Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.
Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo
• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na...
Miaka inaenda kasi sana, leo hii watu wanatumiana sms, emoji nk. Lakini miaka yetu wakati tunaanza kutafuta wapenzi tuliandika barua kwani haikuwa si rahisi kusimama na binti na ukaongea naye njiani.
Hivo ilikubidi uandike barua na kuvizia alafu unaitumbukiza ndani ya daftari lake au kupitia...
Matapeli huko mtandaoni hutengeneza wasifu bandia kwenye tovuti halali za kutafuta wachumba. Wanatumia profaili hizi kujaribu kuingia kwenye uhusiano na mtu ili waweze kupata pesa zake na maelezo binafsi.
Tapeli atakuwa na uhusiano mzuri na mtu huyo wakishazoeana ataanza kuombe pesa ili...
Hakuna kitu kinaumiza kichwa kama kuuza mechi mana mawazo yanakuja mengi sana na kuogopesha haya mambo haya jamani tuyaache.
Nina msongo wa mawazo wa kutosha.
Hapa nilipo sijala toka jana! Alinitumia tu meseji
Usinitafute Tena mimi na wewe yameisha nilikuomba hela ya kusuka ukaniambia nikanyoe!
Nimejitahidi kumbembeleza hataki nimemtumia hela ya kusuka kairudisha,katuma na picha yake akiwa kanyoa kipara watu walivyomcheka ndo akaamua kuniacha...
Mwaka 2008 niliingia Durban baada ya kuitwa na jamaa zangu waliokuwa huko. Hawa jamaa zangu tuna undugu pia. Kaka yao kaoa shangazi yetu, na pia kaka yetu kaoa dada yao, ni kama tumeoleana, wao wameoa kwetu na sisi tumeoa kwao. Pia hawa jamaa tumesoma shule moja ya msingi japo madarasa tofauti...
Habari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.
Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile...
Wewe Mwanamke Nikikutongoza Ni Siku 3 Tu, Ukizingua Haya Sina Muda Na Wewe Tena Labda Yani Labda Unifuate Mwenyewe. Mimi Mambo Ya Kubembeleza Mapenzi, Wiki, Mwezi, Mwaka Huu Mchongo Nimejaribu Nimeshindwa!
Hivi Wale Wanaume Ving'ang'anizi Mnaofuatilia Dame Hata Miezi 2 Teh Teh Teh Mnajua...
Kumekuwa na watu ambao hupenda fanya mapenzi majini hasa hasa baharini. Nliwahi shuhudia mmoja kunduchi wakati anafanya tendo hilo akabanwa na mshipa.
Alipiga kelele sana huku na mpenzi wake naye akikimbia chupi ipo upande.jamaa mashine inaonekana inatema some heavy liquid kama pua inayotokwa...
Habari wadau.
Kitendo Cha kuhonga katika mapenzi Ni kitendo Cha asili.toka zama za mababu wanaume walikua wakiwahonga wapenzi wait vitu mbalimbali mfano khanga,vitenge,nguo,viatu,vipodozi,hell na Vito vya thamani. Mambo haya yalifanyika kabla ya kumpata mwanamke na baada ya kumpata mwanamke...
1. Ndugu zangu naomba kuelimishwa, elimu yangu ndogo Tena ya kuunga-unga kutokana na kure-sit Mara kadhaa bila mafanikio ya kupata Credits za kujiunga elimu ya juu zaidi.
2. Nauliza, nini nafasi ya "HIPS" au hata Trako katika mapenzi? Maana naona matangazo mengi yanataja Sana sehemu hizo za...
Anyway hawa viumbe(ke) sijui mpewe nini ili mjue mnapendwa damn it.
Mtu unampa muda, respect, love unatimiza mahitaji mwisho wa siku anakula kichwa ani ghafla tu aisee nimekumbuka humu ndani kuwa mke ambae sio bikra sio mke wako ni mke wenu.
Anyway suala la kuoa nilipe mitano tena na let me...
Kuna haya mahusiano ya umbali mrefu unakuta mwanaume yupo Arusha na mwanamke yupo moro
Aidha ni kwasababu ya kazi, biashara, n.k, hivyo kupelekea kutoonana kwa muda mrefu japo mawasiliano yapo.
Nasikitika navyoona wengi wanavyodanganyana kama watoto, kila moja anamdanganya mwenzake yeye hana...
Ndugu zangu wana JF huu ni mwaka wa pekee katika historia ya maisha yangu ni mwaka ambao natarajia kuaga rasmi katika chama kikuu cha useja na kupewa usajili wa kudumu katika chama cha wanandoa.
Japokuwa sina mchumba kwa sasa na kwa kuwa tunaishi kwa imani ni matumaini yangu kuwa...
Kuingia mzimamzima ndio utamu wake ni kama dimbwi unajitupia tu pwaaaaa!
Sio unaingia kwenye mapenzi mguu nje mguu ndani,hiyo haifai hutafaidi na unakuwa unajishitukia na hofu zisizomaana!.
Hata Kama ni ya uongo we ingia mzimamzima tu ule mema ya dunia maisha ni mafupi haya ukizubaa yatakukula...
Wakuu!
Nimeandika haya ili wakujifunza ajifunze na wakupuuzia apuuzie hasa vijana ambao hamjaoa.
Miaka saba iliyopita kabla sijamuoa Mke wangu kipenzi, tukiwa wachumba. Alitokea mrembo mmoja kutoka Geita, mimi nilikuwa chuo wakati huo yeye naye alikuwa chuo pale NIT Dar es salaam. Hapa na...
RIWAYA: LOVE SPEAR 01
MTUNZI; AUTHOR XAV
NAMBA; 0672493994
Email: xavemmanuel12@gmail.com
----------------------------
UTANGULIZI;
MAPENZI ni moja kati ya njia ambayo kila binadamu anapaswa apitie. Ni njia ambayo haina muonekano halisi ambao unajulikana. Kila mtu anaonja radha yake katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.