matumizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Tozo na kodi za kizalendo ziende kwenye matumizi na miradi ya Kizalendo

    Heshima kwenu wakuu Kwanza nikiri sisi Kama taifa tunawajibu wa kulipa Kodi kwa ajili ya kujenga taifa letu. Pili, Hakuna mtanzania Mzalendo ambae hapendi kulipa Kodi au Kodi kwa ajili ya ujenzi wa nchi yake Tatu, Bila Shaka yoyote Kila mtanzania amehusika kujenga nchi hii kwa kulipa Kodi...
  2. A

    Zingatia matumizi sahihi ya dawa

    kuzingatia matumizi sahihi ya dawa ni jambo muhimu na jukumu la kila mmoja wetu, Unapopewa dawa sehemu yoyote iwe hospitali au famasi za jamii hakikisha umepewa maelekezo ya kutosha ya namna ya kutumia dawa husikana kama kuna kitu kina kutatiza ama hukielewi muulize mtaalamu wako. Dawa hiyo...
  3. Stephano Mgendanyi

    Fahamu matumizi ya Gesi asilia Tanzania

    GAS UTILIZATION OPTIONS AND DEMAND FORECAST IN TANZANIA. Natural Gas (Pure Methane, CH4) can be used for; - Domestic Natural Gas Utilization Options. Industrial Application as an Alternative Fuel Households, Institutions and Transport Fertilizer (Ammonia & Urea) Methanol Di-Methyl Ether (DME)...
  4. funaku

    Hoja sio ukubwa wa tozo bali matumizi sahihi

    Kuna mdau amenihoji nini msimamo wangu kuhusu hizi tozo au tuseme sakata la Tozo. Nitamjibu bila unafiki... Mimi ni muumini wa nchi kujitegemea na kujiendesha kikamilifu kwani hiyo ndio maana kamili ya uhuru. Haiwezekani kwa miaka yote hiyo tangu uhuru tuendelee...
  5. T

    SoC01 Matumizi ya teknolojia ya mawasiliano katika uvuvi

    Ikiwa suala la ajira limeendelea kuwa changamoto kubwa sio tu nchini bali pia nchi jirani, ni wazi kua kujiajiri imekua fursa pekee kwa vijana kujipatia kipato. kwa bahati nzuri tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji ambavyo vinatupatia mazao ya majini ikiwamo samaki. Wavuvi wadogo nchini wamekua...
  6. Chagu wa Malunde

    Tatizo ni matumizi mabaya ya kodi zetu. Kama zingetumika vizuri hakuna mtanzania angelalamika.

    Kodi ni mchango wa lazima kwa ajili ya serikali. Pamoja na kuwa ni mchango wa lazima lazima itumiwe vizuri. Lazima sisi tunaolipa kodi kwa kulipa Direct tax or indirect lazima tuone matokeo chanya namna kodi inavyotumika. Kama mpaka sasa hivi baada ya miaka 60 bado baaadhi miji na vijiji...
  7. DustBin

    SoC01 Matumizi ya Lugha Fasaha katika Majukwaa ya Dini

    Lugha ndio nyenzo kuu inayotumika kufikisha ujumbe kwa walengwa. Ingawa kuna nyenzo zingine kama picha, michoro, ishara, alama nk zinazotumika katika kufikisha ujumbe lakini lugha ndio nyenzo pekee yenye kueleweka kwa haraka na isiyo na ubaguzi. Lugha hii inapotamkwa kwa ufasaha na mpangilio...
  8. Kasomi

    Kujua Application zinazotumia Data na kuweka ukomo

    Kujua aplikesheni zinazotumia zaidi data. Nenda sehemu ya settings(Mipangilio) Kisha bonyeza kitufe cha Network & internet/connections(mtandao na miunganisho) Kisha bonyeza Data Usage(Matumizi ya data) kisha Mobile data usage(matumizi ya data ya simu). Kudhibiti matumizi. Nenda kwenye...
  9. FRANCIS DA DON

    Napendekeza matumizi ya taxify na Uber kwenye kutuma na kupokea pesa; Je, inawezekana?

    Unaweka pesa kwenye bahasha, kisha unatumia application ya Taxify / Uber na kuita chombo cha usafiri kilichokaribu, kisha unamkabidhi mzigo ila humwambii kuna nini ndani na kumpa maelekezo ya wapi apeleke. Je, hii inawezakana?
  10. Quavohucho

    SoC01 Ufugaji wa kuku wenye tija na matumizi ya teknolojia

    Ni jioni tulivu ,jumapili ya tarehe 14/7/2021 ni siku niliyoamua kwenda kumtembelea mjasiliamali anayejihusisha na ufugaji wa kuku wa kisasa , ilikuwa safari nzuri sana toka maeneo ya iringa mjini hadi iringa vijijini, kwa mfugaji na mjasiliamali huyu maarufu kama mzee mwenda , Ilikuwa ni...
  11. Naja naja

    Naomba kufahamishwa matumizi ya WHO na WHOM

    Msaada, nisaidieni wapi nitumie WHO na wapi WHOM. Nachanganya sana.
  12. Applicant

    Shemeji kaniomba aje kulala nyumbani kwangu

    Kiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu...
  13. Miss Natafuta

    Serikali iingilie kati biashara na matumizi ya Vipipi utamu

    Last month nilienda Zanzibar business trip na wenzangu .tukiwa kule pamoja na mambo mengi tulikuwa tunaangalia fursa mbalimbali. Katika mambo mengi tuliofanya mle nikaamua kumulika hii biashara ya vipipi utamu nilikuwa navisikia Sana huku bara. Nikakutana na mpemba mmoja akaniambia bna vipipi...
  14. L

    Usimamizi na matumizi bora ya mitandao ya kijamii vitaleta manufaa zaidi kwa jamii

    Wakati dunia inaadhimisha siku ya mitandao ya kijamii, kumekuwa na maswali mengi kuhusu matumizi na matokeo yake kwa jamii. Kuna wanaoona mitandao ya kijamii imekuwa na manufaa sekta nyingi kama habari, biashara, sanaa na fedha, kuna wengine wanaona kuwa imeleta janga na changamoto nyingi, hasa...
  15. Kasomi

    Upande wa pili wa Matumizi ya Meter Box

    Habari wakuu leo katika utundu wangu nimegundua kwamba meter box ina matumizi mengi sana zaidi ya kutumika katika ulipaji wa umeme. Naam, Nitawadokeza jinsi ya kutumia meter box kuangalia vitu vingine Moja ya matumizi ya Meter ni kuangalia tarehe na saa/Mda Nisiwachoshe ni kama ifuatavyo Jinsi...
  16. Kichuguu

    Nini matumizi ya Maikrofoni nyingi kwenye kutoa hotuba za viongozi?

    Kazi ya microfoni ni nini? Mbona viongozi wengine huwa na microfoni nyingi sana mbele yao wakati wakitoa hotuba na wengine huwa na moja au mbili (stereo) tu? Je, wingi wa microfoni husaidia hotuba kuelewka?
  17. Z

    Je, matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Mahakama zetu yanatekelezwa au yamepuuzwa?

    Jitihada za kipekee zilizo fanywa na hayati JPM kataka kuhakikisha vyombo vyetu vya utoaji Haki yaani; Mahakama, DPP na Polisi vinatumia kiswahili badala ya kiingereza. Msukumo mkubwa ulifanyika na kisha sheria zilibadilishwa ili kuhakikisha Lugha ya Kiswahili inatumika kikamilifu ktk...
  18. Lord OSAGYEFO

    Mishahara mikubwa na matumizi ya gharama ya Viongozi na Wabunge ni sababu ya Wananchi kutolipa kodi

    Tanzania ni moja ya nchi masikini zilizojaliwa kuwa na utitiri wa viongozi kuanzia Wilaya mpaka Taifa viongozi hao waliligharimu taifa fedha nyingi sana kuliko hata za watumishi wote wa serikali tuna wakuu wa wilaya 140, Wakurugenzi 200 wakuu wa mikoa 26 makatibu tawala wa wilaya 140 makatibu...
  19. Meneja Wa Makampuni

    Asome ipi kati ya kozi hizi ili kupata ujuzi na maarifa ya kujiajiri?

    Naomba tushauriane katika hili wakubwa. Asome ipi kati ya hizi ili kupata ujuzi na maarifa yenye matumizi 1. Post Graduate Diploma in Finance And Accounting 2. Bachelor of Business Administration 3. Bachelor of Computer Application
  20. A

    Matumizi mabaya ya Media kwa Viongozi Wateule Serikalini

    Ndani ya miezi miwili tumeshuhudia viongozi wakubwa wawili toka enzi za awamu ya mwendazake wakikutana na madhila makubwa tu kutokana na tabia yao ya kujikomba/kujipendekeza/kujiparata kwa kiongozi anayehusika na teuzi na mamlaka ya kinidhamu dhidi yao. Hawa ni wafuatao: 1. Lengai ole Sabaya -...
Back
Top Bottom