makini

Jully Makini (also known as Jully Sipolo) (born c. 1953 (age 64 in 2017)) is a Solomon Islander poet, writer and women's rights activist. The author of poems such as Civilized Girl (1981) and Praying Parents (1986), in June 2017 she received the International Women of Courage Award from the US Secretary of State for her work in promoting women's rights in the Solomon Islands.

View More On Wikipedia.org
  1. fantastic philip

    Wasafiri tuwe makini na wanatudhulumu uhai wetu

    SOMO KWA WASAFIRI (PART 1) 1/Ili ni somo kwa ajili ya kusaidia mamlaka husika au wadau mbalimbali kutambua haki zao. 2/Leo tutaanza na somo la kampuni husika za mabasi kwenda na muda, hapa lazima tuweke sawa kuna tofauti kubwa kati ya kwenda na muda na kwenda mwendo kasi. 3/Kuna wimbi kubwa...
  2. GENTAMYCINE

    Je, niliyestushwa na hii kauli 'tata' ya Naibu Katibu Mkuu CCM Mpogole ni peke yangu tu au tupo wengi? Mama kuwa makini sana!

    " Uchaguzi Mkuu halali Kikatiba CCM tutaufanya mwakani 2022 ila huu wa leo ni wa Kuziba tu nafasi na hata Rais Mama Samia akishika hatamu atakuwa ni Mfariji Mkuu kwa Viongozi wa CCM pamoja na Wanachama wote ndani na nje ya nchi " Ukitulia kabisa, Kuichambua na hata Kuidadavua vyema hii Kauli ya...
  3. J

    Ukiondoa tabia ya kuwarubuni wabunge wa CHADEMA wahamie CCM, Dkt. Bashiru ni kiongozi makini na mjamaa

    Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze. Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana. Tatizo...
  4. K

    Kuna kikundi kimeanzisha uhasama wa Utanganyika na Uzanzibari, tuwe makini

    Kuna kikundi ambacho eti ghafla sasa wanajadili mambo ya Zanzibar na Tanganyika na walikuwa hawasemi lolote wakati wa Magufuli awamu ya tano. Hizi ni mbinu wanatumia ili Watanzania wamuone Mama kama vile sio mwenzao na kuwafanya Wanzanzibari waonekane kama watu wengine. Hizi ni mbinu za...
  5. Nyankurungu2020

    Jinsi michango ya Wabunge inavyotolewa Bungeni ni dhahiri kuwa hatuna Wabunge, Taifa letu halina watu makini

    Taifa ambalo lina watu makini waliopewa dhamana ya kuwakilisha wenzao kwenye chombo muhimu kama bunge wanachangia michango ya ajabu kana kwamba hawana akili za kuzaliwa. Mbunge bila ya aibu anasimama bungeni na kudai kudai kuwa mashehe wa uamsho wamekaa muda mrefu mahabusu hivyo waachiwe kama...
  6. Makirita Amani

    Kuwa makini na unachotamani, ukikipata unaweza usikihimili

    Dorian Gray, kijana mtanashati na mwenye mwonekano mzuri anachorwa picha yake na mchoraji Basil Hallward. Mchoraji huyo ana rafiki yake anayeitwa Lord Henry Wotton, ambaye anavutiwa sana na Dorian pamoja na picha yake. Lord Henry anamweleza Dorian jinsi ujana ulivyo kitu kizuri na muhimu, ila...
  7. Bonde la Baraka

    Usipokuwa makini utafurahia kupata mchumba au mke kumbe ni kahaba

    Ukahaba haujaanza leo duniani ila miaka hii umekuwa kwa kasi sana. Tanzania na Afrika ukahaba kwenye majiji na manispaa wanawake wengi ni makahaba. Nimeishi uswahili Keko, Temeke na maeneo kadhaa Dar es salaam nimegundua kuwa wanawake na mabinti wengi ni makahaba. Karibu nusu ya mabinti...
Back
Top Bottom