Kitu Nisichoweza Kwenye Ulimwengu Wa Mapenzi

Kitu Nisichoweza Kwenye Ulimwengu Wa Mapenzi

Joined
Mar 14, 2019
Posts
87
Reaction score
61
Wewe Mwanamke Nikikutongoza Ni Siku 3 Tu, Ukizingua Haya Sina Muda Na Wewe Tena Labda Yani Labda Unifuate Mwenyewe. Mimi Mambo Ya Kubembeleza Mapenzi, Wiki, Mwezi, Mwaka Huu Mchongo Nimejaribu Nimeshindwa!

Hivi Wale Wanaume Ving'ang'anizi Mnaofuatilia Dame Hata Miezi 2 Teh Teh Teh Mnajua Mnapoteza Sana Muda Nyie Mafala. Mnawezaje?
 
Daah, Kweli watu tumetofautiana.

Binafsi huwa nasikia raha ninaposumbuliwa kidogo na bint, huwa inaleta uchu na shauku zaidi ya kumnasa.

Kwangu mm maana halisi ya Kuwa mwanaume ni Pamoja na kupata ugumu flani Kwenye kila unachokifanya.

Mwanamke anayejirahisisha kwangu Hapana kwakweli, kama umempata kirahisi hivyo arashindwa vipi kukataa akitongozwa tena na mwingine?
 
Ndio ninyi mnaodai kwamba ndoa ni shida wakati huo matatizo unakua ulishaanza kuyatengeneza tokea mwanzo maana ake wewe lazima unamiliki madem wengiii
Tatizo hiloo
 
Daah, Kweli watu tumetofautiana.

Binafsi huwa nasikia raha ninaposumbuliwa kidogo na bint, huwa inaleta uchu na shauku zaidi ya kumnasa.

Kwangu mm maana halisi ya Kuwa mwanaume ni Pamoja na kupata ugumu flani Kwenye kila unachokifanya.

Mwanamke anayejirahisisha kwangu Hapana kwakweli, kama umempata kirahisi hivyo arashindwa vipi kukataa akitongozwa tena na mwingine?
mh, uzuri ni kwamba nao washajua kuwa kuna watu kama wewe......watajifanyisha hivyo kumbe wanakuchora tu
 
Kwahiyo mkuu unapenda wale maharage ya mbeya maji mara moja eeh?! Vipi hao wengine ataweza kuwakataa kweli? Kuna raha yake bana kumpata mtu kiugumu kidogo isiwe sana sasa,unakua unakumbuka dah "wife ulinisumbua wewe" ila ni mtazamo tuu🤔
 
Hongera kwa kuwachangamkia machangudoa.
Wewe Mwanamke Nikikutongoza Ni Siku 3 Tu, Ukizingua Haya Sina Muda Na Wewe Tena Labda Yani Labda Unifuate Mwenyewe. Mimi Mambo Ya Kubembeleza Mapenzi, Wiki, Mwezi, Mwaka Huu Mchongo Nimejaribu Nimeshindwa!

Hivi Wale Wanaume Ving'ang'anizi Mnaofuatilia Dame Hata Miezi 2 Teh Teh Teh Mnajua Mnapoteza Sana Muda Nyie Mafala. Mnawezaje?
 
Wewe Mwanamke Nikikutongoza Ni Siku 3 Tu, Ukizingua Haya Sina Muda Na Wewe Tena Labda Yani Labda Unifuate Mwenyewe. Mimi Mambo Ya Kubembeleza Mapenzi, Wiki, Mwezi, Mwaka Huu Mchongo Nimejaribu Nimeshindwa!

Hivi Wale Wanaume Ving'ang'anizi Mnaofuatilia Dame Hata Miezi 2 Teh Teh Teh Mnajua Mnapoteza Sana Muda Nyie Mafala. Mnawezaje?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti mafala
 
Wewe Mwanamke Nikikutongoza Ni Siku 3 Tu, Ukizingua Haya Sina Muda Na Wewe Tena Labda Yani Labda Unifuate Mwenyewe. Mimi Mambo Ya Kubembeleza Mapenzi, Wiki, Mwezi, Mwaka Huu Mchongo Nimejaribu Nimeshindwa!

Hivi Wale Wanaume Ving'ang'anizi Mnaofuatilia Dame Hata Miezi 2 Teh Teh Teh Mnajua Mnapoteza Sana Muda Nyie Mafala. Mnawezaje?
Mke ambae ninae nashukuru sijawahipo kumtongoza,sijawahi kutongoza tokea kuzaliwa kwangu.

Kama ambavyo nina marafiki wa ukweli lakini sijawahi kukaa siku tukaombana urafiki alakini tumekuwa marafiki kwa kuwasiliana kihisia tu
 
Kweli mkuu,unakuta demu unanfuatilia weeee,hata ukimwita muonane open space yeyote anakupuga kalenda,

Unamwambia kama upo kwenye serious relationship niambie tuu,anagoma.....Sasa kwa staili hii NIKUONDOKA KABISA

Minapenda demu aniambie tuu,kama anamshkaji au vip sio kuniweka kwenye friend zone
 
Easy come Easy Go..
Wewe Mwanamke Nikikutongoza Ni Siku 3 Tu, Ukizingua Haya Sina Muda Na Wewe Tena Labda Yani Labda Unifuate Mwenyewe. Mimi Mambo Ya Kubembeleza Mapenzi, Wiki, Mwezi, Mwaka Huu Mchongo Nimejaribu Nimeshindwa!

Hivi Wale Wanaume Ving'ang'anizi Mnaofuatilia Dame Hata Miezi 2 Teh Teh Teh Mnajua Mnapoteza Sana Muda Nyie Mafala. Mnawezaje?
 
Back
Top Bottom