Ofisi za ngazi ya kata, Tarafa na, wilaya tabu sana

mwanzo wetu

JF-Expert Member
May 4, 2014
1,581
461
Habari za wakati wakuu.

Mimi nimejifunza jambo, Nimetembelea karbuni ofis nyingi apa nchini kuanza na ofis za Chini yaan kata,Tarafa, Wilaya, Mkoa mpaka zile za ngazi ya juu, nilichojifunza watu wanaoishi ktk ofis za Kuanzia kata, Tarafa, Wilaya Hawa watu hawpo charming kwa mteja wao ni watu wanaoongozana Kama wao ndio nchi, ubabe mwingi na dharalau nyingi Sana,

Kimsingi nikaona Kuna tofauti kubwa na ofis za ngazi ya juu za Kuanzia mkoa, kanda nakuendelea ktk ngaz hii watu wanajali na wanasikiliza bila shida na munacheka pamoja na unarud ukiwa unafuraha ya kutoka ofisin Sasa sijajua hizi ofis za chin hazina wasomi wazuri au ni kwa kuwa wanaishi na wajinga wengi?
 
Fatilia mkuu karibun viongoz wa ngazi hizi karbu nchi nzima wanataka kufanana akili.
Ulikuwa unatafuta nini kilichokusababisha ukatembelea ofisi za kata zaidi ya 3,000?

Ulikuwa unatafuta nini kutembelea Ofisi za Tarafa zaidi ya 570???

Ulikuwa unatafuta nini kutembelea ofisi za Wilaya zaidi ya 170 nchini?

Limtu linakosa cha kuandika linakurupuka kama limebanwa haja ya kuharisha damu.

Fanya kazi, acha majungu maana majungu si mtaji
 
Ulikuwa unatafuta nini kilichokusababisha ukatembelea ofisi za kata zaidi ya 3,000?

Ulikuwa unatafuta nini kutembelea Ofisi za Tarafa zaidi ya 570??
Wewe ni mtendaji wa Kata na nyie ndio nimeona munausumbufu mkubwa sana ,Busara na hekima vitawasaidia ktk uongoz deploma zenu zisiwe fimbo kwa wajinga walioko chini.
 
Back
Top Bottom