crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 846
Anyway hawa viumbe(ke) sijui mpewe nini ili mjue mnapendwa damn it.
Mtu unampa muda, respect, love unatimiza mahitaji mwisho wa siku anakula kichwa ani ghafla tu aisee nimekumbuka humu ndani kuwa mke ambae sio bikra sio mke wako ni mke wenu.
Anyway suala la kuoa nilipe mitano tena na let me focus na mishe zingine tu namuachia Mungu.
Mnipe connection tu za maeneo ashiki zikizidi nikapunguze tu huko ila kudate na mtoto wa mtu never.
Anyway how uwe loyal kwa mtu kumbe yeye anakuzoom tu anakutumia tu kutimiza haja zake.
Niko kwenye hali mbaya kimawazo na i have to move on anyway ni kama nimepigwa nyundo ya utosi.
Samahani kwa uandishi mbaya Man Down..onether Man Down..😫sawa tu ni life😪
MAPENZI NI UFALA anyway sijui mnataka Kusemaje?!
Mtu unampa muda, respect, love unatimiza mahitaji mwisho wa siku anakula kichwa ani ghafla tu aisee nimekumbuka humu ndani kuwa mke ambae sio bikra sio mke wako ni mke wenu.
Anyway suala la kuoa nilipe mitano tena na let me focus na mishe zingine tu namuachia Mungu.
Mnipe connection tu za maeneo ashiki zikizidi nikapunguze tu huko ila kudate na mtoto wa mtu never.
Anyway how uwe loyal kwa mtu kumbe yeye anakuzoom tu anakutumia tu kutimiza haja zake.
Niko kwenye hali mbaya kimawazo na i have to move on anyway ni kama nimepigwa nyundo ya utosi.
Samahani kwa uandishi mbaya Man Down..onether Man Down..😫sawa tu ni life😪
MAPENZI NI UFALA anyway sijui mnataka Kusemaje?!