march

March is the third month of the year in both the Julian and Gregorian calendars. Its length is 31 days. In the Northern Hemisphere, the meteorological beginning of spring occurs on the first day of March. The March equinox on the 20 or 21 marks the astronomical beginning of spring in the Northern Hemisphere and the beginning of autumn in the Southern Hemisphere, where September is the seasonal equivalent of the Northern Hemisphere's March.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    JamiiForums Tanzania Jacinta Ngobese-Zuma: Kutoka kuwa mtangazaji wa radio hadi kuongoza "March and March"

    Hali sio shwari kwa wahamiaji nchini Afrika Kusini hasa wale wanaotoka mataifa ya Afrika. Maelfu ya wananchi kutoka Nigeria, Ghana, Malawi, Zimbabwe na Zambia na nyinginezo, wanatakiwa waondoke nchini humo kabla ya Juni 30, 2026. Siku hiyo yamepangwa maandamano makubwa ya kuwafukuza wahamiaji...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipia kuunganishiwa umeme Mpemba Songwe toka march 2026, hadi sasa June 2026 nazungushwa tu!

    Nimelipia kuunganishiwa umeme Mpemba Songwe toka march 2026 hadi June 2026 wananizingusha tu!!
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wataalamu wa Maabala tuliofanya Mitihani ya Leseni mwezi Machi tunaumizwa na Ucheleweshwaji wa Matokeo, HLPC KULIKONI?

    Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa zaidi ya miezi miwili sasa, hali ambayo inatukosesha fursa nyingi ikiwemo ajira zinazotangazwa...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Sharpeville Masacre, March 21st 1962 kwanini inakumbukwa Duniani mpaka leo. October 29, 2025 itakumbukwa kwa mtindo huo milele na milele

    Inasikitisha.....Naona CCM inakwenda kwenye mkondo wa Sharpeville Masacre and here we are! Tume ya jana itakuja na mapendekezo ya kuifuta Sikiliza clip
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025 hatujalipwa fedha za kujikimu, Viongozi wanatupuuza

    Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025 hatujalipwa fedha za kujikimu, Viongozi wanatupuuza Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025, hatujalipwa fedha za kujikimu😭😭. Kinachotuumiza zaidi viongozi wetu wanatoa majibu ya mkato, ukipiga simu hawapokei na...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Jabali la Afrika lililouduwaza Ulimwengu- Edward Festus Mukuka Nkoloso (1919 – 4 March 1989) Mzee wa The Afronauts

    Edward Festus Mukuka Nkoloso (1919 – 4 March 1989) Edward Festus Mukuka Nkoloso alikuwa mwalimu, mwanaharakati wa uhuru, na mtu mashuhuri kwa wazo lake la kipekee la kuanzisha programu ya anga za juu nchini Zambia. Open sidebar ChatGPT Get Plus You said: Je nawezaje Kuuza machine za...
  7. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nitajie content creators/celebrities wa 3 bongo uliowafuatilia zaidi mwezi March

    Kwa mimi binafsi Kwa March kuna 1.Stan bakora na mwenzake aisee content zao ziko so unique ni fupi haziboi halafu hazivunji sana maadili, no wonder why makonda amewahi kumsifia stan yuko vizuri kwa sasa kwenye upande huo..mwingine kwa comedy ni Azaboi mkali sana 2.rich msafi east africa...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Claude AI is experiencing degraded performance across its services - March 25, 2026

    As of March 25, 2026, Claude AI is experiencing degraded performance across its services, including claude.ai, the API, and console, following recent reports of elevated errors and potential partial outages. Users have reported issues with chat, login, and apps, often due to high traffic. Check...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tunapoelekea March 17: Ili ushinde Vita za kisiasa itakupasa aidha uwe Mwanahistoria mzuri au jasusi bobevu

    Hamjambo wote! 1. Moja ya mambo yanayoweza kuwa yalimgharimu jpm ni kutokuwa mzuri kwenye Masuala ya historia na hapohapo hakuwa na ujuzi wowote wa mambo ya usalama. Yaani hakuwa mwanajeshi, polisi au mwanausalama mbobevu. 2. Kwenye siasa za dunia. Hasa ukiamua kufanya siasa ngumu, zakibabe...
  10. Bwege2030

    JamiiForums Tanzania Siasa,uchumi na biashara duniani kufikia March 2026

    uchumi na biashara duniani kufikia Machi 2026. 1. Migogoro ya Mashariki ya Kati na Athari zake Ugomvi unaoendelea Mashariki ya Kati umeanza kupiga mifuko ya walaji duniani kote. Mashambulizi ya anga yaliyotokea mwishoni mwa Februari yamesababisha bei ya mafuta (Brent crude) kupanda kwa 13%...
  11. Streetot

    JamiiForums Tanzania Nigerian X Influencers React to Hilda Baci’s NLP Testimony Ahead of March 13 Conference at Tafawa Balewa Square

    BREAKING NEWS: X Influencers React to Hilda Baci’s NLP Testimony Ahead of March 13 Conference at Tafawa Balewa Square LAGOS — Social media platform X (formerly Twitter) erupted in debate this week following a viral testimonial video by Nigerian entrepreneur and Guinness World Record holder...
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbwana Samata ajenga kituo cha watoto yatima, kuzinduliwa March

    Hongera sana Mbwana Samata
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ikiwa October 29 ilikuwa birthday ya hayati Magufuli, vipi kuhusu March 17?

    Salaam! Yaliyotokea October 29,ujasiri ule wa wananchi kutoka kudai haki siku ya uchaguzi,inasemekana ilichangiwa na roho ya uzalendo aliyoipanda hayati Magufuli. Sasa tunaelekea March 17 siku tuliyotangaziwa kifo Cha Magu, na ukizingatia akiba ya dhahabu mzalendo Magu aliyoitunza benki kuu...
  14. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lifahamu kombola la oreshnik, linatoka kwenye space likirudi linarudi na kasi ya March 27

    Aisee mrusi ni habari nyingne Hili kombola likiwa ndo linafyatuliwa linatoka na kasi ya 6000km/hr na hapo ndo linapooneka tu Baada ya hapo alionekani tena kwenye rada wala wapi linatoka kwenye space likirud kwenye atmosphere linakuja na kasi ya Mach 27 Hakuna mfumo wa ulinzi wowote unaweza...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Deusdedith Soka: Unaweza ukamuua Soka Lakini huwezi ukauwa fikra ambazo mimi ninafikiri, March 13, 2024

    Leo nimewaza tu nakumkumbuka kijana Deusdedith Soka ambaye aliwahi kusema "Unaweza ukamuua Soka Lakini huwezi ukauwa fikra ambazo mimi ninafikiri. Kwa sababu fikra zangu ni kupigania haki. Hata kama nikifa leo, kesho au kesho kutwa, ninaamini Fikra zangu zitaendelea kuishi. Wako mamilioni ya...
  16. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Yule Jasusi Aliyetoa Breaking News Tarehe 12 March Tukatangaziwa Tarehe 17 March, ametoa Breaking News Kule Jasusi TV

    Wanabodi Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...! Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Geita Vijijini tangu March 2025 mpaka leo Walimu wa Ajira Mpya hatujapewa hela ya kujikimu

    Wilaya ya Geita Vijijini tangu Mwezi wa tatu mpaka leo Walimu wa Ajira Mpya hatujapewa hela ya kujikimu, hivyo maisha yamekuwa magumu sana mitaaani naomba utusaidie kupaza sauti Jamii Forums. Nyingine soma ~ Ajira mpya za Walimu Msingi na Sekondari Mwaka wa fedha ulioisha hatujalipwa fedha za...
  18. STUKA M1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama nyie Simba ni Wanaume kweli basi fanyeni kama Tarehe 08 March 2025

    Nawapanga kabisa Makolo, kama kweli nyie ni Wanaume na mnajikubali basi mgomee na msuse kupeleka timu uwanjani huko Amani Abed karume (Stadium) Zanzibar kama mlivyofanya kwenye mechi ya Derby 08 March 2025. Maana huku mmezoea kubebwa na mjomba wenu Karia kwa maamuzi yenu ya hovyohovyo na yasiyo...
  19. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Safaricom Plc Year Ended March 2025 Profits

    https://x.com/kenyanwalstreet/status/1920710670007369997?t=7R1hJAOxEGvKDNa-_WPzog&s=19 https://x.com/MwangoCapital/status/1920750699245433156?t=P05PrDyoB4a5_mw6gcL4LQ&s=19 Ethiopia is a drag on performance, but once it starts firing on all cylinders, Safaricom will be looking at profits 1...
  20. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Usaili wa kuandika TRA uliofanyika tarehe tarehe 29 na 30 March 2025

    MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA TAARIFA KWA UMMA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA Dar es Salaam, 26 Aprili, 2025: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifu wasailiwa wote waliofanya usaili wa kuandika tarehe 29 na 30 Machi, 2025 katika vituo tisa (9) vilivyokuwa vimeandaliwa hapa Nchini...
Back
Top Bottom