Kesi ya Felicien Kabuga ambaye anashtakiwa kwa mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 inatarajiwa kusikilizwa hapa nchini
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa MICT, Serge Brammertz amesema kesi hiyo inatarajiwa kusikilizwa jijini Arusha, mahali ambapo Mtuhumiwa huyo alishtakiwa kwa makosa saba...
Felicien Kabuga (84) ni mmoja wa Rwanda anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya Rwanda. Ameishi Asnieres-sur-Seine, Ufaransa kwa jina feki ili kuficha utambulisho akiwa na watoto wake
Kabuga anashutumiwa kwa kufadhili wanamgambo wa Interahamwe, Mwaka 1994, yalipotokea machafuko nchini Rwanda na kuua...
Wachina saba wamekutwa na hatia ya kujaribu kuwaua watanzania wawili kwa kuwatupa baharini karibu na mwambao wa KwaZulu Natal, mwezi uliopita
Amiri Salamu(20) na Hassani Rajabu(30) walitoswa baharini wakiwa wamepewa ‘life jackets’ na chupa za maji wakaamriwa kuogelea. Siku tatu baadae...
Uturuki imewashtaki raia wa Saudi Arabia wanaotuhumiwa kumuua mwandishi habari Jamal Khashoggi, akiwemo aliyekuwa naibu mkuu wa kitengo cha ujasusi, mshauri wa familia hiyo ya kifalme pamoja na washukiwa wengine 18.
Kupitia taarifa, ofisi ya mwendesha mashtaka mjini Istanbul imesema...
Hivi kweli kufanya uzembe Tanzania hadi watu wa nchi hii na mataifa jirani wakafa kutokana na sababu ambazo zingeweza kuzuilika si sawa na mauaji kweli?
HAKUNA kiongozi hata mmoja dunia hii leo anaepigwa picha "anakula Bata" wakati nchi inakabiliwa na tishio kubwa namna hii. Hivi hakuna namna...
Yani pesa bwana acheni iitwe pesa,dokta mwaka ana wake wa 3 Halafu hiyo haitoshi ila hawa wake watatu wanapendana kiasi kwamba mke mdogo anaweza msuka nywele mke mkubwa,Dokta anaweza lala nao wote kitanda kimoja.
Haya mabalaa ya namna hii ndgu zangu vijana tusije mfanya dokta kama rolu modo...
ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Praiveti Pascal Lipita (28), anayefanya kazi katika wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi cha 843 Nachingwea, mkoani Lindi, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji.
Lipita (28) anatuhumiwa kumuua askari mwenzake, Praiveti Baserisa Ulaya kwa...
Wanabodi,
Utangulizi.
Kwanza sii kweli Jarida la Economist kila siku, linazungumzia mambo mabaya tuu kuhusu Tanzania, hii no moja ya ripoti ya jarida hilo, toleo la February 13, 2020,likizungumzia jambo zuri kuhusu Tanzania, jinsi Mganga Bingwa wa Jadi wa Kimasai, toka Masaini nchini ...
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.
Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira...
Kwa heshima na moyo wa masikitiko nawaombea faraja wafiwa wote katika Ibada ya Mwamposa!
Ninaimani serikali yangu sikivu haitalifumbia hili macho ili kuweka standard katika namna ya ku deal na hawa manabii fake!
Mtu anapoitisha kongamano na kupata kibali anawajibika kuangalia usalama wa watu...
Nimepata kusoma mahali fulani kwamba Yesu Kristo alifundisha neno la Mungu, aliponya wagonjwa na kufufua waliokufa, lakini sijawahi kusoma popote ambapo imeandikwa kwamba aliwahi kusababisha mauaji iwe ya kimbari ama ya watu kadhaa.
Hata hivyo, mimi si mjuzi sana wa mambo ya Biblia na wala...
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa...
Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Juma Daniel, mkazi wa Kijiji cha Kazingati kata ya Keza wilayani Ngara, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaa, mwenye umri wa miaka miwili.
Daniel anadaiwa kumuua mwanaye huyo kwa kumchoma moto usoni na makalioni na kumjeruhi kwa kitu chenye ncha...
Waziri wa Mambo ya Nje ya Uingereza, Dominic Raab amesema wapo ukurasa mmoja na Marekani kuhusu mauaji ya Jenerali Qassem Suleimani
Amesema ameongea Rais wa Iraq na Waziri Mkuu, pamoja na Ufaransa na Ujerumani, ikiwa lengo ni kurudisha utulivu na kulinda Majeshi na Wananchi wake katika maeneo...
Naibu Waziri wa maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu, ameagiza kamati ya usalama mkoa wa Tabora kuwachukulia hatua wanasiasa na watu wanaochochea wafugaji kuingia katika maeneo ambayo yamezuiliwa na na kuwavamia askari wa wanayama pori.
Amesema hali hiyo imesababisha kuuawa kwa askari...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa kufeli kwa moyo na kukosa msaada wa haraka wa matibabu, ndiyo chanzo cha kifo cha Sheikh Rashid Bura, ambaye ni mmiliki wa shule za Zamzam mkoani humo.
Kamanda Muroto amebainisha hayo leo Disemba 27, 2019, na kusema kuwa mara baada...
Nimekuwa nikipata habari kuwa jabali la siasa za Zanzibar aliuliwa na Askari jeshi nje ya makao makuu ya chama cha ASP majira ya jioni tarehe 07/04/1972 alipokuwa akicheza bao. Mauaji yake yalifanyika kwa njia ya kupigwa Risasi.
Ni upi wasifu wa askari huyu muuaji wa shujaa huyu na je...
Miongoni mwa taarifa zilizoripotiwa katika gazeti hili jana ni kuendelea kuwapo kwa mashambulizi ya kinyama dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Ilielezwa kuwa katika kipindi cha kuanzia 2006 hadi sasa, tayari kuna albino 74 wameuawa huku wengine 11 wakipata ulemavu wa viungo...
By Elisha Magolanga
The Citizen Correspondent
Press freedom has shrunk considerably in Tanzania, with journalists and media houses finding it more difficult to do their work, according to the 2013 World Press Freedom Index. The country has dropped 36 places and is now ranked at number 70 of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.