mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. Gamba la Nyoka

    Ndani ya siku 100 za Uongozi wake, Rais Samia amefanya mambo makubwa

    NDANI YA SIKU 100, RAIS SAMIA AMEFANYA MAMBO MAKUBWA Wanaandika Ndugu Twahir Abasi Kiobya na Denis Shanyangi Kama kuna jambo lolote linalonipa amani na Faraja kwenye nafsi yangu katika siku 100 zilizopita, basi ni kuona kuwa tuna rais wa aina ya Mama Samia Suluhu Hassan. 1. Ndani ya siku 100...
  2. mtimawachi

    Utekelezaji wa mambo haya uliishia wapi?

    Hivi nani aliibua mchakato wa vazi la taifa? Uliishia wapi? AU yule aliyeshauri vitambulisho vya NIDA, vina tija gani kwa sasa? KUNA waziri alisema tiketi zipatikane kwa njia ya mtandao sijui aliishia wapi USAFI kila mwezi je? Mchungaji Mtikila aliwahi sema nchi hii haiwezi kuendelea sababu...
  3. Naantombe Mushi

    Tanzania itabidi tufikirie ku adopt mfumo wa Technocracy ili mambo yaende.

    Huwa napenda kukaa chini na kuangalia namna wenzetu duniani wanafanya nini, ambacho na sisi tunaweza kuiga kwa manufaa ya taifa letu. Kuanzia February mwaka huu, nchi ya Italia imekuwa ikiongozwa na waziri mkuu mpya, anayeitwa Mario Draghi. Kwa kifupi, huyu ni nguli wa uchumi wa bara la ulaya...
  4. M

    Ndugu waziri wa Utalii, boresheni utalii kwa kufanya mambo yafuatayo

    Ndugu Waziri, Takwimu zinaonyesha kuwa katika mambo yanayochangia pato kubwa la nchi yetu ni utalii. Kwa hiyo hii ni sekta inayopaswa kuchukuliwa serious sana na kuwekeza kwa nguvu zote ili pato la nchi liweze kuongezeka. Kwa hiyo ndugu Waziri huu ni muda muafaka wa ubunifu na kuja na vyanzo...
  5. C

    Rais Samia; Urais wa nchi ni mambo makubwa

    Habari wana JF, Binafsi nafurahia uongozi wako Mh Rais Samia, lakini napenda kutoa mtazamo tofauti ili kuboresha kwa kuwa bado una muda. Rais wangu, asikudanganye mtu, Uongozi wa Nchi ni mambo makubwa, ni juu ya hatma ya kesho, sio leo tu, ni juu ya leo na vizazi vijavyo. Nchi hii bado ni...
  6. matunduizi

    Kwanini mambo ya kiibilisi hufanikiwa fasta kuliko ya Mungu?

    Ukitaka utajiri wa kichawi au kifreemasoni ni kugusa tu, cha msingi uwe tayari kutimiza masharti. Ukitaka utajiri wa KiMungu hata ufanyeje lazima usugue benchi vya kutosha. Hata Ibrahim mwenyewe utajiri wake alitoka nao kwao akiwa mpagani. Matajiri wakubwa wa kikristo ni wachungaji ambao hizo...
  7. Siasa Basi

    Askofu Bagonza: Tuliyajua, Hatukuyajua lakini hilo zaidi ya tatizo

    TULIYAJUA, HATUKUYAJUA, HILI NI ZAIDI YA TATIZO. Kesi iko mahakamani, sitaki kusema yaliyomo ya kesi hiyo. Najipa haki ya kusema jambo zima kwa ujumla wake. Siku Rais Samia alipochukua ofisi nilipendekeza Mwongozo wa Kuongoza Kipindi cha Mpito wa awamu mbili, yaani kutoka ya 5 kwenda ya 6...
  8. Mzalendo Uchwara

    Je, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa sio jambo la muungano? Nini kinaendelea Zanzibar?

    Wanasema mzaha mzaha hutumbua usaha, kwa mujibu wa katiba yetu, mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ni jambo la muungano, hii ni pamoja na misaada pamoja na mikopo kutoka nje ya nchi. (Katiba ya JMT ibara ya 4 nyongeza ya kwanza) Lakini tangu awamu ya sita ya rais wetu Samia Suluhu ishike...
  9. Meneja Wa Makampuni

    Ndani ya uzalendo kuna imani kali ya mambo chanya

    Mimi leo nimefikiria nimegundua Ndani ya uzalendo kuna imani kali. Kuwa mzalendo sio rahisi kwasababu uzalendo umebebwa na imani kali ya mambo chanya. Chukulia mfano mzalendo wetu Martin Ruther Jr. Imani aliyokuwa nayo huyu jamaa kwa Marekani sio mchezo.
  10. M

    Kuna mambo ya ajabu sana CHADEMA

    Leo hii mwenyekiti wa maisha wa chama kilichowai kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania ameanza kuzunguka nchi nzima eti kuimiza ujenzi wa ofisi za chama katika wilaya, makata na matawi, wakati ofisi ya makao makuu wanakaa katika kaofisi ka kupanga ka aibu pale Ufipa. Mambo ya ajabu sana. Kwa...
  11. Kilangi masanja

    Msaada wa mtaalam (fundi) alieko Mbeya anayejua mambo ya kuweka custom rom mbalimbali

    Ndugu zangu habari zenu,ninahitaji msaada wa fundi alieko mkoa wa mbeya au kijana yeyote alieko mbeya mwenye uelewa wa kuweka custom rom mbalimbali kwa simu. Ndugu yangu ana simu aina ya redmi note 9pro 5g chinese version sasa now kumekua na ban ya matumiz ya google services kwa chinese...
  12. TheDreamer Thebeliever

    Tuipigie chapuo bangi (marijuana) bunge likubali kuwa zao la biashara

    Habari wadau..! Najua humu ndani kuna greater thinkers wengi ,kama jambo tutalipitisha hapa basi bungeni watalitafakari kwa kina. Nchi nyingi duniani zimehalalisha matumizi ya bange na wanatengeneza pesa ndefu sana . Kwa kwetu pamba,korosho ,kahawa naona zinasuasua kwa nn basi tusipigie...
  13. T

    Muarobaini wa CHADEMA kuibwaga CCM chaguzi zijazo

    Ni ukweli usiopingika kwamba chama pekee chenye walau rasilimali za kutosha kuweza kupambana na CCM kwenye ulingo wa siasa za Tanzania ni Chadema. Hata hivyo kwa mtazamo wangu chama hiki lazima kijiangalie upya namna kinavyoendesha siasa zake. 1. CHADEMA iache kufikiri kwamba itashinda uchaguzi...
  14. Miss Zomboko

    Hekima na Busara katika Maisha

    Never share your personal life with everyone. Never underestimate yourself. You can definitely do if you want to do. Never compare your life or your people with others. The fingers on the same hand are not same.so, we cannot expect anyone be same. Never dig the past because you are not going to...
  15. Geza Ulole

    Hivi mambo ya Ulinzi ya Muungano inakuwaje Rais wa Zanzibar badala ya Makamu wa Rais anawakilisha Jamhuri?

    Naomba kujua Katiba inasema vp hapa? Maana kama Rais wa Jamhuri hawezi kwenda, mbona Makamu wa Rais asimuwakilishe? Je Waziri wa Ulinzi na Waziri wa Mambo ya nje hawawezi kumuwakilisha Rais wa jamhuri wa Muungano kama Rais na Makamu wa Rais hawawezi? Tusikae kimya tukiona katiba inasiginwa kwa...
  16. Red Giant

    Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia na hawataki vijana nao yawatokee?

    Habari wakuu. Kawaida ya binadamu umri ukienda huanza kutathmini maisha yao na kuanza kujutia baadhi ya mambo na kusema ninge. Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia sana na wangependa vijana wawe tofauti? Si wazee tu, hata wewe kama kunajambo unafikiri ulitakiwa kulifanya tofauti...
  17. Chagu wa Malunde

    Waziri wa Mambo ya Ndani ingilia kati juu ya mauaji yanayofanywa na viongozi wa Serikali za Mitaa huko Mwanza

    Waziri Simbachawene hii sasa ni too much. Kila baada ya mwezi huko Mwanza tunasikia watu wamegoma kuzika mwendazake. Habari kubwa ni Kiongozi wa Serikali za mitaa kupiga na kisha kuua wanaotuhumiwa vibaka, ndani ya ofisi za Serikali. Wananchi nao wanakasirika na kuchukua miili za marehemu...
  18. Jaji Mfawidhi

    Mpaka sasa hakuna Mvujo wa Taarifa za Serikali, hakuna anayeweza kunusa kabisa nini kinaweza kutokea

    1. Mpaka saa Hakuna Mvujo wa Taarifa za Serikali. Hakuna anayeweza kunusa kabisa nini kinaweza kutokea. Zimebaki kuwa confidential kwa asilimia . 2. Viongozi waliopo kwenye Utumishi wa Umma wawe makini Sana. Kwa muda mfupi niliomsoma Mama anataka viongozi wenye Discipline ya kutosha. Kwa...
  19. J

    Dr. Bashiru, Polepole, Biswalo na Ole Sabaya sasa tunawazungumza kama historia

    Hii ni kasi ya 5G kwa kweli. Leo ukienda Lumumba mabosi ni Chongolo, Mndeme na Shaka ukiwaulizia akina Bashiru na Polepole unaambiwa hao Boss wao ni Spika Ndugai. Ukienda Hai ndio hivyo tena ukimuulizia DC Ole Sabaya unaambiwa kwa sasa Boss wetu ni DAS. Eid Mubarak!
  20. Ileje

    Mahakama za Tanzania ni kwa vibaka na wezi wa kuku lakini kwa mambo ya msingi ni pazia

    Nenda mahakamani sasa hivi utaona jinsi mahakama zetu zinavyo washughulikia vibaka na wezi wa kuku bila huruma hata kama mtuhumiwa ni dhoofu bin hali kwa njaa na umasikini. Inapokuja suala la kushughulikia mambo ya msingi ya kulinda katiba, sheria za nchi dhidi ya serikali, utawala bora na haki...
Back
Top Bottom