Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Hivi karibuni kumekuwa na Trends kuwa kuna kiwanda fulani hapa Dar es Salaam kinatengeneza mayai ambayo sio ya kutagwa na kuku na haya mayai bhana yanakuja yakiwa yamepakia viini viwili ndan yake.
Tunaomba msaada wa ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wa chakula na dawa, juu ya haya mayai ya kisasa haswa hapa Bongo.
Video kutoka mitandaoni ikionesha mayai hayo
Tunaomba msaada wa ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wa chakula na dawa, juu ya haya mayai ya kisasa haswa hapa Bongo.
Video kutoka mitandaoni ikionesha mayai hayo