MATUMIZI MABOVU YA OFISI NDANI YA HFADHI YA NGORONGORO
Mheshimiw Rais shikamoo. Napenda kukupa pole wewe na serikali yako yote kwa ujumla kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa letu. Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na hekima ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea kama Taifa
Watanzania...
Ndege waliotajwa hapo juu Falcon (kipanga) Pigeons (njiwa) huweza kutumika kupiga picha za siri katika maeneo nyeti ya siri au hata maeneo ya kijeshi yasiyoruhusiwa raia.
Ndege hawa wanapopita kwenye maeneo nyeti ni hatari sana kwasababu sio rahisi kuona gadgets zilizovikwa (attached) kwa...
Tuambizane hivi kwa siku huwa unatumia shilingi ngapi kwa matumizi yako?
Mimi kwa siku huwa natumia 2000 tu yaani nikizidisha sana 3000 tena hapo naona nimevuka kiwango
Vipi wewe mwenzangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Update:Maisha yamechange sasahivi natumia 6000 per day weekend ndo...
Friji hutumika kuhifadhi vyakula vya aina mbalimbali ili visiharibike mapema. Friji ikitumiwa vyema husaidia sana katika uhifadhi wa vyakula lakini isipotumiwa vizuri huweza kusababisha hasara na magonjwa kwa mtumiaji.
Joto la Friji
Joto la friji halitakiwi kuwa zaidi ya nyuzijoto 5 za...
Pesa hii ina majina mengi hii ni kutokana na mahali husika wapo wanaita pesa ni sadaka, nauli, zaka, fungu la kumi, Ada, kodi na majina mengine mengi. pesa hiyo ndiyo ambayo hujenga mtafauruku baina ya mtu mmoja na mwingine. Pesa hiyo hiyo tunaimbiwa haina undungu kabisa biana ya mtu mmoja na...
Heshima kwenu wakuu.
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.