BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 594
- 1,827
Assalamualaikum
Mambo 10 unatakiwa kuwafanyia wazazi wako wakiwa hai.
1-Ikiwa umeshafikia balekhe na una jitegemea kimaisha, ni wajibu wako kuhakikisha wazazi wako hawalali njaa. (BABA na MAMA kula yao ni wajibu wako mtoto): Utawahudumia chakula kama wao walivyokuwa wakikuhudumia wakati wa utoto
2-Kuwavisha, mavazi ya wazazi ni jukumu la mtoto
3-Wakikutuma unatakiwa kutumika, nasio unafanya kwa muda unaoutaka wewe.
4-Wakikuita uwaitike, mzazi anapokuhitaji kufika alipo basi hakikisha unafika kwa wakati unaotakiwa kama hakuna kikwazo chochote.
5-Zungumza nao kwa kauli laini na kauli nzuri, (uisilamu umeharamisha kupaza sauti mbele ya mzazi na wala usifoke mbele ya mzazi wala kumkoromea sauti ya base na yenye kiburi)
6-Usiwaite wazazi wako kwa majina yao: Usimwite Baba yako kwa jina lake (mfn: Mzee Fulani) au Bimkubwa au Bibi fulani au mama fulani): Usiwaite wazazi kwa majina yao wala usiwaite kwa majina ya watoto wao: Mwite mzazi kwa heshima yake kama BABA au MAMA. Bila kujali umri wako.
7-Waombee dua wazazi wako kila unaposhiriki ibada au maombi: MUNGU awahurumie kama walivyo kuhurumia wewe wakati wa utoto wako.
8-Usiwatangulie mbele wakati wa kutembea, hadi pale mzazi atapokutaka wewe utangulie mbele
9-Wapatie wazazi wako yale unayo yapenda katika nafsi yako: Na usiwape vile ambavyo umevichoka na usivyo vipenda
10-Jitahidi kuwafanyia wema wazazi wako hata kama walikuacha wakati wa utoto wako.
Mambo 10 unatakiwa kuwafanyia wazazi wako wakiwa hai.
1-Ikiwa umeshafikia balekhe na una jitegemea kimaisha, ni wajibu wako kuhakikisha wazazi wako hawalali njaa. (BABA na MAMA kula yao ni wajibu wako mtoto): Utawahudumia chakula kama wao walivyokuwa wakikuhudumia wakati wa utoto
2-Kuwavisha, mavazi ya wazazi ni jukumu la mtoto
3-Wakikutuma unatakiwa kutumika, nasio unafanya kwa muda unaoutaka wewe.
4-Wakikuita uwaitike, mzazi anapokuhitaji kufika alipo basi hakikisha unafika kwa wakati unaotakiwa kama hakuna kikwazo chochote.
5-Zungumza nao kwa kauli laini na kauli nzuri, (uisilamu umeharamisha kupaza sauti mbele ya mzazi na wala usifoke mbele ya mzazi wala kumkoromea sauti ya base na yenye kiburi)
6-Usiwaite wazazi wako kwa majina yao: Usimwite Baba yako kwa jina lake (mfn: Mzee Fulani) au Bimkubwa au Bibi fulani au mama fulani): Usiwaite wazazi kwa majina yao wala usiwaite kwa majina ya watoto wao: Mwite mzazi kwa heshima yake kama BABA au MAMA. Bila kujali umri wako.
7-Waombee dua wazazi wako kila unaposhiriki ibada au maombi: MUNGU awahurumie kama walivyo kuhurumia wewe wakati wa utoto wako.
8-Usiwatangulie mbele wakati wa kutembea, hadi pale mzazi atapokutaka wewe utangulie mbele
9-Wapatie wazazi wako yale unayo yapenda katika nafsi yako: Na usiwape vile ambavyo umevichoka na usivyo vipenda
10-Jitahidi kuwafanyia wema wazazi wako hata kama walikuacha wakati wa utoto wako.