Je, baada ya kufanya mapenzi bila kinga na mtu usiyemwamini(tegemea) ulikuwa na hali gani?

yuda75

JF-Expert Member
Aug 16, 2020
520
1,375
Hakuna kitu kinaumiza kichwa kama kuuza mechi mana mawazo yanakuja mengi sana na kuogopesha haya mambo haya jamani tuyaache.


Nina msongo wa mawazo wa kutosha.
 
Ana mapele pele mwilin au makovu meusi au Macho yake ule weupe umezidi kabisa? Au sura yake kama imemvaa japo anaweka mekapu?au maeneo yanayozunguka macho yako kama amejichibua? Je anavaa wigi au ananyoa kipara??


Acheni Ujinga, hizo ni maneno tu hazihusiani na mwenye ngoma
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom