Elimu yetu masikini!

Elimu yetu masikini!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,475
Reaction score
14,247
IMG-20260512-WA0055.jpg


Masikini elimu yetu, sina cha kusema, ila picha hii inatembea mitandaoni.
Not fair!

NB
Mamlaka fanyeni uchunguzi , cheti ni cha nani, kama yuko hai, na imekuwaje mpaka kuidhalilisha UDSM kiasi hiki
 
Tanzania itaujutia sana muda huu ambao umepotea bure, huku raslimali yake muhimu kabisa ikivurugwa kiasi hiki.

Hakuna namna mbaya ya kulibaka taifa zaidi ya kuvuruga mfumo wa elimu wa taifa kama walivyoufanya akina Jakaya Kikwete.
 
sasa hivi watoto wetu wanaambiwa wasome arabic, ili iweje na kwa manufaa gani labda ukiondoa kukariri kurani? sijaelewa mpaka leo, i mean hiyo english yenyewe tu ni shida bado halafu unamuongeze mtoto another foreign language, hii akili au matope? ...
 
Elimu imekufa.Huko mashuleni watoto wengi hawajui hata kuandika lakini wanaenda sekondari. Walimu wamesahaulika,wana maisha magumu,wanadharaulika kwa sababu ya ujirq mdogo. Na wao wapo tu wanawaangalia tu watoto.

Masikini Tanzania
 
Back
Top Bottom