Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Biashara za Wananchi zimekufa, Wafanyabiashara wengi wamekata tamaa. Mzunguko wa pesa umedumaa, masoko yamesimama.
Watumishi wa Umma hawana uhakika juu ya nyongeza ya mishahara, miaka mitano wamepigwa kimya.
Wakulima wanalima, wakivuna soko la ndani halina bei, wanaambulia kupata chakula cha kushibisha matumbo yao.
Wanasiasa hawana usemi,atakalo sema mkuu ndio hilo litekelezwe hata kama halina tija. Wakitoa ushauri mzuri wanatumbuliwa.
Watumishi wa Umma hawana uhakika juu ya nyongeza ya mishahara, miaka mitano wamepigwa kimya.
Wakulima wanalima, wakivuna soko la ndani halina bei, wanaambulia kupata chakula cha kushibisha matumbo yao.
Wanasiasa hawana usemi,atakalo sema mkuu ndio hilo litekelezwe hata kama halina tija. Wakitoa ushauri mzuri wanatumbuliwa.