Kuingia mzimamzima ndio utamu wake ni kama dimbwi unajitupia tu pwaaaaa!
Sio unaingia kwenye mapenzi mguu nje mguu ndani,hiyo haifai hutafaidi na unakuwa unajishitukia na hofu zisizomaana!.
Hata Kama ni ya uongo we ingia mzimamzima tu ule mema ya dunia maisha ni mafupi haya ukizubaa yatakukula...
Wakuu!
Nimeandika haya ili wakujifunza ajifunze na wakupuuzia apuuzie hasa vijana ambao hamjaoa.
Miaka saba iliyopita kabla sijamuoa Mke wangu kipenzi, tukiwa wachumba. Alitokea mrembo mmoja kutoka Geita, mimi nilikuwa chuo wakati huo yeye naye alikuwa chuo pale NIT Dar es salaam. Hapa na...
RIWAYA: LOVE SPEAR 01
MTUNZI; AUTHOR XAV
NAMBA; 0672493994
Email: xavemmanuel12@gmail.com
----------------------------
UTANGULIZI;
MAPENZI ni moja kati ya njia ambayo kila binadamu anapaswa apitie. Ni njia ambayo haina muonekano halisi ambao unajulikana. Kila mtu anaonja radha yake katika...
Baadhi yetu mtaichukulia hii posti kama ni ya ujinga flani hivi. Ila nadhani wachache watanielewa ninachomaanisha.
Kila mtu anajua kuwa mke wa mtu / mume wa mtu ni sumu lakini katika mazingira yaliyotuzunguka unaweza ukajikuta umeangukia katika mikono hiyo ambayo sio salama hata kidogo...
Miaka ya zamani ilikuwa ukimtongoza mwanamkee anakukubalia badaa ya miaka miwili hadi mitatu hivyo unakuta unapata kumjua vizuri pia kama ni wivu kuna muda unaupata na unajifunza kuimili
Sasa kwa kizazi cha 1999 hadi sasa na kutokana na sayansi huria unapata demu instagram asubui na jioni...
Kila zama na mambo yake...!
Ndio,zama hizi zenye kile kinachoitwa utandawazi, wenye kila aina ya taarifa unayotafuta, Wenye kila aina ya mambo mapya.
Siku hizi imekuwa kama desturi kuwa mtu lazima ukiingia ndoani mwenza wako awe tajiri. Yaani automatic mke amkute mume tajiri..!
Utaskia mdada...
Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kutoka pwani, yaani tumekuwa katika ma love yapata miezi minne sasa lakini muda wote tumekuwa tuki kiss na kupeana maraha bila ku sex. Ijumaa iliyopita tukaenda hotelini ili kupata fargha zaidi,kufika ndani bi dada aliona ile ilikuwa surprise kwake na...
Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kutoka pwani, yaani tumekuwa katika ma love yapata miezi minne sasa lakini muda wote tumekuwa tuki kiss na kupeana maraha bila ku sex. Ijumaa iliyopita tukaenda hotelini ili kupata fargha zaidi, kufika ndani bi dada aliona ile ilikuwa surprise kwake na...
Utafiti wa Taasisi ya Kinsey Indiana University Marekani umehitimisha kuwa Mwanaume uchepuka kwenye uhusiano/ndoa yake ni dalili ya kuwa na akili ndogo (low IQ), "Wanaume wenye akili kubwa muda wa kuwasaliti Wapenzi au Wake zao hawana kabisa, wanatulia na Mtu mmoja"
Ni wanawake wachache sana wanaweza kuukwepa mtego wa pesa za mwanaume anaehitaji kuwa na mahusiano nao.
Hii ni kwasababu pesa hio ndio tatizo kuu la dunia, tunaitafuta kila siku na ni ngumu kuipata na bila hio pesa maisha yanakuwa magumu.
Hivyo ni kazi sana mwanamke kukwepa hili hasa...
Jamani wanaume wenzangu ulimwengu umebadilika sana kwa sasa, zamani ilikuwa tuvumiliane wakati wa shida na raha, siku hizi pesa kwanza mapenzi badaae, asije akakudanganya mwanamke eti anakupenda hivyo ulivyo. Hapana wanawake wa sasa wanataka mwanaume problem solver na yule wa kuafford matatizo...
Wakuu habari za time hiii.
Nina kipengele kimoja kigumu sana, Je ulishawahi kuishi na mwanamke mjuaji? Kama ulishawahi ulitumia njia gani kuminimize kama so kumaliza kabisa tatizo.
Asanteni
Kuna wanaume wanatokeaga kupendwa sana na wanawake lakini kwa sababu wana ushamba wa mapenzi, mwanamke anatokea kufanya shughuli kubwa mno ili kumrahishia mwanaume kazi lakini bado mwanaume huyo anakuwa hajui kinachoendelea.
Ewe mwanamke, kama uliwahi kukutana na hali hii, mwaga mkasa wako hapa
Habari za mchana wakuu wa MMU. Natumai mpo salama na mnaendelea vyema kabisa na majukumu ya hapa na pale.
Lengo kubwa la uzi huu ni kutaka kujua ni ishara gani au ni vitu gani vinadhihirisha kwamba mwanamke yupo tayari kuingia katika mahusiano ya kimapenzi/ndoa. Nimeuliza hivyo kwa sababu kila...
Mapenzi mazuri lazima mwanaume uwe na kamba kamba ujanja janjaa mana kwa hali ya sasa ukiwaweka wazi dada zetu kwa kila kituu ataishia kupiga punyeto
Lazima ujitutumue kama mwanaume uwe unachaneli za kweli au za kijanja janjaa hata ukilala njaa mpenzi akikuliza umekula nini mwambie kuku nusu na...
Nisizunguke sana, acha niende kwenye mada..
Hii story niya kweli kumuhusu binti mmoja nilie mtongoza. Kawaida yangu huwa story zangu niza back story nani mambo ya kweli.
Napenda sana drama ndio maana huwa nakua na msukumo sana wa kuja kuandika hapa JF.
Matukio yalikua hivi.. kuna kipindi...
Ebwana eheee nimeoa miaka Saba iliyopita lakini cha kushangaza sasa kila siku unaambiwa mapenzi yazidi kuongezeka na sasa si mapenzi tena Mwanaume mwenzenu napata uroda.
Asubui nikiamka nakuta maji bafuni zamani maji ya kuoga alikua anayaunga na karafuu Ila sasaivi ameongeza anaweka majani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.