Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Wanandugu ninataka wa kuanzisha maisha nikiwa na familia yangu nikiwa na mke wangu na pamoja na mtoto wangu
Hivyo ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar kuanzisha maisha ambapo ninaweza kupanga vyumba viwili at affordable price na eneo nitakaloishi lisiwe la gharama hivyo naomba kufahamu ni wapi nitaanzia maana mwanamke wangu saivi ana ujauzito hivyo nataka kumtoa kwao nianze kuishi nae
Hivyo ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar kuanzisha maisha ambapo ninaweza kupanga vyumba viwili at affordable price na eneo nitakaloishi lisiwe la gharama hivyo naomba kufahamu ni wapi nitaanzia maana mwanamke wangu saivi ana ujauzito hivyo nataka kumtoa kwao nianze kuishi nae