Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Mlisema Mwendazake aliwanyima raha, sasahivi mnaishi kwa Raha mtaani,amkamatwi tena, dhalimu kafa Sasa Mambo safi, mpaka ela mtaani bwelele 😄😀😀😁 Chadema siwaonei huruma hata kidogo, mlitukana sana Magufuri, Mungu kawalipa kwa matusi yenu.
Wewe mwenyewe hujionei huruma? Kilangila.Mlisema Mwendaza
Mlisema Mwendazake aliwanyima raha, sasahivi mnaishi kwa Raha mtaani,amkamatwi tena, dhalimu kafa Sasa Mambo safi, mpaka ela mtaani bwelele 😄😀😀😁 Chadema siwaonei huruma hata kidogo, mlitukana sana Magufuri, Mungu kawalipa kwa matusi yenu.
Huwezi kuwaonea huruma chadema kwasabb hata wewe huna raha.Mlisema Mwendaza
Mlisema Mwendazake aliwanyima raha, sasahivi mnaishi kwa Raha mtaani,amkamatwi tena, dhalimu kafa Sasa Mambo safi, mpaka ela mtaani bwelele 😄😀😀😁 Chadema siwaonei huruma hata kidogo, mlitukana sana Magufuri, Mungu kawalipa kwa matusi yenu.
Kamanda Siro na jeshi lake ndiyo wanafanya kazi ya itikadi na uenezi wa CCM.
Shaka A. Shaka anafanya kazi ya kuwabagaza na kuwajibu wale wote wanaotofautiana kimtazamo na Maushungi.
Kwani humjuiMaushungi ni nani ?
CCM kama chama cha siasa ilishajifia siku nyingi sasa hivi CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaKamanda Siro na jeshi lake ndiyo wanafanya kazi ya itikadi na uenezi wa CCM.
Shaka A. Shaka anafanya kazi ya kuwabagaza na kuwajibu wale wote wanaotofautiana kimtazamo na Maushungi.
.Maushungi ni nani ?
hata ungekuwa wewe, Ni ujinga kuacha kutumia Dola. Siasa Ni kwa ajili ya kuwadhoofisha wapinzan wako. Hii ndo maana nzima ya siasaCCM kama chama cha siasa ilishajifia siku nyingi sasa hivi CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
Ha Ha Ha. Mkuu angalia utaitwa gaidi sasa hivi. Ha ha ha haa
hata ungekuwa wewe, Ni ujinga kuacha kutumia Dola. Siasa Ni kwa ajili ya kuwadhoofisha wapinzan wako. Hii ndo maana nzima ya siasa