mapenzi

  1. Friji la mtumba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cheating (Kuchepuka) Inaua Zaidi ya Mapenzi — Je, Watu Wanaelewa Madhara Yake ya Kisaikolojia na Kijamii?"

    Kuchepuka imekuwa kama kitu cha kawaida katika mahusiano mengi siku hizi — wengine wanakiona kama ujanja, wengine kama sehemu ya maisha. Lakini watu wengi hawazungumzii madhara makubwa yanayotokana na kutokuwa waaminifu. Baadhi ya madhara ya kuchepuka ni: Kuvunjika kwa imani (trust) — jambo...
  2. Baba jayaron

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naye kabadilika? Kajibebesha mimba baada ya kusikia nimempa mimba mwingine! Naambiwa mimi ndio nina shida

    Wasalaam, Yule mwanamke wa kiganda niliyevutiwa nae kwa jinsi alivyo na adabu,mpole,mcheshi na mchapakazi, Tena anayejua mahaba kuliko wanawake wote wa Tanzania..... Baada ya kusikia nimezalisha mwanamke mwingine mkoani huko amekuja juu na kujibebesha mimba yangu hatimaye na sasa Mimi ndo...
  3. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, mapenzi ya kweli yapo au ni ndoto?

    JE, MAPENZI YA KWELI YAPO? AU NI NDOTO TU? 🌹 Mapenzi ni hisia tamu ambazo kila mtu anatamani, lakini je, mapenzi ya kweli yapo au ni hadithi tu? Wengine wanaamini kuwa mapenzi ni kujitoa bila masharti , wakati wengine wanasema kuwa mapenzi ya kweli yanazidi kuwa nadra katika dunia ya sasa. ✅...
  4. Nyafwili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Salute Kwa Wale Waliokwisha Oa Au Kuolewa. Tafadhali, Mliwezaje Kufanikisha Hilo.?

    Maisha ya mapenzi yamejaa comedy na stress kwa wakati mmoja, Naona ni ngumu sana kumpata mwanamke mzuri wa kuoa, Tayari ni takribani miaka miwili na miezi minne tangu nianze kuamua kutafuta mtu wa kuoa lakini bado sijafanikiwa. . Safari hii imekuwa ya mizunguko na drama kibao hadi sasa, na...
  5. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Faida na hasara za mapenzi yasiyo na pesa vs mapenzi ya pesa

    Yo! Let’s fcking talk – na leo siongei kwa utani, si cheki na mtu, na wala sibembelezi hisia za mtu yeyote. Kama unajua umeumia na mapenzi, hii ni ya kwako. Kama bado upo kichwani unawaza mapenzi kabla ya kujenga future yako – then you’re the biggest clown in this fcking game! MAPENZI KICHA...
  6. Mobutu JR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kukaa bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu?

    Wakuu, Mimi siwezi kukaa ndani ya siku saba na nisifanye mapenzi, hali hii huwa inanishinda, Mimi ni mtu wa mazoezi,mchezaji wa mpira mtaani kwetu,na napenda sana kusikiliza muziki,kurelax na marafiki,lakini punde tu nikiachana nao basi tayari hamu ya kusex inanijia Sijaoa ila hali hii...
  7. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mpenzi wangu akishika simu yangu, anazidisha mapenzi na heshima kwangu

    Kuna muda ni kama analeta kunizoea, ila akishika simu akiangalia social media ninavyotongozwa, anajua kumbe yuko na " Dhahabu" Yenye thaman sana. Unakua sometimes wapenzi wetu wanatuzoea af wanatuchukulia poa sana. Ila wakiona kua tunahitajika, akili zawakaa sawa. Sometimes she forget that...
  8. Dr leader

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi kama jalala

    Mapenzi Jalala 1 Mapenzi kitu ajabu, kumbe anaye mwingine Waliya bila sababu,yeye yupo kwa Zidane Hata bila ya sababu , ataenda kwa Zahabu Mapenzi kama jalala, utupapo waokota 2 Ya kama Mondi na Zuchu, kila mtu ana lake Moyo ungali na uchu, kupata kilicho chake Kuna wakati mkuchu...
  9. kiss ov love

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rasmi nimeachana na mapenzi

    Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea. Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani. Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa...
  10. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke mrembo kuzaa na mwanaume masikini ni mapenzi ya kweli, bahati, hajui kukataa, ushirikina au ni kitu gani ?

    Mabinti warembo / Visu / Pisi Kali huwa wana demand kubwa, atafatwa na wanaume wa aina nyingi, yeye ni kuchagua tu Inapotokea mwanamke mrembo kampenda hadi kumzalia mwanaume masikini huwa ni kipi . Mapenzi ya kweli Ni cha wote Ushirikina / Ndumba Bahati ama kuna cha ziada
  11. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Si mapenzi, bali ni clearance sale ya Uroda!

    Yani kaka na dada zangu, hebu tusimame tuangaliane machoni kama watu waliopigwa butwaaa na bumbuwazi……..! Siku hizi, uroda ni kama chips za kwa Mama Mlewa ziko kila kona, bei poa, na hakuna foleni. Hata ukiamka na hangover ya roho, ukivaa kaptura ya jana na tshirt ya promotion ya sabuni, bado...
  12. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Jux anafanya wanaume wote wa Tanzania tuonekane wastaarabu kwenye mapenzi

    Mimi sio hansome,sina hela,sina six pax,sina umaarufu wowote ila tangu january mpaka sasa nimeshatindua mabinti zaidi ya 19,na mwaka bada mbichi kabisa Siku ya msiba wangu nitatia aibu sana kwa rundo la watoto msibani kwangu. Minajijua siendi mbinguni kwadhambi moja tu ya uzinzi Sasa mdogo...
  13. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Huyu Mchungaji alimkosea sana jamaa angu

    * tuliambiwa tu some SAYANSI tukakataa. Jamaa amekaa siti ya mbele kabisa na mchumba ake pale ibadani.... pastor anaendelea na mahubiri. . Ghafla pastor kamnyoshea kidole Shemeji angu (yule Binti)... AKasema "BINTI... MUNGU AMEKUBARIKI ... UTAOLEWA NA ENGINEER" Watu wanashangilia ... Ali...
  14. kadiri kasimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JE single Father nae anaruhusiwa kuowa Binti kigoli ambaye ni mgeni kwenye ntansinia ya mapenzi?

    Salam kwenu wakuu! Twende kwenye mada husika, yupo mwamba moja yeye ana umri wa miaka 39 saivi, na hadi sasa ana watoto 6, wanne mama tofauti tofauti, na wawili mama moja huyo ndo waliishi nae km 8yrs, wakaachana, hao wengine jamaa alipita tu, ss baada ya kuachana na huyu alieishi nae...
  15. 05CUBA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wanajua kuhonga nyie

    Unakutana na mtu maisha kaya patia akiwa na late 30's Zaidi ya kusoma Hadi sa Tisa alfajiri Kisha analala masaa matatu manne na kwenda darasani Tena akiwa shule na hata chuo hajui kitu. Hajui mapenzi. hajui urafiki. Yani mtoto wa kiume bikra (tendo la kwanza na mwanamke)alitolewa na...
  16. 05CUBA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MAN TO MAN : Ni Nini alikifanya ukagundua kuwa yule mwanamke hakufai ??

    Seriously ... Tusaidiane kujua aina ya red flags mlizowahi kutana nazo wakulungwa kwa upande wenu na mkazichukulia hatua .... Hata wanawake mnaruhusiwa kutoa red flags zenu zilizowakimbiza kwenye baadhi ya Mahusiano.
  17. 05CUBA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa jamaa angu na kijeba kingine wanatoka guest.

    Nipo hapa nje ya guest nimesimama kwakujifucha, mke wa jamaa angu aliingia ndani humu mda mrefu Sana . Saiv ndo anatoka Ila sijui nifanyaje. Ipo hivi ... Toka zamani Sana Me nilikua nimesha amua kuokoka, Yan in short niliamua kua sintokua mtu wa toto's siku zote tukiwa tunakua... Ila jamaa...
  18. technically

    JamiiForums Tanzania Yeyote mwenye mapenzi mema na Tanzania just Pray

    Nchi hii kwa Sasa inaongozwa na genge la mafisadi Hawaoni hatari kufanya chochote kwa mtu yeyote ili kulinda wizi na ufisadi wao!! Wanachi tuamke Tuseme enough is enough bring our country back!! Haiwezekani watu 3 wamekaa wanaendesha nchi watakavyo Nchi inatakiwa kurudi kwenye mikono ya umma...
  19. Last_Joker

    JamiiForums Tanzania Wasichana Wanaowaza Mapenzi Tu: Ukweli au Stigma (Unyanyapaa) kwa Jamii?

    Kuna kale ka-sentensi maarufu mitaani: “Wasichana siku hizi akili zao zote ni mapenzi tu.” Swali la msingi ni… ni kweli ama tumewatengenezea label tu ya "Love Machines" bila kuwapa nafasi ya kueleweka? Real Talk… Ukisikiliza mazungumzo ya watu, hasa porojo za vijiweni, utaambiwa eti msichana...
  20. Mtunza siri zako

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina upweke mkali - Ambao tayari tumeshaumizwa na mapenzi kwa mwaka 2025, tukutane hapa

    Tunaweza kuwa tunaongea ongea sana humu mitandaoni ili kujiliwaza tu, jamani mapenzi yanauma nyie. Break up yangu bado mbichi, nina wiki tu toka nivunje mahusiano na lile dubwana bondia lililonipiga mingumi baada ya kurudi kutoka kwenye mechi ya mpira likiwa limelewa. Nifanyaje kutuliza...
Back
Top Bottom