Leo nimeshuhudia kupitia luninga Mhe. Waziri Mkuu akihabarisha umma wa Watanzania kuwa Mhe. Rais ameridhia kutoa Tshs.300 billioni kwaajili ya ujenzi wa majengo ya Wizara mbalimbali pale Dodoma ikiwa ni pamoja na Ikulu.
Sasa swali langu:- Bunge lina utaratibu wa kujadili bajeti na kuipitisha ili fedha hizi zitumike kama zilivyopangwa.Je hizi fedha anazotoa Mhe. Rais zinatoka kwenye fungu gani?.
Je zimepitishwa katika bajeti ya 2021/22?.
Nawasilisha.
Sasa swali langu:- Bunge lina utaratibu wa kujadili bajeti na kuipitisha ili fedha hizi zitumike kama zilivyopangwa.Je hizi fedha anazotoa Mhe. Rais zinatoka kwenye fungu gani?.
Je zimepitishwa katika bajeti ya 2021/22?.
Nawasilisha.