Kuna watu wanategemea cha ndugu na hawafi masikini

Kuna watu wanategemea cha ndugu na hawafi masikini

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
8,356
Reaction score
14,831
Habari wana JF 👋🏾

Wahenga walituhusia mengi, lakini kadri muda unavyozidi kwenda mambo yanabadilika.

Moja ya misemo maarufu ni:
“Mtegemea cha ndugu hufa masikini.”

Lakini ukija kwenye uhalisia wa leo, picha siyo ile ile kabisa.

Nimekua na nimeona familia nyingi za watu matajiri-wazazi wamejenga mali kubwa, lakini watoto wao hawana ile hustle au uwezo wa kutafuta pesa kama waliowatangulia. Pamoja na hilo, bado wanaishi maisha ya kifahari: magari mazuri, safari za nje, biashara zinaendelea kwa sababu ya msingi uliowekwa na familia.

Hapa ndipo unagundua kuwa dunia imebadilika. Kuna watu wanategemea legacy ya familia na hawaishi maisha ya umasikini hata kidogo.

Mfano halisi:
•Familia ya Paris Hilton - alizaliwa kwenye utajiri wa hoteli (Hilton), na maisha yake yote yameendelea kuwa ya juu hata kabla hajajitengenezea jina kubwa mwenyewe.

•Kim Kardashian - alitoka kwenye familia yenye uwezo mkubwa kupitia baba yake na connections zake, kitu kilichomuweka kwenye nafasi nzuri mapema.

•Watoto wa Bill Gates - hata bila hustle kubwa ya mwanzo, tayari walishazaliwa kwenye mazingira ya kifedha yaliyo stable sana.

•Hata hapa Afrika, watoto wa wafanyabiashara wakubwa au wanasiasa mara nyingi wanaendeleza maisha ya juu kwa sababu ya misingi ya familia zao.

Hii haimaanishi kuwa msemo wa wahenga haukuwa na maana - ulikuwa sahihi kwa wakati wao, ambapo fursa na mifumo ya kurithishana utajiri haikuwa structured kama sasa.

Lakini leo hii, ukweli ni kwamba:
Kuna watu wanategemea cha ndugu - na hawafi masikini
 
Habari wana JF 👋🏾

Wahenga walituhusia mengi, lakini kadri muda unavyozidi kwenda mambo yanabadilika.
Moja ya misemo maarufu ni:
“Mtegemea cha ndugu hufa masikini.”

Lakini ukija kwenye uhalisia wa leo, picha siyo ile ile kabisa.

Nimekua na nimeona familia nyingi za watu matajiri-wazazi wamejenga mali kubwa, lakini watoto wao hawana ile hustle au uwezo wa kutafuta pesa kama waliowatangulia. Pamoja na hilo, bado wanaishi maisha ya kifahari: magari mazuri, safari za nje, biashara zinaendelea kwa sababu ya msingi uliowekwa na familia.

Hapa ndipo unagundua kuwa dunia imebadilika. Kuna watu wanategemea legacy ya familia na hawaishi maisha ya umasikini hata kidogo.

Mfano halisi:
•Familia ya Paris Hilton - alizaliwa kwenye utajiri wa hoteli (Hilton), na maisha yake yote yameendelea kuwa ya juu hata kabla hajajitengenezea jina kubwa mwenyewe.

•Kim Kardashian - alitoka kwenye familia yenye uwezo mkubwa kupitia baba yake na connections zake, kitu kilichomuweka kwenye nafasi nzuri mapema.

•Watoto wa Bill Gates - hata bila hustle kubwa ya mwanzo, tayari walishazaliwa kwenye mazingira ya kifedha yaliyo stable sana.

•Hata hapa Afrika, watoto wa wafanyabiashara wakubwa au wanasiasa mara nyingi wanaendeleza maisha ya juu kwa sababu ya misingi ya familia zao.

Hii haimaanishi kuwa msemo wa wahenga haukuwa na maana - ulikuwa sahihi kwa wakati wao, ambapo fursa na mifumo ya kurithishana utajiri haikuwa structured kama sasa.

Lakini leo hii, ukweli ni kwamba:
Kuna watu wanategemea cha ndugu - na hawafi masikini
wahenga hawaamini 😂 😂😂
 
Henry Ford was not born into extreme wealth, but rather into a prosperous farming family in Dearborn, Michigan, in 1863. His father, William Ford, was a successful farmer, but Henry did not want to take over the farm, choosing instead to pursue mechanics. He left home at 16 to work as a machinist, later becoming an engineer before founding his own compan
Mtoe Kim kardashian hapo hakuna kitu weka

Walmart

Ford motor company

Mars inc

Na wengine weng
 
Habari wana JF 👋🏾

Wahenga walituhusia mengi, lakini kadri muda unavyozidi kwenda mambo yanabadilika.
Moja ya misemo maarufu ni:
“Mtegemea cha ndugu hufa masikini.”

Lakini ukija kwenye uhalisia wa leo, picha siyo ile ile kabisa.

Nimekua na nimeona familia nyingi za watu matajiri-wazazi wamejenga mali kubwa, lakini watoto wao hawana ile hustle au uwezo wa kutafuta pesa kama waliowatangulia. Pamoja na hilo, bado wanaishi maisha ya kifahari: magari mazuri, safari za nje, biashara zinaendelea kwa sababu ya msingi uliowekwa na familia.

Hapa ndipo unagundua kuwa dunia imebadilika. Kuna watu wanategemea legacy ya familia na hawaishi maisha ya umasikini hata kidogo.

Mfano halisi:
•Familia ya Paris Hilton - alizaliwa kwenye utajiri wa hoteli (Hilton), na maisha yake yote yameendelea kuwa ya juu hata kabla hajajitengenezea jina kubwa mwenyewe.

•Kim Kardashian - alitoka kwenye familia yenye uwezo mkubwa kupitia baba yake na connections zake, kitu kilichomuweka kwenye nafasi nzuri mapema.

•Watoto wa Bill Gates - hata bila hustle kubwa ya mwanzo, tayari walishazaliwa kwenye mazingira ya kifedha yaliyo stable sana.

•Hata hapa Afrika, watoto wa wafanyabiashara wakubwa au wanasiasa mara nyingi wanaendeleza maisha ya juu kwa sababu ya misingi ya familia zao.

Hii haimaanishi kuwa msemo wa wahenga haukuwa na maana - ulikuwa sahihi kwa wakati wao, ambapo fursa na mifumo ya kurithishana utajiri haikuwa structured kama sasa.

Lakini leo hii, ukweli ni kwamba:
Kuna watu wanategemea cha ndugu - na hawafi masikini
Msemo mwengine uliopitwa na wakati wa wahenga eti "pole pole ndio mwendo"kwenye Dunia ya Sasa watu wanakimbizana na muda at the same time mhenga anakuambia tembea kama Kobe!
20260311_141126.jpg
 
Habari wana JF 👋🏾

Wahenga walituhusia mengi, lakini kadri muda unavyozidi kwenda mambo yanabadilika.

Moja ya misemo maarufu ni:
“Mtegemea cha ndugu hufa masikini.”

Lakini ukija kwenye uhalisia wa leo, picha siyo ile ile kabisa.

Nimekua na nimeona familia nyingi za watu matajiri-wazazi wamejenga mali kubwa, lakini watoto wao hawana ile hustle au uwezo wa kutafuta pesa kama waliowatangulia. Pamoja na hilo, bado wanaishi maisha ya kifahari: magari mazuri, safari za nje, biashara zinaendelea kwa sababu ya msingi uliowekwa na familia.

Hapa ndipo unagundua kuwa dunia imebadilika. Kuna watu wanategemea legacy ya familia na hawaishi maisha ya umasikini hata kidogo.

Mfano halisi:
•Familia ya Paris Hilton - alizaliwa kwenye utajiri wa hoteli (Hilton), na maisha yake yote yameendelea kuwa ya juu hata kabla hajajitengenezea jina kubwa mwenyewe.

•Kim Kardashian - alitoka kwenye familia yenye uwezo mkubwa kupitia baba yake na connections zake, kitu kilichomuweka kwenye nafasi nzuri mapema.

•Watoto wa Bill Gates - hata bila hustle kubwa ya mwanzo, tayari walishazaliwa kwenye mazingira ya kifedha yaliyo stable sana.

•Hata hapa Afrika, watoto wa wafanyabiashara wakubwa au wanasiasa mara nyingi wanaendeleza maisha ya juu kwa sababu ya misingi ya familia zao.

Hii haimaanishi kuwa msemo wa wahenga haukuwa na maana - ulikuwa sahihi kwa wakati wao, ambapo fursa na mifumo ya kurithishana utajiri haikuwa structured kama sasa.

Lakini leo hii, ukweli ni kwamba:
Kuna watu wanategemea cha ndugu - na hawafi masikini
Ulisikia wapi baba akimuita mtoto waje ndugu yangu? Ulisikia wapi mtoto akimwita baba yake ndugu yangu? Msemo unasema ndugu mifano umetoa baba na wanae ambao ni warithi au/na wajibu wa huyo mzazi kuhakikisha anawakea hadi waweze kujitegemea.
 
Habari wana JF 👋🏾

Wahenga walituhusia mengi, lakini kadri muda unavyozidi kwenda mambo yanabadilika.

Moja ya misemo maarufu ni:
“Mtegemea cha ndugu hufa masikini.”

Lakini ukija kwenye uhalisia wa leo, picha siyo ile ile kabisa.

Nimekua na nimeona familia nyingi za watu matajiri-wazazi wamejenga mali kubwa, lakini watoto wao hawana ile hustle au uwezo wa kutafuta pesa kama waliowatangulia. Pamoja na hilo, bado wanaishi maisha ya kifahari: magari mazuri, safari za nje, biashara zinaendelea kwa sababu ya msingi uliowekwa na familia.

Hapa ndipo unagundua kuwa dunia imebadilika. Kuna watu wanategemea legacy ya familia na hawaishi maisha ya umasikini hata kidogo.

Mfano halisi:
•Familia ya Paris Hilton - alizaliwa kwenye utajiri wa hoteli (Hilton), na maisha yake yote yameendelea kuwa ya juu hata kabla hajajitengenezea jina kubwa mwenyewe.

•Kim Kardashian - alitoka kwenye familia yenye uwezo mkubwa kupitia baba yake na connections zake, kitu kilichomuweka kwenye nafasi nzuri mapema.

•Watoto wa Bill Gates - hata bila hustle kubwa ya mwanzo, tayari walishazaliwa kwenye mazingira ya kifedha yaliyo stable sana.

•Hata hapa Afrika, watoto wa wafanyabiashara wakubwa au wanasiasa mara nyingi wanaendeleza maisha ya juu kwa sababu ya misingi ya familia zao.

Hii haimaanishi kuwa msemo wa wahenga haukuwa na maana - ulikuwa sahihi kwa wakati wao, ambapo fursa na mifumo ya kurithishana utajiri haikuwa structured kama sasa.

Lakini leo hii, ukweli ni kwamba:
Kuna watu wanategemea cha ndugu - na hawafi masikini
Mifano yako haiendani na ulichotaka kuwasilisha. Ungetoa mifano ya binamu waliosaidiwa na ndugu zao na sio mtoto kurithi kwa baba.
 
Ulisikia wapi baba akimuita mtoto waje ndugu yangu? Ulisikia wapi mtoto akimwita baba yake ndugu yangu? Msemo unasema ndugu mifano umetoa baba na wanae ambao ni warithi au/na wajibu wa huyo mzazi kuhakikisha anawakea hadi waweze kujitegemea.
We umekariri hujataka kuelewa, unasubiri baba akuite ndugu ndo ujue ni ndugu yako
 
Na wewe tegemea ndugu zako,usifanye kazi kabisa ili uwe umewakomesha zaidi hao wahenga.
 
Mm nategemea cha bimkubwa, afe nirithi nyumba asipokufa kwa wakat naotaka mm bc ntamuua mwnyw 😎
 
Back
Top Bottom