Aggrey sallah
Member
- Sep 15, 2022
- 25
- 35
Habari za uzima Ndugu zangu , Nina Maharagwe mazuri Sana yanayolimwa Sana Kilimanjaro , yanaitwa "Karianzee" ni Quality Sana kuyashinda hata Maharagwe ya Njano ila kutokana na kutojulikana watu wengi wamekuwa hawayanunui.
Sina Imani kuwa ni wote hawayajui ila Kuna watu watakuwa wanayajua na kuyatafuta haswa , yanapatikana kwangu kwa Bei nzuri kabisa ya 2500/Kg na hii ni favourable kwa wafanyabiashara wa vyakula maana wananunua Njano kwa 3000- 3300/kg kwahyo mkinunua kwa Bei ya 2500/= ni Bei ambayo ni rafiki na inawabeba zaidi kuwatengenezea Faida.
Notebene; Maharagwe haya hayana tofauti kabisa na Njano ni rangi tuu ndo itakudanganya zaidi haya ndo huyazidi Ubora hata hayo ya Njano. Karibuni wadau , nichekini kwa namba +255756501929/255623501929
Sina Imani kuwa ni wote hawayajui ila Kuna watu watakuwa wanayajua na kuyatafuta haswa , yanapatikana kwangu kwa Bei nzuri kabisa ya 2500/Kg na hii ni favourable kwa wafanyabiashara wa vyakula maana wananunua Njano kwa 3000- 3300/kg kwahyo mkinunua kwa Bei ya 2500/= ni Bei ambayo ni rafiki na inawabeba zaidi kuwatengenezea Faida.
Notebene; Maharagwe haya hayana tofauti kabisa na Njano ni rangi tuu ndo itakudanganya zaidi haya ndo huyazidi Ubora hata hayo ya Njano. Karibuni wadau , nichekini kwa namba +255756501929/255623501929