Utabiri wangu: Rais Samia awe makini na sakata la Mbowe, litamaliza kabisa kibali kidogo alichobakiwa nacho kwa Watanzania

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
 
Mkuu nimeoenda Paragraph ya Mwisho!

Kama ni ya Kubambikiza lawama atazibeba

Natamani Uongee kidogo kama Ni ya Kweli Itakuwaje kwa wanaimtetea?

Mimi hapa Nacheka tuu natamani Kujua ukweli ndio maana sitaki kutetea Au Kuulaumu Upande wowote ili nisije kuumbuka Mbeleni!
 
Mkuu nimeoenda Paragraph ya Mwisho!
Kama ni ya Kubambikiza lawama atazibeba
Natamani Uongee kidogo kama Ni ya Kweli Itakuwaje kwa wanaimtetea?
Mimi hapa Nacheka tuu natamani Kujua ukweli ndio maana sitaki kutetea Au Kuulaumu Upande wowote ili nisije kuumbuka Mbeleni!
Ndio maana nikasema hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Nchi hakika ina watu fulani wachache wanaishi kwenye fikra za tofauti sana. Huyu anaamini kwamba mbowe anaweza geuza mstakabali kisiasa wa samia wakati mbowe hana uungwaji mkono na watanzania isipokua wachache wenye kasumba ya ubwanyenye na ukabila.
 
Namuomba mama asiyumbishwe na hizi habar za kwenye kanga na vijiwe vya kahawa. Safari hii Sabaya na Mbowe kila mtu anavuna alichopanda. Acha sheria ichukue mkondo wake ili ukweli wa madai yao ujulikane. Kuhusisha watanzania wote kwenye swala linalohusu uhalifu wa kiongozi au viongozi wa chama fulan ni ujinga uliopitiliza. Laiti kama watanzania wangehusika na hili swala basi ingebidi serikali ikodishe polisi wengine zaidi kutoka nje maana wa hapa wasingetosha. Lkn kwa vile kesi inasomwa na watanzania wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia riziki zao za kila siku kana kwamba hakuna kilichotokea, basi mleta mada hakutakiwa kulihusisha swala hili na watanzania maana anajivua nguo mchana kweupe.
 
Namuomba mama asiyumbishwe na hizi habar za kwenye kanga na vijiwe vya kahawa. Safari hii Sabaya na Mbowe kila mtu anavuna alichopanda. Acha sheria ichukue mkondo wake ili ukweli wa madai yao ujulikane. Kuhusisha watanzania wote kwenye swala linalohusu uhalifu wa kiongozi au viongozi wa chama fulan ni ujinga uliopitiliza. Laiti kama watanzania wangehusika na hili swala basi ingebidi serikali ikodishe polisi wengine zaidi kutoka nje maana wa hapa wasingetosha. Lkn kwa vile kesi inasomwa na watanzania wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia riziki zao za kila siku kana kwamba hakuna kilichotokea, basi mleta mada hakutakiwa kulihusisha swala hili na watanzania maana anajivua nguo mchana kweupe.
Pole,
Watafiti wa nje wameshauri mkiweza make mezani.
Watafiti nje ya nchi yetu wanatekinolojia kubwa kujua Ugaidi duniani.hivyo nilitegemea wangesema wanaongeza nguvu ya intelijensia toka nje.
Mmarekani asikie gaidi halafu awashauri myamalize mezani badala ya kuahidi kuleta msaada wa vifaru.Somo kwako
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Mama hata juzi alidhani Ndege tutaifurahia. 😅😅
 
Namuomba mama asiyumbishwe na hizi habar za kwenye kanga na vijiwe vya kahawa. Safari hii Sabaya na Mbowe kila mtu anavuna alichopanda. Acha sheria ichukue mkondo wake ili ukweli wa madai yao ujulikane. Kuhusisha watanzania wote kwenye swala linalohusu uhalifu wa kiongozi au viongozi wa chama fulan ni ujinga uliopitiliza. Laiti kama watanzania wangehusika na hili swala basi ingebidi serikali ikodishe polisi wengine zaidi kutoka nje maana wa hapa wasingetosha. Lkn kwa vile kesi inasomwa na watanzania wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia riziki zao za kila siku kana kwamba hakuna kilichotokea, basi mleta mada hakutakiwa kulihusisha swala hili na watanzania maana anajivua nguo mchana kweupe.
Fungu la kukosa una hasira mno.
 
Chama kama chama kimekwisha. Hakina kibali kwa Mungu wala watanzania. Imebaki polisi tu. Nikikuuliza jina la katibu mkuu wa CCM ni nani unajua? Unaweza kunitajia majina yake hata mawili kwa ufasaha? Naibu katibu Mkuu wa CCM unamjua? Basi ni kwamba mambo yao imeisha
 
Ahahahaaa 😁 eti anaupiga mwingi haya mambo ni kuwa na subira jamani, msianze kumtafuta kwa njia mbaya bado hata mwaka hajamaliza.

Jamaa zenu wametoka uwanjani mapema kuogopa kuzomewa, mpira ndiyo hata half time bado
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Usimuamshe aliyelala huku anadanganywa na mkwe wake
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Naendelea Kusisitiza kuwa CHADEMA wabadili 'Stragegies' vinginevyo Siku si nyingi watabadilika na kuwa ' labelled Political Terrorist Party' ndani ya Ardhi ya Tanzania.

Acha Kuwadanganya Watu hapa na Kumtisha Rais Samia Suluhu Hassan juu ya Kukamatwa kwa Mbowe na huenda usichokijua tu ni kwamba kwa Upuuzi mnaoufanya hata hao Marafiki ( Maswahiba ) wenu kutoka Ulaya na Mmarekani nao sasa 'Wamewachoka' ndiyo maana hawawasaidii wala kuwasikilizeni tena.

Labda nikuibie Siri tu kwa faida yako na ya 'Hopeless' wengine ni kwamba Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli CHADEMA mlisikika na hata kupata Msaada na Mataifa makubwa kwakuwa nao pia 'Interests' zao nyingi za Kiuchumi ndani ya Tanzania zilikuwa zimebanwa.

Ujio wa Mama ( Rais ) Samia na hasa hasa Kufungua Anga jipya la Kidiplomasia na Mataifa hayo makubwa, kuruhusu baadhi ya 'interests' zao Kuendelea kumegeuza ghafla fikra zao juu ya Serikali ya Tanzania na sasa wametokea Kumkubali vilivyo ( Rais Samia ) hivyo hawawezi Kukubali Kuwaunga mkono Wapinzani wa Tanzania ili nchi 'ichafuke' kisha 'Economic Interests' zao hapa Tanzania ziyeyuke.

Labda mumtafute Mzee Mpili awaokoe.
 
Mama wa KUDEMKA wamemchuuza sasa ATAPATA TABU SANA. Na hii idea ya KUSUSIA ili kuiumiza hazina basi KWISHNEY.
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
 
Back
Top Bottom