Ombi kwa Wizara ya Mambo ya Ndani

Marathon day

JF-Expert Member
Jan 31, 2020
581
903
Nauliza swali kwa wizara ya mambo ya ndani, ninandugu yangu wakati wa tuhuma y vyeti feki, ilimtokea yeye na aliomba kuacha kazi, na hakuwahi kujibiwa barua ya kuacha kazi, Tangia mwaka 2016.

Hajapata haki zake zozote wakati halifanya kazi kwa muda mrefu, kwakua alilitumikia jeshi la polisi na hajapata barua ya kukubaliwa kuacha kazi, je afanye nini either arudi kazini au alipwe stahiki zake za kuitumikia wizara kama askari mtuifu?

Naomba viongozi wa wizara walifanyie kazi ombi hili na kama kuna namna ya kufanya Ili apate stahiki zake au arudi kazini kama tamko la Muheshimiwa Rais wetu Mama Samia Salum Hasani alivyoagiza.

Nomba wajuzi wa kisheria wanidadavulie hatua za kufata Ili mlinzi wetu aweze kupata ushauri mzuri.na mustakabali wa swala lake, Kama muh Raisi, waziri wa mambo ya ndani na Muh IGP ataipata stori hii atusaidie japo kwa ushauri.

Ahsante, nawasilisha.
 
Mimi sio mwanasheria ila napitiapitia mambo ya kazi kwa ufupi,huyo jamaa ni mtoro kazini,maana ukitokomea siku3bila taarifa kwa mwajiri umejifukuzisha kazi mwenyewe!
 
Mimi sio mwanasheria ila napitiapitia mambo ya kazi kwa ufupi,huyo jamaa ni mtoro kazini,maana ukitokomea siku3bila taarifa kwa mwajiri umejifukuzisha kazi mwenyewe!
Kama nilisikia Muheshimiwa Rais wetu Mama Samia alisema waliotoka kazini kwa vyeti feki warudi kazini au walipwe stahiki zao, kama sijakosea, hasa kwa police
 
Mimi sio mwanasheria ila napitiapitia mambo ya kazi kwa ufupi,huyo jamaa ni mtoro kazini,maana ukitokomea siku3bila taarifa kwa mwajiri umejifukuzisha kazi mwenyewe!
Aliwahi kugombea usiwani kwa chama Fulani cha upinzani wakamwekea pingamizi kuwa yeye ni mtumishi wa serikali kwakua aliomba kuacha kazi na hajapata barua ya kukubaliwa kuondoka kazini, na nikweli hajapata barua hiyo ya kuacha kazi, Hilo pingamizi walilipataje kama siwanajua kuwa bado ni mtumishi wa serikali? Ni mawazo yangu tu
 
Back
Top Bottom