Asante sana presidaaaa Samia Suluhu Hassan, president of the United Republic of Tanzania.
Mtu anapimwa kwa matokeo sio maneno, udini, chuki, wivu nk.
Hakuna serikali iliyomwaga mahela kwenye miradi kama serikali hii, hakuna kijiji ambacho utaenda hakuna hela ya mkuu wa nchi.
Mnataka mtu...