Si vyema kuishi bila rafiki lakini je, unamuamini rafiki yako kiasi gani na mangapi kukuhusu wewe anayafahamu.
Kuna baadhi ya marafiki zetu, tunaowaona kuwa watu wa karibu wamekuwa na tabia za panya, yaan wanang'ata huku wanapuliza.
Unaweza kupata shida fulani katika maisha mfano ya kifedha na unapomwambia anakuwa sio msiri na kuanza kutangaza kwa wengine.
Haitoshi wapo baadhi yao ambao tuna waamini sana inafikia hatua tunawatambulisha kwa wapenzi wetu, lakini kwa tamaa zao wanaanza kuwalisha maneno ya ajabu kusudi tu watu waachane na watimize haja zao.
Lazima tuwe na mipaka katika mahusiano na marafiki zetu ili kuepukana na madhara yake.
Kwani hili mwisho wake huwa ni ugomvi na hata kugharimu maisha ya mtu pamoja. Kuaminiana ni jambo jema lakini liwe na hatua.
Kuna baadhi ya marafiki zetu, tunaowaona kuwa watu wa karibu wamekuwa na tabia za panya, yaan wanang'ata huku wanapuliza.
Unaweza kupata shida fulani katika maisha mfano ya kifedha na unapomwambia anakuwa sio msiri na kuanza kutangaza kwa wengine.
Haitoshi wapo baadhi yao ambao tuna waamini sana inafikia hatua tunawatambulisha kwa wapenzi wetu, lakini kwa tamaa zao wanaanza kuwalisha maneno ya ajabu kusudi tu watu waachane na watimize haja zao.
Lazima tuwe na mipaka katika mahusiano na marafiki zetu ili kuepukana na madhara yake.
Kwani hili mwisho wake huwa ni ugomvi na hata kugharimu maisha ya mtu pamoja. Kuaminiana ni jambo jema lakini liwe na hatua.