Livingson1
Member
- Jul 13, 2021
- 30
- 26
Kushuka kwa bei za gesi asilia kutaongeza matumizi ya gesi asilia hivyo kupunguza matumizi ya mkaa ama mkaa usitumike kabisa. Hii ni njia mojawapo ya kutunza mazingira yetu.
Hii itapunguza kukata miti hovyo na kutunza uoto wa asili
Kuwa na hali ya hewa safi kwa vile miti hutumia hewa chafu iliyopo kwenye mazingira na kutoa oxygen.
Hata madawati pia tutapata kwa urahisi kwaajili ya wanafunzi shuleni
N.k
Hii itapunguza kukata miti hovyo na kutunza uoto wa asili
Kuwa na hali ya hewa safi kwa vile miti hutumia hewa chafu iliyopo kwenye mazingira na kutoa oxygen.
Hata madawati pia tutapata kwa urahisi kwaajili ya wanafunzi shuleni
N.k