Rais Samia tokea kaingia madarakani anafavor sana matajiri,yaani walionazo pesa tayari.
Kwanza kabisa alimzawadia Mwinyi Rais mstaafu Benz la million 100. Imagine kuna watanzania hata maji ya kunywa hawana.
Pili amekuwa akinununua magoli kwa Yanga na Simba ,team ambazo wawekezaji wake ni...