mapenzi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Sijisikii vizuri lakini nimepima sina UKIMWI

    Naombeni ushauri Maana toka nimefanya mapenzi na huyo mwanamke nimekua nikiugua ugua tu nishaenda kupima nikakutwa Niko vizuri sijajua shida ninini?
  2. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Safari ya mahusiano (mapenzi)

    Nisizunguke sana, acha niende kwenye mada.. Hii story niya kweli kumuhusu binti mmoja nilie mtongoza. Kawaida yangu huwa story zangu niza back story nani mambo ya kweli. Napenda sana drama ndio maana huwa nakua na msukumo sana wa kuja kuandika hapa JF. Matukio yalikua hivi.. kuna kipindi...
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya sio Mapenzi bali Uroda

    Ebwana eheee nimeoa miaka Saba iliyopita lakini cha kushangaza sasa kila siku unaambiwa mapenzi yazidi kuongezeka na sasa si mapenzi tena Mwanaume mwenzenu napata uroda. Asubui nikiamka nakuta maji bafuni zamani maji ya kuoga alikua anayaunga na karafuu Ila sasaivi ameongeza anaweka majani ya...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ni mapenzi?

    Habari za jumapili wadau, ni matumaini yangu mko poa nyote, to cut the long story short ni ivi, miaka miwili nyuma nilitokea kumpenda msichana mmoja mrembo sana, alikua ni msichana wa kisasa nikimaanisha alikua anapelekwa na matukio ya dunia kuparty sana, kunywa pombe,kuvaa mini skirts n.k...
  5. JamiiForums Tanzania TEKNOLOJIA YA ROBOTI: midoli ya kufanyia mapenzi

    Hakuna kitu kimefanya nimuamini Mungu wangu kama maneno yake yaliyonenwa na yeye huyo huyo mungu kwenye moja ya vitabu vyake vitakatifu karne nyingi zilizopita na kwa uwezo wake usio kifani yakatimia Sikuwa na shaka pale nilipopitia miongoni mwa vitabu vyake huyu mwenyezimungu chenye maneno...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli mapenzi ya wizi ni matamu kuliko katika ndoa halali?

    Mapenzi ni kitu ambacho kinafanya wapenzi kufurahia wakiwa pamoja lakini kwa sasa kumekuwepo kwa kusalitiana katika mahusiano. Imekuwa kama kawaida mwanamke/mwanaume kuwa na mchepuko huku tayari yupo kwenye ndoa yake. Kwa nyakati za sasa uzinifu si kitu cha ajabu tena.Wahusika wanadai kufaidi...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeamini, Wanawake wa Kipemba wanajua Mapenzi kuliko Wanawake wa Tanga

    Salaam, Kuna kitu nmesikia watu wakijisifia kwamba wanawake wa Tanga ndo mapenzi yalipozaliwa. Ila ila baada ya utafiti wangu wa kina, nimegundua Wanawake wa Zanzibar hasa Kisiwa cha Pemba wapo Vizuri kwenye Tasnia ya Mapenzi kwa Ujumla yake. Yaani wanajua kumhudumia Mwanaume. Nahisi...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kuwekeza nini kwa ajili ya mapenzi (mahusiano) na mkaja kuachana?

    Swali langu ni umewahi kuwekeza kitu gani au shilingi ngapi kwa kukadilia katika mapenzi ili kudumisha mahusihano yako na mwanamke au mwanaume? Ngoja niongelee kwa upande wangu, Mimi nimekua ni mtu mgumu sana kutoa kitu changu au pesa yangu kwa ajili ya kumpata mwanamke, siamini katika hilo...
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

    Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana...
  10. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi nyinyi mnaofanyia mapenzi gizani mnapata raha gani?

    Habari zenu wakubwa! Kuna hili suala ambalo linanishangaza. Utakuta mtu yuko na mwanamke mzuri faragha lakini wamezima taa!.!? Binafsi napokuwa faragha naburudika sana ninapoona jumbile la mwenzi wangu vizuri. Nafurahi kuona vile anabadilika wakati namwandaa mara arembue macho, mara...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shairi la mapenzi

    Nipo Mbali: Nipo mbali unajua, Simu ndo kiunganishi, Kwa nilicho kigundua, Kukuwaza hakuniishi. Najua unalijua, Mwanamke ni stara, Usije jishebedua, Samaki msafi ukimpara. Sio tu umevua, Ukamtia jikoni, Tumbo litakusumbua, Usipende uhisani. Nipo mbali ila hai, Nitarudi hivi punde, Ilinde yako...
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yanaumiza...

    MUNGU umeumba vitu vyote kwenye ulimwengu huu,ukavitakasa na ku vibariki lakini Kati ya viumbe vyako vyote,kuna huyu kiumbe bin Adam, ulimuumba kwa namna ya pekee kabisa, Kuanzia body appearance nikimaanisha utendaji kazi wa viungo vyote pamoja na kumpa akili na maarifa. Pamoja na yote hayo,ipo...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi : Beyond Love (Zaidi Ya Mapenzi)

    Simulizi: BEYOND LOVE (ZAIDI YA MAPENZI) Mwandishi: 2JIACHIE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 Tom aliheshimika na kutisha, hakuna mtu aliyechezea shughuli zake kutokana na uhusiano mzuri aliokuwa nao na viongozi Serikalini, akiwa mdhamini wa Chama Tawala. Hakuna mtu ambaye...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chanzo cha mapenzi

    Habari zenu mabaharia wote mliomo humu. Mara nyingi mtu akiita mabaharia jinsia ya kike huwa wanajiweka pembeni sasa sio kwa salamu yangu,mimi nimewalenga nyote. Sasa niende kwenye kaburi langu halafu nione kama nitatoka au nitafiamo mazima. Naita kaburi kwa sababu ni kazi ngumu sana kueleza...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi kwangu ni...

    Mapenzi kwangu ni uchoyo! Ndio ni uchoyo kwa maana ni nafasi ya kuwanyima wengine na kumpa yule special wako ambae ndio kiberenge wa moyo wako!. Mapenzi kwangu ni utimilifu, utimilifu wa kimaumbile baina ya me na ke. Utimilifu ambao huongozwa na ukiherehere wa hisia tamanishi, hisia zenye...
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya Mama na Mke nani anastahili zaidi ya 50% ya mapenzi

    Kwanza kabisa tuelewe majukumu ya hawa watu katika sekta zao. Heshima ya Mama haipungui kijana unapooa. Tunajua umuhimu wa Mama toka amekubeba miezi 9 umezaliwa umekuwa na umejitambua hilo ni jukumu lake na lazima apate heahima kama Mungu alivyoagiza. Umejitambua unataka sasa...
  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi ndio SI Units za kujipatia mapenzi motomoto mjini

    Baada ya pepo mmbaya kukatiza katika mahusiano mengi mwezi wa 9 na wa 10 hapo natumai wahanga wanaendelea vizuri ila ningependa tukumbushane mambo muhimu kidogo. Wazee SI Units za mapenzi motomoto hapa mjini ni kama ifuatavyo: 1.Pesa, Penenge, Mpunga, Ngawira, Mtonyo, Shekeli, Mshiko. 2...
  18. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tangu tufanyie mapenzi kwenye boma lake, ilikuwa kama tumetia nuksi jamaa kashindwa kabisa kupaua hadi leo mwaka unaenda wa tatu

    Siku moja katika matembezi jioni nikiwa na mpenzi wangu, Ikatokea tukatekenyana tekenyana zikapanda! Ilikuwa mida ya saa mojamoja tukasogea kwenye nyumba moja iliyokuwa katika hatua ya ujenzi wa kenchi! nikamuinamisha tukapiga gemu tukasepa. Leo tumepita njia ile mwaka wa tatu sasa, demu...
  19. T

    JamiiForums Tanzania Hongera Dkt. John P. J. Magufuli, Hongera CCM: Ushindi wenu ni ishara ya mapenzi ya watanzania juu yenu

    Na: McWenceslaus 31/10/2020 Wapinzani sikieni, Ujumbe mshikeni, Iloletwa na wageni, Ndicho chenu kishikeni. Wambieni Mabeberu, Na Robert Amstardamu, Nchi yetu ipo huru, na CCM ndio Nuru. Magufuli 5 tena, Ndio neno lilojema, Tumaini lipo tena, Kazi ndio wetu wema. Haki uhuru na amani, Ndizo...
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Walimu wa Field msiwalazimishe mapenzi wanafunzi

    Habari ya asubuhi wataalam mbalimbali,chap kwa haraka ngoja niende straight kwenye mada. Nikiwa zangu kwenye daladala nimepanda zangu nikakaa kwenye siti ya nyuma na wadada wawili wanaonekana form 4 leaves wa Tamisemi wamechaguliwa straight kuanza certificate. Nikavutiwa na confidence yao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…