Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam JF,
Kuna hii kasumba ya Kiafrika na kitanzania watu wanaogopa kununua magari mazuri kisa tu et bei ya spares, spare availability, na ulaji wa mafuta. Ujinga mtupu , wakati matumizi yenu ya kuruka vianja bar na kufanya ngono kwenye guest/lodges ni makubwa kuliko hofu zenu za kijima.
Huwezi kufanya makubwa na kusonga mbele ukiwa na hofu za kishamba.
Nunua gari ukiwa na akili timamu tena uwe rational na logical decisions, stupid mindsets za comparison mentality zita waangamiza.
Panua akili kwenye kila eneo.
Akili zako ndio ramani yako ya maisha.
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz
Kuna hii kasumba ya Kiafrika na kitanzania watu wanaogopa kununua magari mazuri kisa tu et bei ya spares, spare availability, na ulaji wa mafuta. Ujinga mtupu , wakati matumizi yenu ya kuruka vianja bar na kufanya ngono kwenye guest/lodges ni makubwa kuliko hofu zenu za kijima.
Huwezi kufanya makubwa na kusonga mbele ukiwa na hofu za kishamba.
Nunua gari ukiwa na akili timamu tena uwe rational na logical decisions, stupid mindsets za comparison mentality zita waangamiza.
Panua akili kwenye kila eneo.
Akili zako ndio ramani yako ya maisha.
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz