TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,975
- 15,315
Juzi kati kuna mfanyakazi mwenzangu mdada aliniletea "external" yake baada ya mimi kua nimemuomba movies na yeye kudai ana ma series ya kufa mtu. Huyu binti ni mtu na heshima zake, hatuna urafiki kivile zaidi ya kuonana tu kazini mara kwa mara.
Sasa baada ya ku connect ile external nikamuuliza movie ziko wapi akaniambia "we pekua pekua umo kwenye ma folda" yeye akasepa. Basi na mimi nikaanza kupekua pekua nikapata nyingi tu. Katika ile pekua pekua kuna folda moja likanivutia limeandikwa "pix", nikaona acha wakati nasubiria imalize ku copy, niwe naperuzi humu. Hilo folda inaonekana alilikopi kama lilivyo kutoka kwenye simu.
Kisa cha kutoa ushauri huu ni aina ya picha nilizozikuta ndani ya hilo folda! Ofkoz kulikua na picha nyingi za kawaida, ila kuna picha chache ambazo zilinipa mawazo sana. Nyingi kati ya picha hizo ni picha alizojipiga yeye mwenyewe ama akiwa mbele ya kioo, au akiwa kitandani nadhani chumbani kwake. Aisee kuna picha yupo kama alivyozaliwa, nyingine kapiga kwa nyuma kajibinua, nyingine kaji selfie, nyingi kavaa nguo za ndani tu au night dress nyepesiii.
Kwakweli mi niliogopa sana! Nikiangalia picha zake nyingine, anaoneka ni binti mwenye familia nzuri tu kuna picha yupo na wazazi wake wanaonekana watu wastaarabu sana. Nikasema hivi huyu hizi picha anajua zipo humu? Hii external anawaazima watu wangapi? Je, siku mtu asie mstaarabu kama mimi akiziona itakuaje? Basi nikaamua kuzi cut na ku paste kwenye external yangu ambayo ni salama zaidi.
Niwashauri tu wadada muwe makini sana na hizi simu ni hatari sana hasa kama hujui jinsi ya ku protetc vitu kama picha nk. Hii ni mara karibu ya 3 nakuta picha za ajabu ajabu kwenye simu za wadada
Asanteni.
Sasa baada ya ku connect ile external nikamuuliza movie ziko wapi akaniambia "we pekua pekua umo kwenye ma folda" yeye akasepa. Basi na mimi nikaanza kupekua pekua nikapata nyingi tu. Katika ile pekua pekua kuna folda moja likanivutia limeandikwa "pix", nikaona acha wakati nasubiria imalize ku copy, niwe naperuzi humu. Hilo folda inaonekana alilikopi kama lilivyo kutoka kwenye simu.
Kisa cha kutoa ushauri huu ni aina ya picha nilizozikuta ndani ya hilo folda! Ofkoz kulikua na picha nyingi za kawaida, ila kuna picha chache ambazo zilinipa mawazo sana. Nyingi kati ya picha hizo ni picha alizojipiga yeye mwenyewe ama akiwa mbele ya kioo, au akiwa kitandani nadhani chumbani kwake. Aisee kuna picha yupo kama alivyozaliwa, nyingine kapiga kwa nyuma kajibinua, nyingine kaji selfie, nyingi kavaa nguo za ndani tu au night dress nyepesiii.
Kwakweli mi niliogopa sana! Nikiangalia picha zake nyingine, anaoneka ni binti mwenye familia nzuri tu kuna picha yupo na wazazi wake wanaonekana watu wastaarabu sana. Nikasema hivi huyu hizi picha anajua zipo humu? Hii external anawaazima watu wangapi? Je, siku mtu asie mstaarabu kama mimi akiziona itakuaje? Basi nikaamua kuzi cut na ku paste kwenye external yangu ambayo ni salama zaidi.
Niwashauri tu wadada muwe makini sana na hizi simu ni hatari sana hasa kama hujui jinsi ya ku protetc vitu kama picha nk. Hii ni mara karibu ya 3 nakuta picha za ajabu ajabu kwenye simu za wadada
Asanteni.