Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 794
- 1,030
Maisha ya ndoa ni mazuri Sana Kama mtaelewana,japo mapungufu yatakuwepo lakini ni kawaida. Yanafanana na pedeli ya baskeli.Siku mke akiwa juu,mume kubali kuwa chini na mume akiwa juu mke kubali kuwa chini.(ndivyo baskeli inavyoenda).
Kiburi,ujeuri,kisirani,dharau,ubabe haujengi ndoa Bali hubomoa. Tena Kuna wale wanaoshauriana na wake zao,akimaliza hapo anaenda kwa marafiki zake a.k.a washauri zake kuomba ushauri.Sasa uliomba ushauri kwa mkeo ili iweje!!!Sasa Bora washauri wakushauri vizuri,lakini hakuna.Ndoa nyingi zimekufa kwa sababu hii.
Maisha yanahitaji HESHIMA,UVUMILIVU,UPENDO,MTHAMINI MWENZA WAKO,MJALI,USIMFICHE.
KITU,MSHIRIKISHE,MUAMINI.
Nawatakia Ramadhan njema!!!!
Kiburi,ujeuri,kisirani,dharau,ubabe haujengi ndoa Bali hubomoa. Tena Kuna wale wanaoshauriana na wake zao,akimaliza hapo anaenda kwa marafiki zake a.k.a washauri zake kuomba ushauri.Sasa uliomba ushauri kwa mkeo ili iweje!!!Sasa Bora washauri wakushauri vizuri,lakini hakuna.Ndoa nyingi zimekufa kwa sababu hii.
Maisha yanahitaji HESHIMA,UVUMILIVU,UPENDO,MTHAMINI MWENZA WAKO,MJALI,USIMFICHE.
KITU,MSHIRIKISHE,MUAMINI.
Nawatakia Ramadhan njema!!!!