https://www.youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A
Kwa mara nyingine tena, kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar wa Oktoba 29 mwaka jana zimeambatana na kikwazo baada ya upande wa Jamhuri kuhoji uhalali wa viapo vilivyoandaliwa katika kesi hiyo.
Hoja hiyo imewasilishwa mbele ya Jaji Salma...
Habar wana Jf
Husika na kichwa cha uzi hapo juu, sisi wahitimu ya fani ya uuguzi tulifanya mtihani wa leseni 19 Disemba, 2025 na tulipia huo mtihani laki na nusu!
Sasa hawa jamaa muda unazidi kwenda hawatoi matokeo wako busy kukusanya hela za marathon ambazo sisi hazitusaidii, sisi tunataka...
Nimekutana na matokeo haya ya mikoa, ya kwanza ni kwa ufaulu wa division 1 hadi 3, ya pili ni division 1 hadi 4, Matokeo nayoamini yanaonyesha ufaulu wa uhakika ni division 1 hadi 3.
1. Division 1 hadi 3
Top 3 zote zinaenda mikoa ya kaskazini na wala hakuna kelele.
2. Division 1 hadi 4...
Nikiwa naperuzi mtandaoni nimeikuta hii orodha ya mikoa
SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani
Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa ambayo ilikuwa navuma hapo zamani lakini kwa sasa hali ni mbaya,
Dar es salaam shule za day zina...
https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/results/s5380.htm
Moja ya shule za Kiislamu. Zipo nyingi sana kuliko haya
Angalia na haya
https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/results/s0326.htm
Ufaulu Umepanda.
Futatilia hapa.
https://www.youtube.com/live/uwbLeIIRXOc?si=m-Iyj06qeAYHlPCl
Kupata Matokeo fungua link hii: https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/index.htm
---
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia...
1. Samia hakutoa amri kuamuru mauaji ya raia na wananchi- Hii itasemwa ili kujaribu kumsafisha Samia kwenye jumuiya ya Kimataifa na kujaribu kumuepusha na kikombe cha ICC.
2. Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama hawakutoa amri za kuamuru kuuwawa kwa Wananchi- Hili litasemwa ili kuwaepusha...
Naomba kutumia jukwaa hili kueleza changamoto kubwa zinazowakumba wanafunzi wa ngazi ya Masters katika Chuo cha IAA. Kwa masikitiko makubwa, namna wanafunzi wa Masters wanavyotendewa haiakisi hadhi ya elimu ya juu, wala misingi ya haki na taaluma.
1. Matokeo (SAP, SUPP na Appeals)
Kumekuwa na...
-Haya ni matokeo ya mwisho yaliyovuja katika kituo cha kura cha Tume ya Uchaguzi ya Uganda, The Strong Room
Afisa mmoja katika chumba cha makusanyo aliirekodi na kuivujisha bila kujulikana.
NUP tulishinda, na ndiyo maana H.E Bobi Wine amekataa yale yanayoitwa matokeo yaliyotangazwa na...
Uchaguzi tayari umeisha Uganda na kuna malalamiko kuwa Yoweri Museni kaiba kura na kuwatesa wapinzani ikiwemo kumkamata Boby Wine jana usiku.
Sasa kwanini Waganda hawatoki na kuanza kuharibu nchi yao, na pia kuiba mali za Waganda wenzao?
Kulikoni Tanzania kwa wale waliojifanya wanaandamana kwa...
Muda mfupi baada ya kusambaa kwa andiko la Mdau akielezea tuhuma zinazohusu Chuo Kikuu Huria (OUT) kwamba kuna baadhi ya Wahitimu wamefoji matokeo na vyeti, ufafanuzi umetolewa na chuo hicho.
Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa - Zaidi ya Wahitimu 300 wa Mahafali ya 44 ya Open University (OUT)...
Kumbe hizi shule zipo
Job Ndugai High school
Janeth Magufuli Secondary School
Jenister Mhagama Secondary School
Joel Bendera High school
Janeth Magufuli Girls Secondary School
Juma Zuberi Homera Secondary School
January Makamba Secondary School
Dr Tulia Girls Secondary School
Daniel...
Heri ya Mapinduzi kwa wazanzibari wotee.
Necta hivi karibuni wameamua kutokuweka majina ya wanafunzi katika matokeo.
Pamoja na mambo ya kulinda taarifa binafsi kwa hili hapana.
Kujua ufaulu wa mtu hauishii kama mambo binafsi. Ni jambo la usalama wa taifa.
Hebu fikiria kwa kipindi ambacho...
John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema kuwa chama hicho hakiutambui uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025 na matokeo yake ni batili hivyo chama hicho kimetaka uchaguzi huo ufutwe.
Aidha Heche amesema kuwa Tume ya Uchaguzi haina sifa ya kuwa Tume...
Hassan Ghazaly, Mmisri na mwanachama wa Kamati ya Mawasiliano ya Mfuko wa Ukaguzi wa Maridhiano wa Afrika (APRM) na Mwanzilishi wa Mtandao wa Mshikamano wa Kimataifa, amekabidhi matokeo ya Mkutano wa Tano wa Vijana wa Afrika uliofanyika Afrika Kusini kwa Mheshimiwa Dada Morero, Meya wa Jiji la...
Kutokana na changamoto ambazo Taifa linapitia Kuna level ya kila mmoja huwa na aina ya matumaini yake kwa kiongozi mkuu wa Taifa.
Tukubaliane tu iwe kwa sifa njema au mbaya huyo ndiye Rais wetu na hakuna mwingine , ninaimani kila mmoja kwa wakati wake huwa na aina fulani ya aina ya matumaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.