Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 729
Katika pita pita zangu katika mitandao mbali mbali ya duniani kama vile tagged, tinder. badoo hatimae leo nimepata demu mzungu ambaye kwao ni CANADA.
Alianza yeye kuchati na mm baada tu ya kumjibu ndio nikaanza kupokea mualiko kwamba eti huyu demu anataka mm niende kwao nikaishi nayeye je hili ni zari la mentali au ndio wazingiaji tu mitandaoni?
Mtoo anasema kwao ni matajiri wao wanamiiliki factory hivyo niende nitakuwa nafanya kazi huko kwenye factory yao.
Alivyoniahidi eti anasema atanilipia na kunisaidia kupata viza na kunitumia tiketi ya ndege ya kwenda CANADA mm nitafute passport tu.
Ndio nikaona nije kwenu wataalamu na wajuvi katika kijiwe chetu hiki cha jamii forum.je nianze mchakato wa kutafuta passport au ndio naenda kutolewa maini na viungo vya ndani kuliwa nyama?
Karibuni kwa maoni naruhusu pia ukiwa na ushauri ambao ni confidential nitumie inbobo.
Asanteni sana michango na maoni yenu
Alianza yeye kuchati na mm baada tu ya kumjibu ndio nikaanza kupokea mualiko kwamba eti huyu demu anataka mm niende kwao nikaishi nayeye je hili ni zari la mentali au ndio wazingiaji tu mitandaoni?
Mtoo anasema kwao ni matajiri wao wanamiiliki factory hivyo niende nitakuwa nafanya kazi huko kwenye factory yao.
Alivyoniahidi eti anasema atanilipia na kunisaidia kupata viza na kunitumia tiketi ya ndege ya kwenda CANADA mm nitafute passport tu.
Ndio nikaona nije kwenu wataalamu na wajuvi katika kijiwe chetu hiki cha jamii forum.je nianze mchakato wa kutafuta passport au ndio naenda kutolewa maini na viungo vya ndani kuliwa nyama?
Karibuni kwa maoni naruhusu pia ukiwa na ushauri ambao ni confidential nitumie inbobo.
Asanteni sana michango na maoni yenu