Yapi umejifunza ukubwani kuhusu mapenzi na mahusiano?

Yapi umejifunza ukubwani kuhusu mapenzi na mahusiano?

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
14,131
Reaction score
33,902
  1. Size ya mashine haijalishi, namna huyo mwenye mashine anavyoitumia ndiyo kinacholeta raha au karaha.
  2. Huna hela, huna kazi - achana na mapenzi focus na mambo mengine.
  3. Kupendwa ni bora kuliko kupenda, ikitokea scale imeelemea kwako utafurahia na roho yako.
  4. Kutengeneza mahusiano mazuri na ndugu wa ukweni ni muhimu japo ni pasua kichwa sana.
  5. Kutofanya maamuzi nikiwa nimekolewa na utamu / mapenzi - hasa baada ya kumaliza kuchakatwa :uwotWater: :uwotWater: :uwotWater:

Njoo uongeze na za kwako.
 
  1. Size ya mashine haijalishi, namna huyo mwenye mashine anavyoitumia ndiyo kinacholeta raha au karaha.
  2. Huna hela, huna kazi - achana na mapenzi focus na mambo mengine.
  3. Kupendwa ni bora kuliko kupenda, ikitokea scale imeelemea kwako utafurahia na roho yako.
  4. Kutofanya maamuzi nikiwa nimekolewa na utamu / mapenzi - hasa baada ya kumaliza kuchakatwa :uwotWater: :uwotWater: :uwotWater:

Njoo uongeze na za kwako.
MAPENZI YANAUA
 
Nimejifunza isingekuwa sio kuzaliana ngono haina faida!

Pia,
Tunawapenda wanaotuumiza, tunawaumiza wanaotupenda

Acha nile ngoma:
Natamani kuwa single ila naupwiru unakaba koo,
Mabinti wenye vifundo hao ndio wananitoa roho,
Mi mbovu sana jambo lile ni kama chakula lazima nile...
 
  1. Size ya mashine haijalishi, namna huyo mwenye mashine anavyoitumia ndiyo kinacholeta raha au karaha.
  2. Huna hela, huna kazi - achana na mapenzi focus na mambo mengine.
  3. Kupendwa ni bora kuliko kupenda, ikitokea scale imeelemea kwako utafurahia na roho yako.
  4. Kutengeneza mahusiano mazuri na ndugu wa mume (pausa kichwa sana).
  5. Kutofanya maamuzi nikiwa nimekolewa na utamu / mapenzi - hasa baada ya kumaliza kuchakatwa :uwotWater: :uwotWater: :uwotWater:

Njoo uongeze na za kwako.
Namlaumu Maxence Melo
 
Hapana buana, acha tuhangaike nayo tu!
Okay basi njoo......
GQxzdnKWwAEDezo.jpg
 
Back
Top Bottom