Philip Isdor Mpango: Tunaomba umsaidie Raisi kwenye matumizi ya pesa

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,605
8,744
Tusimlaumu Raisi kwenye kila kitu. Hakuna mtu nambaye anajua mambo ya pesa, miradi na jinsi ya kuendesha serikali na gharama zake kuliko Makamu wa Raisi Philip Isdor Mpango. Lakini pamoja na ahadi zake za kupambana na ufisadi hajafanya kazi nzuri kupambana na matumizi mabaya ya serikali. Kwasababu Rais amekuwa akitumia ikulu zote kwa shughuli mbalimbali mawaziri wengine na viongozi wengine wameiga hilo na kusababisha matumizi mengi ya serikali yasiyo na msingi.

Ni aibu kuongelea kila siku mambo ya tozo wakati serikali yenyewe haijatoa plan yeyote ya kupunguza matumizi yasiyo ya msingi. Hili jambo la matumizi mabaya limeanza toka wakati wa Hayati Magu na niwe mwazi tu hapa wizara ya fedha iligeuka kuwa wizara ya wasukuma. Ilifika wakati kila sehemu yenye pesa hata msaada kama kiwanda cha Urafiki kilikuwa na msukuma pale ambaye walimweka ili tu kuangalia na kuhakikisha pesa ya China ya Urafiki wanakula wao. Ulikuwa ukipiga simu wizara ya fedha unaweza kuongea kisukuma na kama unabiisha uliza watu walikuwa wanafanya kazi Urafiki kuthibitisha hili kwamba jamaa alikuwa akipiga simu anaongea kikabila!.

Makamu Mpango tunakuomba uwe mkali na kumsadia Raisi badala ya kukaa pembeni kama vile hayakuhusu. Serikali haiwezi kwenda kusimamia miradi ya chini kama hata yenyewe ina matumizi mabaya. Kuna tatiizo la masoko ya mahindi, kuna tatizo la madarasa, na kuna tatizo la Covid lakini bado kuna visemina vya kijinga kila simu Dar wakati Dododma kuna kumbi za bure za serikali. Hii siwezi kumlaumu Raisi pekee maana Makamu wetu alichaguliwa kwasababu kama hizi.
 
Tusimlaumu Raisi kwenye kila kitu. Hakuna mtu nambaye anajua mambo ya pesa, miradi na jinsi ya kuendesha serikali na gharama zake kuliko Makamu wa Raisi Philip Isdor Mpango. Lakini pamoja na ahadi zake za kupambana na ufisadi hajafanya kazi nzuri kupambana na matumizi mabaya ya serikali. Kwasababu Rais amekuwa akitumia ikulu zote kwa shughuli mbalimbali mawaziri wengine na viongozi wengine wameiga hilo na kusababisha matumizi mengi ya serikali yasiyo na msingi.

Ni aibu kuongelea kila siku mambo ya tozo wakati serikali yenyewe haijatoa plan yeyote ya kupunguza matumizi yasiyo ya msingi. Hili jambo la matumizi mabaya limeanza toka wakati wa Hayati Magu na niwe mwazi tu hapa wizara ya fedha iligeuka kuwa wizara ya wasukuma. Ilifika wakati kila sehemu yenye pesa hata msaada kama kiwanda cha Urafiki kilikuwa na msukuma pale ambaye walimweka ili tu kuangalia na kuhakikisha pesa ya China ya Urafiki wanakula wao. Ulikuwa ukipiga simu wizara ya fedha unaweza kuongea kisukuma na kama unabiisha uliza watu walikuwa wanafanya kazi Urafiki kuthibitisha hili kwamba jamaa alikuwa akipiga simu anaongea kikabila!.

Makamu Mpango tunakuomba uwe mkali na kumsadia Raisi badala ya kukaa pembeni kama vile hayakuhusu. Serikali haiwezi kwenda kusimamia miradi ya chini kama hata yenyewe ina matumizi mabaya. Kuna tatiizo la masoko ya mahindi, kuna tatizo la madarasa, na kuna tatizo la Covid lakini bado kuna visemina vya kijinga kila simu Dar wakati Dododma kuna kumbi za bure za serikali. Hii siwezi kumlaumu Raisi pekee maana Makamu wetu alichaguliwa kwasababu kama hizi.
Kwani mpango alikuwa anajua Kisukuma?
 
Tusimlaumu Raisi kwenye kila kitu. Hakuna mtu nambaye anajua mambo ya pesa, miradi na jinsi ya kuendesha serikali na gharama zake kuliko Makamu wa Raisi Philip Isdor Mpango. Lakini pamoja na ahadi zake za kupambana na ufisadi hajafanya kazi nzuri kupambana na matumizi mabaya ya serikali. Kwasababu Rais amekuwa akitumia ikulu zote kwa shughuli mbalimbali mawaziri wengine na viongozi wengine wameiga hilo na kusababisha matumizi mengi ya serikali yasiyo na msingi.

Ni aibu kuongelea kila siku mambo ya tozo wakati serikali yenyewe haijatoa plan yeyote ya kupunguza matumizi yasiyo ya msingi. Hili jambo la matumizi mabaya limeanza toka wakati wa Hayati Magu na niwe mwazi tu hapa wizara ya fedha iligeuka kuwa wizara ya wasukuma. Ilifika wakati kila sehemu yenye pesa hata msaada kama kiwanda cha Urafiki kilikuwa na msukuma pale ambaye walimweka ili tu kuangalia na kuhakikisha pesa ya China ya Urafiki wanakula wao. Ulikuwa ukipiga simu wizara ya fedha unaweza kuongea kisukuma na kama unabiisha uliza watu walikuwa wanafanya kazi Urafiki kuthibitisha hili kwamba jamaa alikuwa akipiga simu anaongea kikabila!.

Makamu Mpango tunakuomba uwe mkali na kumsadia Raisi badala ya kukaa pembeni kama vile hayakuhusu. Serikali haiwezi kwenda kusimamia miradi ya chini kama hata yenyewe ina matumizi mabaya. Kuna tatiizo la masoko ya mahindi, kuna tatizo la madarasa, na kuna tatizo la Covid lakini bado kuna visemina vya kijinga kila simu Dar wakati Dododma kuna kumbi za bure za serikali. Hii siwezi kumlaumu Raisi pekee maana Makamu wetu alichaguliwa kwasababu kama hizi.
Amsadie bi mkubwa vipi wakati yeye anahitaji msaada kuwekwa box? Thubutu yako!
 
Haya mambo ya kufanya kazi sehemu mbili au tatu tofauti yanaongeza sana gharama za uendeshaji. Na sio lazima.
Wananchi wanalalamika hizi kodi na tozo. Zinapotumiwa vibaya zinaleta picha gani? Tuanze kuwaheshimu watanzania na kujua kuwa dhamana wanayowapa viongozi inaenda sambamba na uwajibikaji
 
Tusimlaumu Raisi kwenye kila kitu. Hakuna mtu nambaye anajua mambo ya pesa, miradi na jinsi ya kuendesha serikali na gharama zake kuliko Makamu wa Raisi Philip Isdor Mpango. Lakini pamoja na ahadi zake za kupambana na ufisadi hajafanya kazi nzuri kupambana na matumizi mabaya ya serikali. Kwasababu Rais amekuwa akitumia ikulu zote kwa shughuli mbalimbali mawaziri wengine na viongozi wengine wameiga hilo na kusababisha matumizi mengi ya serikali yasiyo na msingi.

Ni aibu kuongelea kila siku mambo ya tozo wakati serikali yenyewe haijatoa plan yeyote ya kupunguza matumizi yasiyo ya msingi. Hili jambo la matumizi mabaya limeanza toka wakati wa Hayati Magu na niwe mwazi tu hapa wizara ya fedha iligeuka kuwa wizara ya wasukuma. Ilifika wakati kila sehemu yenye pesa hata msaada kama kiwanda cha Urafiki kilikuwa na msukuma pale ambaye walimweka ili tu kuangalia na kuhakikisha pesa ya China ya Urafiki wanakula wao. Ulikuwa ukipiga simu wizara ya fedha unaweza kuongea kisukuma na kama unabiisha uliza watu walikuwa wanafanya kazi Urafiki kuthibitisha hili kwamba jamaa alikuwa akipiga simu anaongea kikabila!.

Makamu Mpango tunakuomba uwe mkali na kumsadia Raisi badala ya kukaa pembeni kama vile hayakuhusu. Serikali haiwezi kwenda kusimamia miradi ya chini kama hata yenyewe ina matumizi mabaya. Kuna tatiizo la masoko ya mahindi, kuna tatizo la madarasa, na kuna tatizo la Covid lakini bado kuna visemina vya kijinga kila simu Dar wakati Dododma kuna kumbi za bure za serikali. Hii siwezi kumlaumu Raisi pekee maana Makamu wetu alichaguliwa kwasababu kama hizi.
Ukizingatia ni Mchumi anategemewa kuwa msaada mkubwa wa kiushauri/kitaalamu na wenye tija kwa mustakabali wa ukuaji uchumi na maendeleao ya nchi kwa ujumla.Otherwise awe na Economic Advisor Per-se atakayemsaidia kwa hilo.
 
Tusimlaumu Raisi kwenye kila kitu. Hakuna mtu nambaye anajua mambo ya pesa, miradi na jinsi ya kuendesha serikali na gharama zake kuliko Makamu wa Raisi Philip Isdor Mpango. Lakini pamoja na ahadi zake za kupambana na ufisadi hajafanya kazi nzuri kupambana na matumizi mabaya ya serikali. Kwasababu Rais amekuwa akitumia ikulu zote kwa shughuli mbalimbali mawaziri wengine na viongozi wengine wameiga hilo na kusababisha matumizi mengi ya serikali yasiyo na msingi.

Ni aibu kuongelea kila siku mambo ya tozo wakati serikali yenyewe haijatoa plan yeyote ya kupunguza matumizi yasiyo ya msingi. Hili jambo la matumizi mabaya limeanza toka wakati wa Hayati Magu na niwe mwazi tu hapa wizara ya fedha iligeuka kuwa wizara ya wasukuma. Ilifika wakati kila sehemu yenye pesa hata msaada kama kiwanda cha Urafiki kilikuwa na msukuma pale ambaye walimweka ili tu kuangalia na kuhakikisha pesa ya China ya Urafiki wanakula wao. Ulikuwa ukipiga simu wizara ya fedha unaweza kuongea kisukuma na kama unabiisha uliza watu walikuwa wanafanya kazi Urafiki kuthibitisha hili kwamba jamaa alikuwa akipiga simu anaongea kikabila!.

Makamu Mpango tunakuomba uwe mkali na kumsadia Raisi badala ya kukaa pembeni kama vile hayakuhusu. Serikali haiwezi kwenda kusimamia miradi ya chini kama hata yenyewe ina matumizi mabaya. Kuna tatiizo la masoko ya mahindi, kuna tatizo la madarasa, na kuna tatizo la Covid lakini bado kuna visemina vya kijinga kila simu Dar wakati Dododma kuna kumbi za bure za serikali. Hii siwezi kumlaumu Raisi pekee maana Makamu wetu alichaguliwa kwasababu kama hizi.
Ufisadi umerudi kwa kasi sana , bandari ya Dar imerudi kama kawaida ukitaka kupitisha mzigo unaongea na kila kitu kinakuwa utakavyo na TRA vivyo hivyo yamerudi yaleyale ya kabla 2015 hapa hakuna kujali wananchi wala nini kila mtu achukue chake kwa kweli sio naongea kwa furaha bali inasikitisha sana .
Kila siku tunazungumzia kukopa tu wafanyabiashara hawalipi kodi , kodi ni kwa wafanyakazi tu ambao hawana pa kukwepea jamani sijui tunaenda wapi wanajifanya hawaoni wala hawasikii Mungu afanye yake japo wafumbuliwe macho na masikio yasikie,
 
Back
Top Bottom