalii na hayajulikani sana. Hapa kuna maeneo kadhaa ya kutalii Tanzania yasiyojulikana: Maziwe ya Chumbe: Hii ni kisiwa kidogo kilichoko kusini mwa Zanzibar...
  17. mj maziwa jumla

    JamiiForums Tanzania Nahitaji wanunuzi wa maziwa mazuri ya mtindi kwa jumla(kuanzia lita 5)

    MJ maziwa jumla tuna uzoefu wa miaka mingi wa kuzalisha maziwa na kutengeneza mtindi bora kabisa, kwa walioona na kunywa maziwa yetu watakubaliana na mimi Tunazalisha na kutengeneza mtindi zaidi ya lita elfu 1000 kwa siku hivo kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wakati wa kunywa maziwa...
  18. Beesmom

    JamiiForums Tanzania Muwazie mpenzi wako kwa mazuri, hata kwa nusu saa tu

    Sikiliza hii nyimbo.....kidogo tu please!!!!
  19. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Natamani wanawake wa kiislamu waige mazuri ya Bi Khadija wa kwenye Hadithi za Mtu S.A.W

    Wasalaam JF, 👇👇👇 Hakika ni vema mwezi huu wa mfungo wa ibada naomba ikawe neema na nuru ya ukombozi, wanawake wote wapendwa waislam maustafhati wote wafanye mazuri na wajaaliwe kama Bi Khadija. Na kheri ikawe nanyi wote, binti zetu, dada zetu, mama zetu, shangazi zetu, na Bibi xetu nyote...
  20. Awiaman ooza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sex ni mazoezi mazuri sana

    Za usiku huuu wanangu Jioni ya leo nimefukia msomi wa maana sana Hii ni kutokana na njjaa kali niliyokuwa nayo Sasa after menu nikawa najisikia kutapatapa na kama mwili mzito Inshort nilijidikia kama kuna unnecessary energy in me Basi kuona hivyo nikasema isiwe shida nikamvuta mama G wangu...
Back
Top Bottom