Uliwezaje kufanikiwa maisha haya?

Danp36

JF-Expert Member
Jul 31, 2010
2,097
920
Habari zenu wanajamvi, wakubwa zangu shikamoni!

Katika maisha haya yanayoenda kasi tofauti na karne ya 19 na 20, suala la kutoboa linahitaji kuwa na akili ya kujiongeza sana na mengine mengi.

Katika kufanikiwa kimaisha kuna mambo mengi sana unayafanya, lakini kuna moja tu utalifanya, basi ndio Mungu kaweka baraka hapo / upenyo hapo ndio umetoka mazima.

Iwe kwenye biashara, iwe kupata kazivya ndoto yako, iwe kumpata mweza wa maisha ,iwe kujenga nyumba yandoto yako . Kipi ulipitia mpaka ukatoboa mazima?

Mfano mfanyabiashara mmoja anawezafanya biashara miaka nenda rudi, lakini siku ghafla anakutana na mbia au tenda kubwa ,hio ndio upenyo katoboa.

Mwingine kafanyakazi ilimradi tu mkono uende kinywani, lakini siku kama masihara anaomba kazi sehemu kubwa bila kutarajia, ghafla anapata, inabadilisha maisha yake.

Karibu tujifunze uzoefu wako.

Mshana Jr Kiduku Lilo Malila na wengine
 
Sasa mbona humu JF hakuna yeyote aliyetoboa!! Huyo Mshana Jr ,mwenyewe kila siku tunashinda nae Kwe Msisi kutafuta mazindiko ya uganga! Huyo Kiduku Lilo ndiyo kabisaa anaishi tu kwenye ndoto! Siku ukimuona kwa macho hutaamini!

Kuna watu wanaitwa MATAGA humu wakiongozwa na Kiongozi wao Mzee Mgaya! Hao siku ukiwaona, utakimbia kabisa kwa namna walivyo choka!! Kiufupi, endelea tu kupambana ipo siku utatoboa. Endelea pia kumuomba Mwenyezi Mungu akuepushe na huu ugonjwa wa kupumua na changamoto nyingine za kimaisha ili siku moja malengo yako yaweze kutimia. Inshallah!!!
 
Mafanikio ni relative term, kila mtu anapima mafanikio kwa levo yake! Mafanikio ya msanii kutoa single mpaka album na kupata shows au interviews.Mafaikio ya msela kumiliki geto,sofa ya watu wawili na "SABUFA".
 
Mafanikio ni relative term.....kila mtu anapima mafanikio kwa levo yake!! Mafanikio ya msanii kutoa single mpaka album na kupata shows au interviews....Mfanikio ya msela kumiliki geto,sofa ya watu wawili na "SABUFA".
Kweli neno mafanikio ni pana na kila mtu ana lidefine kutoka na maono yake. Kuna mtu akimiliki geto kafanikiwa na kuna mtu akimiliki mils 200 kwenye saving account bado anaona ndo kaanza safari
 
Kweli neno mafanikio ni pana na kila ktu ana lidefine kutoka na maono yake. Kuna mtu akimiliki geto kafanikiwa na kuna mtu akimiliki mils 200 kwenye saving account bado anaona ndo kaanza safari

Kabisa ndio maana hakuna Benchmark ya kusema haya ndio mafanikio....kila mtu ataona kwa levo/mtazamo yake/wake, ni sawa na kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Kabisa ndio maana hakuna Benchmark ya kusema haya ndio mafanikio....kila mtu ataona kwa levo/mtazamo yake/wake, ni sawa na kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake.
Kabisa mkuu, kuna wengine wana define mafanikio kutokana na kwa kiasi gani wamesaidia jamii. Niliwahi soma kuhusu mzungu flani alikuwa na ela ila yeye na mke wake wakauza mali zao mpaka nyumba wakaanza kutoa misaada wwkaunda taasisi ya kutoa misaada mpaka leo hawamiliki properties hata moja.
 
Kabisa mkuu, kuna wengine wana define mafanikio kutokana na kwa kiasi gani wamesaidia jamii. Niliwahi soma kuhusu mzungu flani alikuwa na ela ila yeye na mke wake wakauza mali zao mpaka nyumba wakaanza kutoa misaada wwkaunda taasisi ya kutoa misaada mpaka leo hawamiliki properties hata moja.
Wanaishi wapi?
 
Kabisa ndio maana hakuna Benchmark ya kusema haya ndio mafanikio....kila mtu ataona kwa levo/mtazamo yake/wake, ni sawa na kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake.
Kabisa mkuu, kuna wengine wana define mafanikio kutokana na kwa kiasi gani wamesaidia jamii. Niliwahi soma kuhusu mzungu flani alikuwa na ela ila yeye na mke wake wakauza mali zao mpaka nyumba wakaanza kutoa misaada wwkaunda taasisi ya kutoa misaada mpaka leo hawamiliki properties hata moja.
Wanaishi wapi?
Wana rent nyumba ndogo tu
 
Habari zenu wanajamvi, wakubwa zangu shikamoni!

Katika maisha haya yanayoenda kasi tofauti na karne ya 19 na 20, suala la kutoboa linahitaji kuwa na akili ya kujiongeza sana na mengine mengi.

Katika kufanikiwa kimaisha kuna mambo mengi sana unayafanya, lakini kuna moja tu utalifanya, basi ndio Mungu kaweka baraka hapo / upenyo hapo ndio umetoka mazima.

Iwe kwenye biashara, iwe kupata kazivya ndoto yako, iwe kumpata mweza wa maisha ,iwe kujenga nyumba yandoto yako . Kipi ulipitia mpaka ukatoboa mazima?

Mfano mfanyabiashara mmoja anawezafanya biashara miaka nenda rudi, lakini siku ghafla anakutana na mbia au tenda kubwa ,hio ndio upenyo katoboa.

Mwingine kafanyakazi ilimradi tu mkono uende kinywani, lakini siku kama masihara anaomba kazi sehemu kubwa bila kutarajia, ghafla anapata, inabadilisha maisha yake.

Karibu tujifunze uzoefu wako.

Mshana Jr Kiduku Lilo Malila na wengine
Mafanikio yana mchakato mrefu nyuma yake na yanatofautiana kaliba..je unataka kufanikiwa kwenye nini?
Umaarufu?
Usanii na usanifu?
Biashara?
Kilimo?
Ufundi mbalimbali ? Nknk
Mafanikio huja kwa namna yake na kwa wakati wake ..hayachelewi wala hayawahi..kikubwa ni kuzisikiliza ndoto zako
 
Sasa mbona humu JF hakuna yeyote aliyetoboa!! Huyo Mshana Jr ,mwenyewe kila siku tunashinda nae Kwe Msisi kutafuta mazindiko ya uganga! Huyo Kiduku Lilo ndiyo kabisaa anaishi tu kwenye ndoto! Siku ukimuona kwa macho hutaamini!

Kuna watu wanaitwa MATAGA humu wakiongozwa na Kiongozi wao Mzee Mgaya! Hao siku ukiwaona, utakimbia kabisa kwa namna walivyo choka!! Kiufupi, endelea tu kupambana ipo siku utatoboa. Endelea pia kumuomba Mwenyezi Mungu akuepushe na huu ugonjwa wa kupumua na changamoto nyingine za kimaisha ili siku moja malengo yako yaweze kutimia. Inshallah!!!
Sasa mbona humu JF hakuna yeyote aliyetoboa!! Huyo Mshana Jr ,mwenyewe kila siku tunashinda nae Kwe Msisi kutafuta mazindiko ya uganga! Huyo Kiduku Lilo ndiyo kabisaa anaishi tu kwenye ndoto! Siku ukimuona kwa macho hutaamini!
 
Habari zenu wanajamvi, wakubwa zangu shikamoni!

Katika maisha haya yanayoenda kasi tofauti na karne ya 19 na 20, suala la kutoboa linahitaji kuwa na akili ya kujiongeza sana na mengine mengi.

Katika kufanikiwa kimaisha kuna mambo mengi sana unayafanya, lakini kuna moja tu utalifanya, basi ndio Mungu kaweka baraka hapo / upenyo hapo ndio umetoka mazima.

Iwe kwenye biashara, iwe kupata kazivya ndoto yako, iwe kumpata mweza wa maisha ,iwe kujenga nyumba yandoto yako . Kipi ulipitia mpaka ukatoboa mazima?

Mfano mfanyabiashara mmoja anawezafanya biashara miaka nenda rudi, lakini siku ghafla anakutana na mbia au tenda kubwa ,hio ndio upenyo katoboa.

Mwingine kafanyakazi ilimradi tu mkono uende kinywani, lakini siku kama masihara anaomba kazi sehemu kubwa bila kutarajia, ghafla anapata, inabadilisha maisha yake.

Karibu tujifunze uzoefu wako.

Mshana Jr Kiduku Lilo Malila na wengine

Macho ya rohoni huona zaidi ya kuona | Sauti ya rohoni husikika zaidi ya kipaza sauti
 
Back
Top Bottom